Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

Ualimu ni shida uko akuna posho, akuna pesa ya kinywaji, akuna pesa ya pango, pesa ya likizo mbaka uende ukadeki pagala la mkurugenzi na akuchapie mkeo ndo upate, promotion mbaka ukaroge, seminar mbaka umuonge mkuu wa shule na afisa elimu, kusimamia mitihani 10% Kwa mkuu, kuenda mark mbaka yesu aludi, mikwara kibao shule aina computer lakini mkurugenzi anataka mtoe A za SoMo la computer, ata mjumbe wa nyumba kumi bosi wako anaweza akaja shule akakufokea Kwa Nini ofisi chafu aujadeki na ikiwezekana kama una kimwili kidogo anakulamba na viboko vitatu vya nguvu, pesa ya mwenge utaki unataka utatoa, makato ya Cwt unayataka uyataki itakatwa TU lete fyoko ushughulikiwe
 
Ni swala la mindest na kujua unahitaji nini katika MAISHA na kipi dunia inakudai

Binafsi ualimu ni kazi nzuri , kazi yangu ya kuwapa watu maarifa naithamini Kwa ukubwa Sana.

Kuna watu walikuwa wameshakata tamaa kuwa wao sio chochote ila tumewasimamisha tena.

Kuna vitu huwa nawapa watu kutoka moyoni na najua hakuna pesa ambayo inaweza kufidia thamani ya maarifa ninayowapa watu.

Ikiwa naishi vizuri , naenda nje natoa maarifa Kwa jamii yangu Kwa namna moja basi hii kazi ni bora.

Katika dunia hii ya leo kitu pekee kitakachokupa thamani ni kuwajenga watu kiakili na kuwapa maarifa sahihi.


Haya maneno ya kudharau ualimu ndo chanzo cha watu kuishi maisha magumu maana MTU anajua akusaidieje Ila kutokana na Ego inayokusumbua anakuacha unateseka katika dimbwi la ujinga.
 
Zile nafasi za sensa ziliwashushia hadhi mno jinsi walivyotoa povu kuzihangahikia
Unazingumzia sensa million Moja kaka, watu wanatoana heshima kisa kazi ya 150,000/=. Ukipata wewe yeye akakosa anaona kama umemzidi, Mimi nadhani kikubwa ni kujiongeza kwenye namna nyingine SEMA fitina na chuki nazo ni nyingi mnoo.
 
Ualimu ni shida uko akuna posho, akuna pesa ya kinywaji, akuna pesa ya pango, pesa ya likizo mbaka uende ukadeki pagala la mkurugenzi na akuchapie mkeo ndo upate, promotion mbaka ukaroge, seminar mbaka umuonge mkuu wa shule na afisa elimu, kusimamia mitihani 10% Kwa mkuu, kuenda mark mbaka yesu aludi, mikwara kibao shule aina computer lakini mkurugenzi anataka mtoe A za SoMo la computer, ata mjumbe wa nyumba kumi bosi wako anaweza akaja shule akakufokea Kwa Nini ofisi chafu aujadeki na ikiwezekana kama una kimwili kidogo anakulamba na viboko vitatu vya nguvu, pesa ya mwenge utaki unataka utatoa, makato ya Cwt unayataka uyataki itakatwa TU lete fyoko ushughulikiwe
😁😁😁 Kama ulikuepo mzee, haswa hapo kwenye makato ya CWT, makatibu walishawaonga HR pamoja na DED hata ifanye nini utakatwa tu, na huna sehemu yoyote ya kwenda kusemea unaona eeh? Pia kwenda marking ni kitu ambacho inabidi ukisahau kwanza kwenye maisha Yako itokeee kama bahati maana wengine tokea waajiriwe Wana miaka 20 na hawajawai kwenda Marking.
 
