Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hela ww umetumwa na bashiteHizo sh ngapi ninazo nyingi. Makonda ni mchapakazj
Hivi mpaka leo hawapatani hawa??Kijana aliye na maisha ya raha kuliko vijana wote nchini....
Alijisahau saana akajiona na yeye ni mtawala!! Alichomfanyia kada mwenzake Nape si cha kiuungwana kabisa!!
Asije akawa ni yeye mwenyewe kwa jinsi anavyochangia hapa....Huna hela ww umetumwa na bashite
Hafai kabisaa na kulikuwa na mauaji ya ajabu ajabu mengi sana kipindi kile....Mtu ambaye anasemwa kawabambikia watu kesi za madawa ili kujipatia fedha na mali,mtu anayetajwa kuhusika na kupotea watu na ukatili wa kila aina hayo ndio mapungufu kidogo?
Hilo nalo neno akae kwa kutulia hatutaki ata kumsikiaAsije akawa ni yeye mwenyewe kwa jinsi anavyochangia hapa....
Hakuna Mtu anayekula RAHA KAMA MIMI!Huyu jamaa simkubali kabisa!!.Ni mtu aliyekosa unyenyekevu,mtu wa majigambo na kupenda sifa.
Ndio mapungufu yenyewe hayo.Huyu jamaa simkubali kabisa!!.Ni mtu aliyekosa unyenyekevu,mtu wa majigambo na kupenda sifa.
Tumekubaliana hayo yashapita, tunaanza upyaaKijana aliye na maisha ya raha kuliko vijana wote nchini....
Alijisahau saana akajiona na yeye ni mtawala!! Alichomfanyia kada mwenzake Nape si cha kiuungwana kabisa!!
Watu wa humu huwajui? Humu hata diamond hawezi kupata kura 10, watu wa humu ni......Hamna hata mtu mmoja anasema kwamba Makonda anafaa kuwa kiongozi....Huyo mtaani kwao tu anapoishi hajapewa hata ukatibu wa nyumba 10....Atulie kwa sasa na afanye kazi zingine na sio siasa...
Maneno tu hayo hakuna ushahidiMtu ambaye anasemwa kawabambikia watu kesi za madawa ili kujipatia fedha na mali,mtu anayetajwa kuhusika na kupotea watu na ukatili wa kila aina hayo ndio mapungufu kidogo?
Hautaki wewe na Nani?Hilo nalo neno akae kwa kutulia hatutaki ata kumsikia
Ulitaka aseme anapata shida?Hakuna Mtu anayekula RAHA KAMA MIMI!
Wapambe nuksi wapo mzigoni kumchanganya mazaYaani Makonda kabisa???
Mnapo andika hivi vitu mna kuwa mmetumwa au mna kuwa mmevuta bangi?
Mnamjua Makonda na makando kando yake au mnamjua kwa sura yake?
Hebu tafuteni mada za kuweka hapa na muachane na wafu wazikwe waliko fia.
Basi mpe uteuzi aongoze ukoo wenuHautaki wewe na Nani?
Unawaza Nini?tumrudishe dar? Funguka kijanaWeka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Hii ni awamu ni ya kutumia akili na yeye hana, atafit vipi? Mjini akili, nguvu kolomije.....akwende zake.Field marshall