Je, tutarajie Rais Samia Suluhu kumrudisha Paul Makonda tena kwenye mfumo wa siasa?

Je, tutarajie Rais Samia Suluhu kumrudisha Paul Makonda tena kwenye mfumo wa siasa?

Nimesema hapo kuwa HAKUNA asiye na mapungufu. Makonda bado ni kiongozi mzuri, uzuri wa kiongozi sio kuongea taratibu Bali ni kutekeleza na kuleta Maendeleo kwa watu
Hatutaki RC mwenye msambwanda kumzidi Shilole. Mwanaume gani yule?
 
Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni.

Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.

Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.

1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.

2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.

Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako.

Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Mtu anavamia vituo vya tv na bunduki,anateka watu anawatesa,anabambikia watu kesi bado anafaa tu kuwa kiongozi? Umelipwa sh ngapi jamaangu
 
Bwana ako? Watanzania Kibao hawajapaa nafasi za kuwa Viongozi hatutaki tena Wezi na Wanyang'anyi
 
Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni.

Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.

Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.

1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.

2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.

Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako.

Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Kuna watu na viatu, hivi mfano watoto wako wakijua kuwa unapata riziki kupitia kazi kama hii watajisikiaje?
 
Tumekubaliana hayo yashapita, tunaanza upyaa
Tunaanza upya ki vipi pumbavu! kama umempenda mpe mkeo hapa hana chake, serikali ya mama haitaki wauaji waliokuwa wakitumwa na mfu kutoa roho za raia
 
BASHITE unajipigia debe sio, vyeti huna. Tatizo umenyimwa akili ukajaaliwa makalio.

Siasa zako zakuua watu ni za kizamani, tumezifukia na Mtupoli.
Hakuna kupewa uteuzi wowote, ufai. Lete vyeti kwanza.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Zero Brain Bashite kama Bashite
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Labda akaongoze wasukuma huko kwenu.
 
Huyu Daudi Albert Bashite alipaswa awe kwenye kuta za gereza mpaka sasa hivi tunawashangaa wanaomlea huyu hana sifa ya kuwa kiongozi wa bodaboda
 
Back
Top Bottom