Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Tunayoyaandika yanaakisi tunayowaza ila sivyo ndivyo tulivyo.....mi kama mimi ni kama mange, mange ukimsoma anaandika migazetiii ila ikija kwenye kuongea hawezi ndivyo hivo nilivyo, kwenye kuandika nauperepetaaa ila kuongea sasa Es sio muongeaji mie
Why unadanganya mjomba?

Naomba wajue tu wewe ni mwanamke mkorofiiiii πŸ˜… ili wakifika huko wasipishane na maneno yangu
 
Why unadanganya mjomba?

Naomba wajue tu wewe ni mwanamke mkorofiiiii πŸ˜… ili wakifika huko wasipishane na maneno yangu
Mimi sio mkorofi kabisa mie huwa ni falah, hivi ushawahi pigana na mtu ukapigwa halafu baada ya ugomvi unajiuliza kwanini sikupiga kichwa? Kwanini sikurusha teke la kangaroo???kwanini nyingi.... Ngumu kuamini ila ndio hivyo ndivyo nilivyo nshajaribu kujiadjust kuseek hata ushauri kwa watu bado sijaweza kushift possible niliumbwa hivi....ila sipendi
 
Kama ni hivyo basi inapendeza na nina amini asilimia kubwa JF wako hivyo,
Kwa ajili ya kujifurahisha n.k
 
Pendekezo langu kwa wadau naomba tuanze na wewe, (charity begins at home) nyota njema huanza nyumbani
 
Me nahisi wewe utakuwa ni wale wakaka wanaongea beziii 🀣🀣🀣 comment zako nazisomaga kwa sauti ya nne 🀣🀣
Umejuaje?
Jamaa ana ki base kiainaπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…