Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] ni umaskini wa kufikiri.

Wangejua miongoni mwa kazi ambazo hata Mungu anaweza toa thawabu juu ya kile wanachokifanya duniani mwalimu hakosekani kwenye hiyo list.

Hv unajua kumfanya mtu ajue kuandika na kusoma Tena Kwa lugha ambayo hakuzaliwa nayo sio kitu Cha kudharau sema basi tu.

Kumfanya mmasai, mgogo, mmakonde, Muha n.k anaongea English imenyooka kama mzungu nyieeeee nyieee acheni dharau na kazi za watu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kumfanya mmasai, mgogo, mmakonde, Muha n.k anaongea English imenyooka kama mzungu nyieeeee nyieee acheni dharau na kazi za watu


😀😀, Ukiangalia hii picha, tutaulaumu walimu, au tutalaumu FISI EMU, Miaka 60 yote hamna la maana .
Screenshot_20231206-085932.png
 
Vitoto vyangu 2 sijawahi kusikia wameropoka kuwa wanataka kuwa walimu.
Yaani bora kazi yangu ya kushika bunduki huyu wa miaka 7 anaipemda sana.
Najitahidi kumkemea ila kakomaa hayumbishwi.
Nadhani ni utoto.
Ila ni heri MWALIMU kuliko askari.
Upo sahihi mkuu hasa SHERIA. Unakuwa unatiii tu.
Usipokuwa trafiki hela unazisikia kwenye bomba au umbambikie mtu kesi.
Muda wa kufanya mambo yako mdogo, kuhamishwa hamishwa, ukifungua duka wananchi hatuji.
Polisi kusoma ni ishu japo wapo waliojiendeleza.
Wizara ya elimu inakusanya makundi yote waliochoka, wakati na wajuu. Kuna wdlimu wapo sekta nyeti sana lakini kuna walimu wapo bushi moja hatari wanajinywea tu ulanzi, mnazi nk.
Uzuri wa ualimu unakuweka karibu sana na wananchi hivyo ni rahisi kuwa mwanasiasa, walimu wengi sana wamekuwa wabunge madiwani nk.
 
Ualimu ni shida uko akuna posho, akuna pesa ya kinywaji, akuna pesa ya pango, pesa ya likizo mbaka uende ukadeki pagala la mkurugenzi na akuchapie mkeo ndo upate, promotion mbaka ukaroge, seminar mbaka umuonge mkuu wa shule na afisa elimu, kusimamia mitihani 10% Kwa mkuu, kuenda mark mbaka yesu aludi, mikwara kibao shule aina computer lakini mkurugenzi anataka mtoe A za SoMo la computer, ata mjumbe wa nyumba kumi bosi wako anaweza akaja shule akakufokea Kwa Nini ofisi chafu aujadeki na ikiwezekana kama una kimwili kidogo anakulamba na viboko vitatu vya nguvu, pesa ya mwenge utaki unataka utatoa, makato ya Cwt unayataka uyataki itakatwa TU lete fyoko ushughulikiwe

Akuna = [emoji777]
Hakuna = [emoji3514]

Mbaka = [emoji777]
Aludi = [emoji777]


Shule za kusomea ujinga.
 
Leo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.

Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.

Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.

Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..

Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
Ualimu,fani za afya,vyombo vya usalama kasoro Tiss na fani za ujenzi,mifugo nk ni kazi za maskini
 
Hahahahaha bahati mbaya sana hata hiyo ajira ya ualimu ni ama uipate au uikose cha. Sio awamu ya JK hii kwamba ukapata admission na kazi iyoo usoni hata kama una Sup tatu au mbili.

Kama Ana connection sawa lkn kama anamkataza tu halafu hana lolote yaani kapuku basi atakuja kujuta mwenyewe.
 
Leo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.

Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.

Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.

Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..

Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
Kwa sasa walimu ndio Kada yenye watumishi wenye maisha mazuri na yasiyo ya kufeki. Wana nyumba zao. Wana magari yao na watoto wao wanasoma shule nzuri. Hawaibi hela ya Serikali Ili "kufeki life" bali wanachukua mikopo kwa mishahara yao na wakati mwingine wachukua mikopo ya kausha damu Ili maisha yaende na kiukweli wanainjoi kuliko Kada zingine. Na wakistaafu, maisha yao hayabadiliki sana kama wale wenzangu na mie waliofeki life wakiwa kazini!
 
Zamani tulisomea ualimu Ili tupate Mshahara mapema tuzihudumue familia zetu duni.
Unategemea utamkuta mtoto wa JK ni mwalimu au wa SH?Kila mtu anapenda kazi zenye posho na marupu rupu
 
Embu fikiria, waalimu wanaenda kukopa wenyewe kwenye hizi micro finances halafu wanaelalamika kwa DED kuwa micro finances zinawapa mikopo kandamizi.

Sasa mtu unajiuliza, hivi nani aliwalazimisha kwenda kukopa? Na mkopo usio kandamizi ni ipi?.

Wengi wa waalimu wana matatizo binafsi wame relax sana, wanapenda dezo za kijinga ndio maana wanadharaulika.
 
Embu fikiria, waalimu wanaenda kukopa wenyewe kwenye hizi micro finances halafu wanaelalamika kwa DED kuwa micro finances zinawapa mikopo kandamizi.

Sasa mtu unajiuliza, hivi nani aliwalazimisha kwenda kukopa? Na mkopo usio kandamizi ni ipi?.

Wengi wa waalimu wana matatizo binafsi wame relax sana, wanapenda dezo za kijinga ndio maana wanadharaulika.
Hivi mwalimu mnamchukuliaje nyie wapuuzi???? Imani yangu ni kwamba wanaowakashifu walimu hawana kazi yoyote iwe ndani ya public sector au private sector. Kuna kada nyingi wanafanya kazi za kawaida na wameajiriwa na serikali ila hamuwasemi.
 
For sure kada ya kipumbafu Sanaa hii although ndo inanipa kula Ila NI ya kipuuzi HAKUNA mwalimu anaejivunia kua mwalimu
Acha uhuni mkuu. Heshemu kazi ya mtu. Kama wewe hujivunii kuwa mwalimu ni wewe tu usiwasemee wengine brother.
 
Hivi mwalimu mnamchukuliaje nyie wapuuzi???? Imani yangu ni kwamba wanaowakashifu walimu hawana kazi yoyote iwe ndani ya public sector au private sector. Kuna kada nyingi wanafanya kazi za kawaida na wameajiriwa na serikali ila hamuwasemi.
Waalimu mnazingua sana, na mkiambiwa ukweli mnalia lia tu. Hilo nililolisema hapo juu limetokea sehemu nyingi za hii nchi na wakuu wa wilaya na ma ded wamewahasa sana wqlimu muache kukopa kopa hovyo.

Fani nyingine hazina mambo kama yenu waalimu, kulia lia hovyo kwa DED na wakuu wa idara. Waalimu ndio kada inayoongoza kwa kwenda halmashauri kujipendekeza na kulia lia, huwezi kwauta manesi au kadi zingine wakifanya huu ujinga. It's always waalimu.

Badilikeni mtaheshimika.
 
Hivi mwalimu mnamchukuliaje nyie wapuuzi???? Imani yangu ni kwamba wanaowakashifu walimu hawana kazi yoyote iwe ndani ya public sector au private sector. Kuna kada nyingi wanafanya kazi za kawaida na wameajiriwa na serikali ila hamuwasemi.
Acha matusi wapo walimu tunaishi nao, Kuna walimu wamekopa mpaka card wameiacha maboto, hapa tunatafuta soln hatutafuti mchawi
 
Back
Top Bottom