Bila mwalimu, nani angefundisha mwanafunzi sasa?, Huyo mzazi akili yake haina akili,
Sio tu kufundisha wanafunzi kitu ambacho huyo mzazi hajajua Kila sector Ina mwalimu

huko clinical anakotaka mwanae akasome hajui kma anayemfundisha anavaa nafasi ya ualimu

Na mwisho Kila aliyesoma alifundishwa na mwalm kwanza ndio hizo mbwembwe nyingine zinazompa kibri mtaani sijui anajiita docta zikafuata.

Nawapenda sana walimu wangu walionifundisha kuandika A, E, I, O, U ndio wamenipa ujanja Leo na comments JF kama hv.

Shikamoni walimu popote mlipo
 
😁😁😁 Kama ulikuepo mzee, haswa hapo kwenye makato ya CWT, makatibu walishawaonga HR pamoja na DED hata ifanye nini utakatwa tu, na huna sehemu yoyote ya kwenda kusemea unaona eeh? Pia kwenda marking ni kitu ambacho inabidi ukisahau kwanza kwenye maisha Yako itokeee kama bahati maana wengine tokea waajiriwe Wana miaka 20 na hawajawai kwenda Marking.
Sasa Kwa hizo sababu kwa nini watu waendelee kuipenda hyo kazi SI ya laana hiyo akuna kitu kipo sawa
 
Sio tu kufundisha wanafunzi kitu ambacho huyo mzazi hajajua Kila sector Ina mwalimu

huko clinical anakotaka mwanae akasome hajui kma anayemfundisha anavaa nafasi ya ualimu

Na mwisho Kila aliyesoma alifundishwa na mwalm kwanza ndio hizo mbwembwe nyingine zinazompa kibri mtaani sijui anajiita docta zikafuata.

Nawapenda sana walimu wangu walionifundisha kuandika A, E, I, O, U ndio wamenipa ujanja Leo na comments JF kama hv.

Shikamoni walimu popote mlipo
Marahaba kijana mwadilifu.
 
Ni swala la mindest na kujua unahitaji nini katika MAISHA na kipi dunia inakudai

Binafsi ualimu ni kazi nzuri , kazi yangu ya kuwapa watu maarifa naithamini Kwa ukubwa Sana.

Kuna watu walikuwa wameshakata tamaa kuwa wao sio chochote ila tumewasimamisha tena.

Kuna vitu huwa nawapa watu kutoka moyoni na najua hakuna pesa ambayo inaweza kufidia thamani ya maarifa ninayowapa watu.

Ikiwa naishi vizuri , naenda nje natoa maarifa Kwa jamii yangu Kwa namna moja basi hii kazi ni bora.

Katika dunia hii ya leo kitu pekee kitakachokupa thamani ni kuwajenga watu kiakili na kuwapa maarifa sahihi.


Haya maneno ya kudharau ualimu ndo chanzo cha watu kuishi maisha magumu maana MTU anajua akusaidieje Ila kutokana na Ego inayokusumbua anakuacha unateseka katika dimbwi la ujinga.
Sasa mkuu tunaishi kwenye Dunia ya pesa, unawezaje kutoa elimu wakati wewe viatu vinachanika upande Mmoja? Unampokea mwanafunzi form one anamaliza form four na kuendelea na vidato vingine after 10 years ya kujitafuta siku akijipata anakuacha wewe huko palepale huna Cha kujivunia je maisha ndio yanahitaji hivyo?
 
Sasa Kwa hizo sababu kwa nini watu waendelee kuipenda hyo kazi SI ya laana hiyo akuna kitu kipo sawa

Sasa mkuu tunaishi kwenye Dunia ya pesa, unawezaje kutoa elimu wakati wewe viatu vinachanika upande Mmoja? Unampokea mwanafunzi form one anamaliza form four na kuendelea na vidato vingine after 10 years ya kujitafuta siku akijipata anakuacha wewe huko palepale huna Cha kujivunia je maisha ndio yanahitaji hivyo?
Ualimu ni fani pana Kama unafikiri tunafundisha watoto tu umepotea.

Ualimu unalipa Sana siwezi Ku-expose nini namiliki au nini ninacho Ila endeleeni kudharau kazi za watu.
 
