toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
😂😂😂😂😂😂😂Mkuu wahurumie hata wamalize huu mwaka kwanza😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂😂Mkuu wahurumie hata wamalize huu mwaka kwanza😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli.
Uliona mtoto wa tajiri gani anasomea ualimu!!
Wangekuwa Masikini wangemchangia Mama kununua Fomu ya Urais? Sio Watu masikini bali ni WajingaLeo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.
Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.
Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.
Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..
Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
Ivo yaan....watajijua...maana wanaponda wakati hawatuongezei hata mia😉Uzuri ni kwamba hata wawaponde walimu kiasi gani, kila mwaka vyuo vya ualimu vinasajiri wanafunzi wengi sana kuanzia certificates hadi degree,.. Penda na heshimu kazi yako mkuu asitokee mtu wa kukukatisha tamaa, kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonacho💪💪
Umenena mkuuKwa ujumla ni namna maisha ya waalimu yanavyoonekana katika jamii. Ila wakicheza na mikopo na kuwa na nidhamu ya pesa watatoboa.
Yeah nakubaliana na wewe.Kwenye CCM chipukizi kuna hela kuliko kwenye ualimu.
Wakitaka kujua umuhimu wa walimu, shule na vyuo vifungwe hata kwa miezi 6Leo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.
Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.
Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.
Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..
Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
😀Ila iz Sasa dharau.Kwenye CCM chipukizi kuna hela kuliko kwenye ualimu.
Waarabu wapo. Zanzibar wapi wengi tuMtoto wa tajiri gani kasomea ualimu?
We ushaona hii JAMII ya TZ ya waarabu ma wahindi wakisoma ualimu?
#YNWA
hujambo binti yanguUzuri ni kwamba hata wawaponde walimu kiasi gani, kila mwaka vyuo vya ualimu vinasajiri wanafunzi wengi sana kuanzia certificates hadi degree,.. Penda na heshimu kazi yako mkuu asitokee mtu wa kukukatisha tamaa, kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonacho💪💪
Sijambo babuu, shikamoohujambo binti yangu
Sipendi mtu anayedharau kitu asichokijua Kwa undani.Mkuu mbona kama umekasirika ? Pia upo sahihi.
Kma Kuna watu wanapaswa kushukuru jitihada za mwalimu ww jamaa ulipaswa kuwa mmoja wapo maana nikisoma hii handwriting Yako naona Namna Gani mwalimu alipambana sana Kwaajili Yako.Ualimu ni shida uko akuna posho, akuna pesa ya kinywaji, akuna pesa ya pango, pesa ya likizo mbaka uende ukadeki pagala la mkurugenzi na akuchapie mkeo ndo upate, promotion mbaka ukaroge, seminar mbaka umuonge mkuu wa shule na afisa elimu, kusimamia mitihani 10% Kwa mkuu, kuenda mark mbaka yesu aludi, mikwara kibao shule aina computer lakini mkurugenzi anataka mtoe A za SoMo la computer, ata mjumbe wa nyumba kumi bosi wako anaweza akaja shule akakufokea Kwa Nini ofisi chafu aujadeki na ikiwezekana kama una kimwili kidogo anakulamba na viboko vitatu vya nguvu, pesa ya mwenge utaki unataka utatoa, makato ya Cwt unayataka uyataki itakatwa TU lete fyoko ushughulikiwe
Wewe jamaa kupanda cheo bila coz ndo kitu Cha kukushangaza Tena vyeo venyewe mbaka mwanasiasa acheke ndo mpande?Kma Kuna watu wanapaswa kushukuru jitihada za mwalimu ww jamaa ulipaswa kuwa mmoja wapo maana nikisoma hii handwriting Yako naona Namna Gani mwalimu alipambana sana Kwaajili Yako.
Laiti angeyazingatia hayo yaliyojaa kwenye ubongo wako akaacha kupambania baadae Yako. nakuhakikishia hata space ungeshindwa kuacha kwenye sentence zako.
Nakuibia Siri moja mwalimu ndio mfanyakazi pekee anayepanda cheo bila kwenda coarse.
Mshukuru sana mwalimu wakoWewe jamaa kupanda cheo bila coz ndo kitu Cha kukushangaza Tena vyeo venyewe mbaka mwanasiasa acheke ndo mpande?
Wenzio uko wanaposho ya ujuzi na auna kazi na Wala awajawai kuufanyia KAZI kwenye vitengo walivyoajiriwa
Hiyo ya waliofail ndio husomea ualimu nafikri unahitaji kufanya utafiti utakuwa huna taarfa za kutosha nenda Udsm hapo kaangalie wanalofanya Education je wamefail au Wana division 1&2Nafikiri moja ya sababu inayopelekea ualimu kudharauliwa ni alama anazopata mtu ili kujiunga na ualimu,mfano mnamaliza kidato Cha sita kwa masomo ya sayansi,waliofaulu zaidi ndio huchukuliwa kwenye fani kama za afya,uhandisi n.k,lakini wale wenye ufaulu mdogo ndio watachukuliwa uwalimu,sababu nyingine ni mshahara mdogo na mazingira yao ya kazi kutoboreshwa,hii nchi sijaiona mwalimu kijana mwenye hela zaidi ya TEACHER KONDE [emoji23][emoji23][emoji23]