KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Tundu Lissu anagombea nafasi ya uenyekiti kwasabu ameruhusiwa na katiba ya chama. MBOWE naye ana hiari ya kugombea au kumpisha maestro Tundu Lissu na kumuunga mkonoSio aliuguzwa. Wakati nyinyi mnamwita msaliti kwa I'd nyengine, yeye anampambania maisha yake Nairobi. Useseme kuuguza homa au kaswendwe
Mbele mumeweka madaraka kuliko ubinaadam, wakati Mbowe yupo Nairobi na lissu Kazimia, nyinyi mnabadilisha I'd humu kumuita Tundu Lissu msalitiTundu Lissu anagombea nafasi ya uenyekiti kwasabu ameruhusiwa na katiba ya chama. MBOWE naye ana hiari ya kugombea au kumpisha maestro Tundu Lissu na kumuunga mkono
Kwa hivyo mhowe angalimuacha apambane mwenyewe asingemuonea hurumaUongozi hautaki mambo hayo ya kuoneana huruma sijui kulipana fadhila.
Itakuwa mnyaturuSijuhi kabila ila ni mtu wa SINGIDA
UVCCM mnamuogopa sana Tundu LissuMbele mumeweka madaraka kuliko ubinaadam, wakati Mbowe yupo Nairobi na lissu Kazimia, nyinyi mnabadilisha I'd humu kumuita Tundu Lissu msaliti
Mtu 1 kati ya milioni 50 hawezi kuogopwa, hapa kinachozungumzwa ubinadamUVCCM mnamuogopa sana Tundu Lissu
Ww pamoja na wanaounga mkono huu upuuzi uliouandika wote nyie ni wapumbavu.Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?
Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.
Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?
Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.
Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?
Kwani chadema yupo Lissu tu? Hakuna mwengine anaweza kumuondoa Mbowe hapo? Wakati mbowe yupo nae Nairobi miezi 3 , maslahi ya chama alikuwa nayo lissu kitandani?Hivi mna akili kweli? Kwa hiyo maslahi ya chama yaachwa sababu mtu alibeba chupa ya damu?
Kwa hivyo Mbowe kafanya kosa sana kumuonea Huruma Lissu kipindi kile angalimuacha tu aaangamie? Unaakili kweli?Uongozi hautaki mambo hayo ya kuoneana huruma sijui kulipana fadhila.
Haahaa watu wamezoea uwongo kwenye siasa, Lissu Hana hizoLissu hawezi siasa. Kwenye harakati sawa. Hawezi kuchunga ulimi wake! Magufuli like!
Havingiliani kwa sababu wakati mbowe yupo miezi 3 hospital wewe upo humu unammwita lissu msaliti wa taifakwani kugombea nafasi ya mwenyekiti na ubinadamu wa tal vinaingilianaje?
Mbowe sio Mungu, nasema wakumpinga sio Lissu. Hii ni sawa leo hii Lissu akamsifu Makonda kwamba ni mtu mwenye huruma kwa binaadam wakati kamtuhumu hadharani ktk shambulio lakeUmeandika ujinga. Kwamba Mbowe ni Mungu hapo chadema mpk kumpinga kwake kuwe na style ya kipekee? Au kwa kuwa ni Mbowe basi asipingwe??
Rubbish!!
Haangalii ubinaadam?Wapambe mzee, wapambe..
Mrema na yeye alilishwa maneno na wapambe..
Sasa hivi TL ana back up ya Diaspora na wanaharakati uchwara kwa nchi..
Anaona kila kitu anaweza..
Watoto wanasoma marekani na ni raia wa marekani kwa ufadhili hakuna shida sana...
Tumpe muda... Miaka 10 ijayo tutakuwa tunazungumza mengine
Aanzishe chama chake kuna shida ganiUnataka awe na ubinadamu upi? Asigombee uwenyekiti wa chama au? Afumbie maovu ndani ya chama ama?
Kuomba kugombea uenyekiti ndiyo kukosa ubinadamu?Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama.
Wengine akina Maryam Sarungi japo wakisupport lakini 99% ya mapambano ya kupambania maisha ya Lissu ni Mbowe pale hospital ya Nairobi na sio mwengine.
Sasa mtu kama huyo basi hata hujali ubinaadam? Anasikiliza kunguni wa pembeni wanaomjaza upepo
Sasa hata hili Lissu halioni? Binaadam gani asie na shukran?
Au hii pia ipo katiba ya chama kwamba mtu akikutwa na majanga mwenyekiti wa chama anatakiwa ajitolee hali na mali kuhakikisha mwanachama wake anapata msaada wa kibaandam kama ilivyo sheria kwamba lazima alipiwe na bunge?
Kwa maana LISSU Aseme mapambano ya kuokoa maisha yake yapo katika katiba ya chama na Mbowe ni wajibu wake kufata katiba, kama hivyo ndivyo, Lissu ana haki ya kumshambulia hadharani, lakini kama mapenzi na ubinaadam wa Mwenyekiti basi LISU anatakiwa aangalie ubinaadam huu na sio kunguni wa pembeni yake.
Anahaki ya kugombea nafasi yoyote ile, lakini kwa style ipi? Na anampinga nani?