Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Kumbe sio dada una peke yake mwenye malalamiko [emoji28][emoji28][emoji28]ya kuaihidiwa na kula block
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani huku kitaa hali ni mbayaa dyadyaa, watu wanajilipua km Wasafi Betting.
 
Muitee had ajee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka kurudisha Amani ya ndoa yangu.
Huku Nje ni kugumu sana, bora zimwi nalolijua halinikuli kuishaa.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shem Mjep njooooooo
Mkeo kajifunza tabia nzuri
Hataki tena visirani
Yuko tayari kupambania ndoa yake
Na amesema amechafuka style za kamasutra ushindwe wewe
 
Nani kawadanganya mniite mtoto. Jf nipo zaidi ya 10yrs afu mnaniita mtoto. Jichanganye utaumia ww mwanamke shauriyo [emoji23][emoji23][emoji23]

Shem unanipiga bit had mimi jamani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tumekoma na tumeacha nenda kang’oe visiki baba
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shem Mjep njooooooo
Mkeo kajifunza tabia nzuri
Hataki tena visirani
Yuko tayari kupambania ndoa yake
Na amesema amechafuka style za kamasutra ushindwe wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teynaaaah nimefundwaa na kufundikaaa!!!
Stara na stahaa ninayooo!! Mume ndo yeyeee.
Afanye arudiiiii.
 
Back
Top Bottom