Je, Tundu Lissu atakutana na Rais Samia Suluhu Ubelgiji?

Je, Tundu Lissu atakutana na Rais Samia Suluhu Ubelgiji?

Sijui kwanini watanzania tunapenda sana kujadili petty issues.

Yaani swala la watu kukutana tunapoteza muda wetu.
 
Samia, suala pekee linalomtia doa ni hili liliyengenezwa na Siro na Kingai, la Mbowe. Otherwise, Rais Samia ana mengi mazuri.
Kaingizwa mkenge na Kingai , hivi kiongozi wa nchi anawezaje kudanganywa na askari duni kama hawa ?
 
Mimi ningeshauri asiombe kukutana nae bali ajumuike na watanzania wengine kumsikiliza. Akikaribishwa kuongea nae nje ya mkutano wa umma akubali. Asipokaribishwa asibembeleze.

Amandla...
 
sio ajabu wakuu,kila raia watanzania ni haki yake kikatiba kuomba au kutakwa kukutana na rais.lkn mm najiuliza kwa nn akina lisu,lema hawataki kurudi nyumbani!!?, shida Nini!!? Wanamuogopa hangaya au !!?
Kuna sheria inayosema kila raia wa Tanzania lazima aishi Tanzania?

Amandla...
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.

Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Hawezi ataona aibu
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.

Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Kwa maoni yangu mimi, itapendeza zaidi kama itatokea nafasi ya uwepo wa personal talk kati ya Mh. TL na Mh. Rais, achilia mbali hii ya kuongea na watanzania wote wanaoishi Ubelgiji; assuming kutakuwepo muda wa kutosha kufanya hivyo.
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.

Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Lissu hana muda atakuwa busy na Maryam sarungi na Fatma karume kuandaa clips na twitter ambazo kwa sasa ndizo zinazoendesha shughuli za kisiasa kwa chadema
 
Sijui kwanini watanzania tunapenda sana kujadili petty issues.

Yaani swala la watu kukutana tunapoteza muda wetu.
Possibly kuna kitu ambacho watu wanadhani kuwa ni cha muhimu kwenye mkutano huo, just in case utatokea.
 
Upelelezi Gani wakati waliomshambulia ni Makonda kwa kutumwa na marehemu shetani aliyezikwa chato.

Nimefurahi sana magazeti pendwa kufunguliwa. Duh jamani tulikuwa jehanum

Marehemu aongezewe moto mwingi huko aliko.

Mungu wa haki hana Shida. Husikiliza vichaa na wazima. Hana kisasi Ni mwingi wa huruma. Anajua ya wazi na yaliyofichika. Amekuona mtu mwema. Amemuona mtakatifu Lissu.


Mkuu Hakuna mtu ambaye angetumwa na Rais wa nchi apige risasi zaidi ya 1 Ni unprofessionalism. So tafuta mpiga risasi wako. Unahitaji namba ya dereva nikupatie. dm.
 
Back
Top Bottom