Je, tutarajie Rais Samia Suluhu kumrudisha Paul Makonda tena kwenye mfumo wa siasa?

Je, tutarajie Rais Samia Suluhu kumrudisha Paul Makonda tena kwenye mfumo wa siasa?

Habari wadau!
Binafsi natabiri ujio wa Paulo tena kwenye gemu baada ya Mama Samia Suluhu kuapiswa.

Pia namuomba Mama Samia Suluhu asije akamsahau Paulo kwenye utawala wake sababu zipo wazi Paulo ni jembe pia ni wembe akimrudisha tena itapendeza sana na atasaidia sana maana kama tunavyojua Paulo anajua Code nyingi sana za nchi,jasiri sio mwoga na mchapakazi ndio maana mzee alimweka karibu sana naomba apewe mda na nafasi atastaajabisha wengi.

Tusisahau maisha yanaenda kasi sana,wa juu anaweza kushuka chini na aliyeshushwa anaweza kuinuliwa.Mungu wetu ni mwema siku zote.

Chonde chonde mama nipo chini ya miguu yako tunamuitaji Paulo.,turudishie Paulo hata vijana wa Dar wamemmiss sana.
Kwa vile amekutuma kamwambie yeye na wezi wenzake wanatakiwa wawe magereza haraka sn
 
Habari wadau!
Binafsi natabiri ujio wa Paulo tena kwenye gemu baada ya Mama Samia Suluhu kuapiswa.

Pia namuomba Mama Samia Suluhu asije akamsahau Paulo kwenye utawala wake sababu zipo wazi Paulo ni jembe pia ni wembe akimrudisha tena itapendeza sana na atasaidia sana maana kama tunavyojua Paulo anajua Code nyingi sana za nchi,jasiri sio mwoga na mchapakazi ndio maana mzee alimweka karibu sana naomba apewe mda na nafasi atastaajabisha wengi.

Tusisahau maisha yanaenda kasi sana,wa juu anaweza kushuka chini na aliyeshushwa anaweza kuinuliwa.Mungu wetu ni mwema siku zote.

Chonde chonde mama nipo chini ya miguu yako tunamuitaji Paulo.,turudishie Paulo hata vijana wa Dar wamemmiss sana.
Mama Samia ni mtulivu anapaswa afanye kazi na watu watulivu ili wote waruke pamoja.
 
Wanabodi, ni kawaida viongozi was taifa letu kulipa fadhila kwa wanaowasaidia kupata madaraka.

Leo nimeona clip inamwonyesha makonda akimpendekeza mama Samia kuteuliwa kuwa makamu was Rais 2015.

Makonda sasa anasota mitaani, je mama atamwokoa kwa kulipa fadhila?

My take
Mh Samia suruhu asimlipe fadhila kwa kumteua makonda huyu dogo ana element zilizopita za jiwe tena mpenda sifa.

Ninashaka clip ameipost yeye kumkumbusha mheshimiwa kuwa asingepata umakamu bila pendekezo lake, hivyo amkumbuke kwenye ufalme wake.
Mlipe kwa njia nyingine au ampe ubalozi
 
Wanabodi, ni kawaida viongozi was taifa letu kulipa fadhila kwa wanaowasaidia kupata madaraka.

Leo nimeona clip inamwonyesha makonda akimpendekeza mama Samia kuteuliwa kuwa makamu was Rais 2015.

Makonda sasa anasota mitaani, je mama atamwokoa kwa kulipa fadhila?

My take
Mh Samia suruhu asimlipe fadhila kwa kumteua makonda huyu dogo ana element zilizopita za jiwe tena mpenda sifa.

Ninashaka clip ameipost yeye kumkumbusha mheshimiwa kuwa asingepata umakamu bila pendekezo lake, hivyo amkumbuke kwenye ufalme wake.
Mlipe kwa njia nyingine au ampe ubalozi
Ngoja tusubiri
 
Makonda hasoti mtaani , alifanya maamuz kabisa ya kuachana na masuala ya uongozi ,alitaka ubunge ili akapumzike mana ubunge hauna complications, imagine sa hv angekuwa mkuu wa mkoa wa Dar hyo pressure ya hapo ....jamaa aliona mbali Sana , ......
 
Kwa jinsi jamaa alivyovuna kipindi kile sahauni kujifananisha nae yule mfuko wake si baba
 
Huyu hawezi kurudishwa tena kwenye sistim
Maana ana laana za watu pamoja na za kimataifa
Mfano marekani wamemwambia asikanyage!
 
Makonda na Mama Samia haziendi hata nusu! Majaliwa ndiyo basi kabisa!

Pindi Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa alikua anawadharau sana VP na PM hadi kufika kusema kwamba Tanzania nzima,wanaofanya kazi kwa nguvu na bidii ni yeye na Magufuli!

Pili kama Ofisi ya Waziri Mkuu ya TAMISEMI ingekua bado ipo chini ya PM, Makonda angekua keshatumbuliwa zamani sana,hata miaka 5 asingefikisha!
Ndiyo ivo anadai fadhila
 
Makonda na Mama Samia haziendi hata nusu! Majaliwa ndiyo basi kabisa!

Pindi Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa alikua anawadharau sana VP na PM hadi kufika kusema kwamba Tanzania nzima,wanaofanya kazi kwa nguvu na bidii ni yeye na Magufuli!

Pili kama Ofisi ya Waziri Mkuu ya TAMISEMI ingekua bado ipo chini ya PM, Makonda angekua keshatumbuliwa zamani sana,hata miaka 5 asingefikisha!
Kama kitu hujui nyamaza
 
Nitashangaa sana iwapo awamu ya mpito kama hii, tukiendelea kuwakumbatia watu wanafiki na wajivuni kama makonda.
 
"Makonda sasa anasota mitaani, je mama atamwokoa kwa kulipa fadhila?". Kwamba Makonda anasota mitaani? Hivi mkuu unajua kusota kunavyofanana? Anyways kweye uzi mzima nimeona hapo tu japo ni nje ya mada.
 
Back
Top Bottom