Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kuweza wapiiii shooo😊😊😊😊Nashangaa eti usiwatake wachimba chumvi, wee kuwezaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweza wapiiii shooo😊😊😊😊Nashangaa eti usiwatake wachimba chumvi, wee kuwezaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SafiiiiNdio nishakujua,
Jamani babuu migambutiii yuko wapiiii?? Au yuko kwa fekeroo ID, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti anasema mtoto atanogewa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tumuweke kwa babu migambuti [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
🤣🤣🤣🤣🤣 Watoto watatafunwa sana na hayo mambo Yao ya kuita watu 3000 kwenye interview[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya nichekee wallah
Kuna mdada kapata prosoo wa TRA, alimdanganya amle afu ndo ampe kazi, kamla na hata kazi hajampa.
Anavo lalama sasa, woiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na tumeelewa pia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa ajili ya kupunguza kitambiKwani Hilo parachichi linasaidia Nini?
Ibane bane mwisho iliwe na nyenyere. Panua miguu nikung'oe visiki na magugu shauriyo🤭🤭Kuweza wapiiii shooo😊😊😊😊
Mshana na majini yake yamelala au ?😀 😀 😀 kwema kabisa, nipo hapa nangojea mafao kutoka kwenu
Una kichwa chepesi!kesho kanunue zile zenye maganda umenye mwenyewe ndio zinakata kitambiKwa ajili ya kupunguza kitambi
❤️❤️kwa maelezo umepatia kama 60% hivi
Jirani niache [emoji23]
hilo nalo n swali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu,[emoji23] kula nyama nyamazaa
Sina hamu sie tulikuwa zaidi ya elf 5 jmn kwenye interview ya tea🤣🤣🤣🤣🤣 Watoto watatafunwa sana na hayo mambo Yao ya kuita watu 3000 kwenye interview
😂 sina jirani hapa ndio michezo yako kutaka kuwaulia ndugu zangu hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kichwa kikigandamizwa usije kulia unakosa pumzi shuhuli nzito ile
Wapiga Dekiiii tunao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuweza wapiiii shooo[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Si mnapenda kitonga 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu,
Kwa neno la kinabii yote yataunguaMshana na majini yake yamelala au ?
Yaani unataka kunivunja mbavu tu[emoji1787]