jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Vipi kwa Freeman Mbowe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isije kuwa unayemfikiria ni mjanjaMzee wa MIGA ni mpumbavu sana
Wenge la usaliti linakusumbua unatafuta wakumsingiziaMH Rais Samia hawezi kukutana na wasaliti wa taifa
USSR
Basi tuache hayo na tuje kwanini unachuki na wengine humu Tena zisizo na sababu🤔.Sijui kwanini watanzania tunapenda sana kujadili petty issues.
Yaani swala la watu kukutana tunapoteza muda wetu.
Low Iq.Basi tuache hayo na tuje kwanini unachuki na wengine humu Tena zisizo na sababu🤔.
Tulisha kubaliana kuwatoa wahuni wote mapangoni , hapo vipi ametoka hajatoka🤔😄.kiroboto noma Sanaa🏃.Low Iq.
Huu in Ugomvi wa chumbani, ndugui had no any international influenceMwenye shida nae ni jobo dogai
Kaingizwa mkenge na Kingai , hivi kiongozi wa nchi anawezaje kudanganywa na askari duni kama hawa ?Samia, suala pekee linalomtia doa ni hili liliyengenezwa na Siro na Kingai, la Mbowe. Otherwise, Rais Samia ana mengi mazuri.
Kuna sheria inayosema kila raia wa Tanzania lazima aishi Tanzania?sio ajabu wakuu,kila raia watanzania ni haki yake kikatiba kuomba au kutakwa kukutana na rais.lkn mm najiuliza kwa nn akina lisu,lema hawataki kurudi nyumbani!!?, shida Nini!!? Wanamuogopa hangaya au !!?
Gazeti + Mmiliki = HabariNgoja tuone , naona ili kuepusha maswali mengi Magazeti kadhaa yamefunguliwa
Hawezi ataona aibuNi kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Lissu na Lema pekee ndiyo watanzania wanaoishi nje?sio ajabu wakuu,kila raia watanzania ni haki yake kikatiba kuomba au kutakwa kukutana na rais.lkn mm najiuliza kwa nn akina lisu,lema hawataki kurudi nyumbani!!?, shida Nini!!? Wanamuogopa hangaya au !!?
Yeye kaona hao wawili na wakati kuna watanzania zaidi ya milioni 2 wapo njeKuna sheria inayosema kila raia wa Tanzania lazima aishi Tanzania?
Amandla...
Kwa maoni yangu mimi, itapendeza zaidi kama itatokea nafasi ya uwepo wa personal talk kati ya Mh. TL na Mh. Rais, achilia mbali hii ya kuongea na watanzania wote wanaoishi Ubelgiji; assuming kutakuwepo muda wa kutosha kufanya hivyo.Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Hata moja tu ilikuwa inatosha kabisa, achilia mbali tatu..bila kusahau ".. risasi tatu zingetosha kumuua kama angeshambuliwa na askari wetu..."
Lissu hana muda atakuwa busy na Maryam sarungi na Fatma karume kuandaa clips na twitter ambazo kwa sasa ndizo zinazoendesha shughuli za kisiasa kwa chademaNi kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.
Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.
Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Possibly kuna kitu ambacho watu wanadhani kuwa ni cha muhimu kwenye mkutano huo, just in case utatokea.Sijui kwanini watanzania tunapenda sana kujadili petty issues.
Yaani swala la watu kukutana tunapoteza muda wetu.
Hata moja tu ilikuwa inatosha kabisa, achilia mbali tatu
Upelelezi Gani wakati waliomshambulia ni Makonda kwa kutumwa na marehemu shetani aliyezikwa chato.
Nimefurahi sana magazeti pendwa kufunguliwa. Duh jamani tulikuwa jehanum
Marehemu aongezewe moto mwingi huko aliko.