Sio tu kufundisha wanafunzi kitu ambacho huyo mzazi hajajua Kila sector Ina mwalimu

huko clinical anakotaka mwanae akasome hajui kma anayemfundisha anavaa nafasi ya ualimu

Na mwisho Kila aliyesoma alifundishwa na mwalm kwanza ndio hizo mbwembwe nyingine zinazompa kibri mtaani sijui anajiita docta zikafuata.

Nawapenda sana walimu wangu walionifundisha kuandika A, E, I, O, U ndio wamenipa ujanja Leo na comments JF kama hv.

Shikamoni walimu popote mlipo

Nawapenda sana walimu wangu walionifundisha kuandika A, E, I, O, U ndio wamenipa ujanja Leo na comments JF kama hv.

• Mkuu, yani kuna watu waajabu sana, Mtu unamchukia/au unauchukia ualimu, ¿¿¿

• Basi sasa achukue huyo mtoto wa miaka saba kisha ampeleke akasomee urubani, 😀
 
Walimu si wana bank yao...?
Hakuna bank zaidi ya wizi mkuu, mambo hayaeleweki, CWT Anaiba Hela waziwazi na hakuna kitu kinafanywa na serikali, unaenda kulalamika kwa DED, Anakuona kama mpuuzi tu. Lakini muda Mwingine unaweza unaelewa kwanini watu ambao ni middle class wanajiona Wana maisha kuliko walimu.
 
Ualimu ni fani pana Kama unafikiri tunafundisha watoto tu umepotea.

Ualimu unalipa Sana siwezi Ku-expose nini namiliki au nini ninacho Ila endeleeni kudharau kazi za watu.
Hapana anaedharau lakini vyote umevipata nje ya kufundisha kujiongeza kwenye mambo mengine kabisa, na Tena Kama huko halmashauri na vita umepigwa haswaa
 
Ualimu ni fani moja nzuri na yenye soko kubwa kama utajua namna ya kujiongeza. Kwasababu kila siku watu kuna jambo wanataka kulifahamu so watahitaji mwalimu wakuwafundisha.

Tatizo ni kuwa vijana wengi wanaohitimu ualimu wanabaki kuwa waalimu wa masomo waliyosomea chuo utasikia mimi mwalimu wa jiografia mara kiswahili au sayansi, wameshindwa kutumia ujuzi na maarifa yao ya kufundisha kufundisha wqtu mambo mbali mbali.

Mfano, kama mtu kasoma ualimu alafu akajielimisha juu ya matumizi ya AI labda ChatGTP au hata sanaa fulani kama muziki au jambo lolote akawa na ufahamu wa hilo jambo anauwezo wa kuhamisha ufahamu au ujuzi wake huo kwa watu wakamuelewa na kumlipa.

Kifupi ukisoma ualimu ukahitimu wafundishe watu vile unavyovifahamu au kuwa na kipaji navyo serious kwa kutumia maarifa ya ufundishaji uliyonayo.

Najua ni ngumu na pengine nikaonekana motiveshno spika ila bila kuwqza nje ya box mwqlimu hauwezi kutoboa japo ndio fani yenye wateja wengi kuliko fani zingine zote.

Umeshindwa yote anzisha basi twisheni au homework aider kwa njia ya digitali uwe unafanya mambo kama mtaaluma sio mbabaishaji, watu wana smartphone wanaweza kutumia na watoto wao. Ujue sio kila mzazi anajua kutafuta kipenyo a kipeuo, why asijiunge na program yako kama inamuondolea aibu ndogo ndogo na mwanae anapata elimu.

Watakulipaje, jisajili Lipa kwa simu kuwa na website na App ya android na Ios fanya kazi kama msomi. Vaa vizuri, eneo la ofisi smart, tumia kamera quality, set up nzuri usikike vizuri, engage na mteja wako. Nusu saa Tsh. 200 hapo una wateja 10+

Ila uandae mtaji wa kama milioni tatu, maana hakuna biashara ya maana isiyo na mtaji wa pesa.

Kwa atakayeokota jambo haya, kila la heri ndugu mwalimu
 
Back
Top Bottom