Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Shem unanipiga bit had mimi jamani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tumekoma na tumeacha nenda kang’oe visiki baba
Eeh Leo nimecheka jmnπŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ
Shem anakufokea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu unajua nimekosa ajira kisa wee apo? Babu migambutii alishaniandalia sehem ya kujishikizaa, wee ndo ukavuruga kila kitu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF hatuhamiiii kamweee.

Thubutuuuuuu!!!! Mwenzio maua ya saa 4 analia uko kablockiwa mpk msg za kawaida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila babu aje tumchachue tumemmiss kweli
Na wewe ulivyo na kg 2 angekunyoosha ungerudi nyonga zimekaza
 
Thubutuuuuuu!!!! Mwenzio maua ya saa 4 analia uko kablockiwa mpk msg za kawaida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila babu aje tumchachue tumemmiss kweli
Na wewe ulivyo na kg 2 angekunyoosha ungerudi nyonga zimekaza
πŸ˜…πŸ˜‚ sijui hata nacheka nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…