Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Subiri utaelewa tu, jiandae kisaikolojiaBasi mpe uteuzi aongoze ukoo wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri utaelewa tu, jiandae kisaikolojiaBasi mpe uteuzi aongoze ukoo wenu
Dar au waziri wa mambo ya ndaniUnawaza Nini?tumrudishe dar? Funguka kijana
Wajinga wakubwa wa hii nchi wanaongozwa na Chalamila na Makonda ni namba mbili, Ole Sabaya siyo mjinga ila ni mhalifu sugu.Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Hongera Makonda kwa kujipigia debe.Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Aelewe wapi mtu kafoji vyeti huyo kilaza?Hivi una elewa maana ya Field Marshall "?
Hatumuhitaji akae alee familia kwa sasaHilo nalo neno akae kwa kutulia hatutaki ata kumsikia
Nawajua vizuri sana mkuu kuliko unavyodhani nipo humu ndani zaidi ya miaka 15 so siasa chafu na michezo michafu yote ya siasa hunifundishi...Najuwa ndani nje ndio maana nikasema kama sio wewe Makonda sawa ila kama ni wewe mwambie kwa sasa alee familia....Watu wa humu huwajui? Humu hata diamond hawezi kupata kura 10, watu wa humu ni......
Kwa iyo tufanyeje.Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Sawa Mkuu.Acha kumpigia promo sio mtu mzuri huyo.Kuna kitu nilikosea, nishaitoa
Halafu Kuna limtu linasema eti anafaa kuwa hata Waziri wa Mambo ya ndani!!!.Yule aliyesema tusimdharau hata wakubwa zetu wanamtambua?
Inawezekana aisee.Si ajabu ni yeye Makonda anajipigia promo hapa.
Akipewa uwaziri huyo nakwambia hapatakalika.Naona kawapa hela mje kumtetea humu ndani alipewa madaraka kidogo tuu akaua watu akipewa wengine itakuwaje akae kwa kutulia
Kwa kuua na kuwabambikizia watu kesi?.Hizo sh ngapi ninazo nyingi. Makonda ni mchapakazj