Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Jmn muwe na usiku mzuri, nawapenda...
Maana tumevamia Uzi tumetoka nje ya mada๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
This s jf.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teynaaaah nimefundwaa na kufundikaaa!!!
Stara na stahaa ninayooo!! Mume ndo yeyeee.
Afanye arudiiiii.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na itakuwa kispeedo haijatumika muda
 
kutupiga 3some [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Ulivyosema hivyo unanitamanisha auntiee yaani akili imesharuka hapa nikikumbuka na hilo komwe lako aaah taratibu my dear.

Na hichi kibaridi tusije kupandishana usiku huu ๐Ÿ˜…
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Umeeleweka mkali
 
Wapendwa ss hivi nimewekewa limit na shemeji yenu ikifika saa 6 nilale haijalishi niko zone ipi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kikubwa Tz ikisomeka saa 00:00 kuchat mwisho, hivo kwaherini ndoa tamu [emoji12]
 
Back
Top Bottom