Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

Waalimu mnazingua sana, na mkiambiwa ukweli mnalia lia tu. Hilo nililolisema hapo juu limetokea sehemu nyingi za hii nchi na wakuu wa wilaya na ma ded wamewahasa sana wqlimu muache kukopa kopa hovyo.

Fani nyingine hazina mambo kama yenu waalimu, kulia lia hovyo kwa DED na wakuu wa idara. Waalimu ndio kada inayoongoza kwa kwenda halmashauri kujipendekeza na kulia lia, huwezi kwauta manesi au kadi zingine wakifanya huu ujinga. It's always waalimu.

Badilikeni mtaheshimika.
Huo ndio ukweli
 
Ualimu tatizo sana, Mimi ni mwalimu na matatizo ya ualimu Yana root causes 1.walimu wanatokea familia maskini ( unaelewa athari za kuzaliwa familia maskini) 2. Walimu Wana akili ndogo ya kuchanganua mambo hasa ya uchumi( ukikosa akili ya pesa unaijua hatari yake ndio maana wanarundikana kukopa na kujenga nyumba) 3.mshahara duni 4. Walimu hawajiamin 5. Nature ya kazi haimpi exposure na pesa ( mwalimu akisafiri kikazi ni either kusimamia mtihani au marking 6. Uwezo mdogo wa akili kiujumla
 
Ualimu tatizo sana, Mimi ni mwalimu na matatizo ya ualimu Yana root causes 1.walimu wanatokea familia maskini ( unaelewa athari za kuzaliwa familia maskini) 2. Walimu Wana akili ndogo ya kuchanganua mambo hasa ya uchumi( ukikosa akili ya pesa unaijua hatari yake ndio maana wanarundikana kukopa na kujenga nyumba) 3.mshahara duni 4. Walimu hawajiamin 5. Nature ya kazi haimpi exposure na pesa ( mwalimu akisafiri kikazi ni either kusimamia mtihani au marking 6. Uwezo mdogo wa akili kiujumla
Wewe kama una ndugu au jirani mwalimu ni mzinguaji usiongee kwa ujumla. Mara ngapi mahospitalini unakuta wahudumu wamevaa nguo zimechanika au ukienda kukagua sare za baadhi ya askari?? Usiwe mjinga kwa kuwasemea walimu wote. Kama shuleni kwenu walimu Wana maisha ya hovyo ni nyie mjisemee
 
Vitoto vyangu 2 sijawahi kusikia wameropoka kuwa wanataka kuwa walimu.
Yaani bora kazi yangu ya kushika bunduki huyu wa miaka 7 anaipemda sana.
Najitahidi kumkemea ila kakomaa hayumbishwi.
Nadhani ni utoto.
Ila ni heri MWALIMU kuliko askari.
Mkuu kwa sababu gani labda heri mwalimu?

Me naona ni heri askari na sio mwalimu for sure.
 
Uzuri ni kwamba hata wawaponde walimu kiasi gani, kila mwaka vyuo vya ualimu vinasajiri wanafunzi wengi sana kuanzia certificates hadi degree,.. Penda na heshimu kazi yako mkuu asitokee mtu wa kukukatisha tamaa, kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonacho💪💪
kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonacho💪💪

Una maana gani? Ujivunie vyeti bila kazi au?
 
Uzuri ni kwamba hata wawaponde walimu kiasi gani, kila mwaka vyuo vya ualimu vinasajiri wanafunzi wengi sana kuanzia certificates hadi degree,.. Penda na heshimu kazi yako mkuu asitokee mtu wa kukukatisha tamaa, kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonacho💪💪
Mtoto wa tajiri gani kasomea ualimu?
We ushaona hii JAMII ya TZ ya waarabu ma wahindi wakisoma ualimu?

#YNWA
 
Vitoto vyangu 2 sijawahi kusikia wameropoka kuwa wanataka kuwa walimu.
Yaani bora kazi yangu ya kushika bunduki huyu wa miaka 7 anaipemda sana.
Najitahidi kumkemea ila kakomaa hayumbishwi.
Nadhani ni utoto.
Ila ni heri MWALIMU kuliko askari.
Sahih bora kua mwalimu kuliko askari, Askari wenyew mna majibu sahih ila uku mtaani watu wanawashobokea sana.
 
Mkuu kwa sababu gani labda heri mwalimu?

Me naona ni heri askari na sio mwalimu for sure.
Shida ya uaskari sio mshahara ila kazi zao ni za hovyo hovyo sana. Na katika harakati za kutimiza majukum hasa hawa magereza na polisi daah ila kikubwa vibunda asee.
 
Back
Top Bottom