Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Njoo inbox nikupe ushahidi
Ukiambiwa leta evidences utaanza kulialia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiambiwa leta evidences utaanza kulialia
Hatutaki RC mwenye msambwanda kumzidi Shilole. Mwanaume gani yule?Nimesema hapo kuwa HAKUNA asiye na mapungufu. Makonda bado ni kiongozi mzuri, uzuri wa kiongozi sio kuongea taratibu Bali ni kutekeleza na kuleta Maendeleo kwa watu
Mtu anavamia vituo vya tv na bunduki,anateka watu anawatesa,anabambikia watu kesi bado anafaa tu kuwa kiongozi? Umelipwa sh ngapi jamaanguWeka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni.
Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako.
Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Halafu ni shogaMtu anavamia vituo vya tv na bunduki,anateka watu anawatesa,anabambikia watu kesi bado anafaa tu kuwa kiongozi? Umelipwa sh ngapi jamaangu
Hapo sasa..!!Halafu ni shoga
Kama lile jambazi mwenzie lengai ole sabaya sijui yule mfu aliwatoa wapi hawaMtu anavamia vituo vya tv na bunduki,anateka watu anawatesa,anabambikia watu kesi bado anafaa tu kuwa kiongozi? Umelipwa sh ngapi jamaangu
Kama unaona anafaa akipewa nafasi basi mkabidhi mkeoMakonda anafaa sana kuna mengi kajifunza kama mwanadamu,akipewa nafasi anawezackumudu.
Kuna watu na viatu, hivi mfano watoto wako wakijua kuwa unapata riziki kupitia kazi kama hii watajisikiaje?Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni.
Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako.
Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Tunaanza upya ki vipi pumbavu! kama umempenda mpe mkeo hapa hana chake, serikali ya mama haitaki wauaji waliokuwa wakitumwa na mfu kutoa roho za raiaTumekubaliana hayo yashapita, tunaanza upyaa
Kabisaa.In short hakubaliki.BASHITE asahau kabisa kupata kazi ya serikali maana hana sifa.
Aaah Tz tunasahau haraka sanaAliwahi kusema kuwa kati ya watu wanao ishi maisha ya hali ya juu ni yeye