Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nashindwa kuelewa kuasaidiwa lissu baada ya kupata majanga kuna husiana vipi na kugombea nafasi ya uenyekitiKatiba vs ubinaadam upi unasimama?
Vyote vinasimama; kila kimoja kwa nafasi yake. Ubinadamu ni suala la moral compass na katiba ni muongozo wa kisheria!Katiba vs ubinaadam upi unasimama?
Nyinyi wakati huo makeshift jf kumwita Lissu msalitiUna uhakika na ulichokiandika? Ulikuwepo nairobi?
Fyi lissu ni magufuli wa kileoNaumizwa Lissu kwa mbowe, hayo wafanye wengine sio yeye
Hujitambui na malaria zako 2 kichwaniNyinyi wakati huo makeshift jf kumwita Lissu msaliti
Mbowe hastahili, lkn Lissu yaliomkuta na mbowe jitihada alizochokuwa wakati wewe humu unamwita Lisu msalitiNashindwa kuelewa kuasaidiwa lissu baada ya kupata majanga kuna husiana vipi na kugimbea nafasi ya uenyekiti
Unataka kutuambia mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa maisha?
Au
Awepo mgombea mwengine lkn asiwe lissu?
Fyi lissu ni magufuli wa kileo
Kunywa hiyo dawa na uimeze kabsa
Mnajifanya unafiki kwa lissu wakati mkisherehekea humu wakati mbowe yupo nae. NairobiHujitambui na malaria zako 2 kichwani
We teseka kivyakoMnajifanya unafiki kwa lissu wakati mkisherehekea humu wakati mbowe yupo nae. Nairobi
Jukumu letu kumkubusha Lissu, akifata kunguni ambao wakati Mbowe anamuuguza Nairobi wao wapo ktk mitandao wanamwita majina mabaya hiari yakeWe teseka kivyako
Nimeipenda hiiHujitambui na malaria zako 2 kichwani
Asiumie mke wake wa ndoa unaumia wew kubazi waheedJukumu letu kumkubusha Lissu, akifata kunguni ambao wakati Mbowe anamuuguza Nairobi wao wapo ktk mitandao wanamwita majina mabaya hiari yake
nadhani hapa aidha umepotoka au unachanganya mambo tofauti sababu:Ingalikuwa hivyo hata mawaziri wangalimpinga Rais hadharani, katiba inaruhusu pia
Mkewe unalala nae hata unajua hivyo?Asiumie mke wake wa ndoa unaumia wew kubazi waheed
Mithali 17:17nadhani hapa aidha umepotoka au unachanganya mambo tofauti sababu:
1. kugombea nafasi yeyote chadema si ukosefu wa ubinadamu.
2. kutofautiana fikra si ukosefu wa ubinadamu.
3. tal nyakati zote amejipambanua kuwa mpinga rushwa na msema kweli na hili si ukosefu wa ubinadamu.
4. kama tal kuna sehemu alikosea alipaswa awajibishwe kupitia mamlaka kamili chamani ila haya mnapoyaleta wakati huu alipotangaza nia, alipochukua na kurejesha fomu ndiyo mnamuona hana ubinadamu hamuwezi eleweka asilani abadani.
Get a lifeMkewe unalala nae hata unajua hivyo?
Kwa hiyo Tundu Lissu asigombee kwa sababu aliuguzwa na MBOWE?Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?
Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.
Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Sio aliuguzwa. Wakati nyinyi mnamwita msaliti kwa I'd nyengine, yeye anampambania maisha yake Nairobi. Useseme kuuguza homa au kaswendwe. Tofautisha kati ya kuuguza na kupambaniaKwa hiyo Tundu Lissu asigombee kwa sababu aliuguzwa na MBOWE?
itoshe kusema nakubaliana kutokubaliana nawe kimtazamo na kifikra.Mithali 17:17
"Rafiki hupenda nyakati zote, na ndugu huzaliwa kwa siku ya taabu."
Hii inaonyesha kuwa mtu anayekusaidia katika shida ni wa thamani, na ni muhimu kumheshimu.
SIO HAWA WANAFIKI WAKATI UPO NAIROBI WAO WANAKWITA MSALITI LEO WANAJIFANYA RAFIKI
Sijuhi kabila ila ni mtu wa SINGIDALisu ni kabila gani?
Watu wa singida wanashukran sanaSijuhi kabila ila ni mtu wa SINGIDA