Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watoto watatafunwa sana na hayo mambo Yao ya kuita watu 3000 kwenye interview
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye alimuambia atamfanyia mpango hapo kazin kwake, kamblock kila sehem, akimchek kwa no mpyaa anamjibu awe mvumilivuu.

Nachekaaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani babuu migambutiii yuko wapiiii?? Au yuko kwa fekeroo ID, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maan yulee hata haelewekii.

Ana mfekero ila hata haenjoy bila vivuruge wake sisi wa kumkera [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila tungekua karibu yake angetudunda kipindi kile
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye alimuambia atamfanyia mpango hapo kazin kwake, kamblock kila sehem, akimchek kwa no mpyaa anamjibu awe mvumilivuu.

Nachekaaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe sio dada una peke yake mwenye malalamiko 😅😅😅ya kuaihidiwa na kula block
 
Shem [emoji2788][emoji2788][emoji2788] Mjep
Unaitwaaa huku na mkeo, uje na vocha ya buku ten ya voda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muitee had ajee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka kurudisha Amani ya ndoa yangu.
Huku Nje ni kugumu sana, bora zimwi nalolijua halinikuli kuishaa.
 
Ana mfekero ila hata haenjoy bila vivuruge wake sisi wa kumkera [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila tungekua karibu yake angetudunda kipindi kile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu unajua nimekosa ajira kisa wee apo? Babu migambutii alishaniandalia sehem ya kujishikizaa, wee ndo ukavuruga kila kitu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF hatuhamiiii kamweee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye alimuambia atamfanyia mpango hapo kazin kwake, kamblock kila sehem, akimchek kwa no mpyaa anamjibu awe mvumilivuu.

Nachekaaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii code mbona km naijua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom