Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Wee kama uanaamini hivyo who am i to argue against that.
Ila waulize tuu wale mademu wa jf ambao nilishapita nao kama hawaisomi namba kwa sasa🤣🤣🤣🤣
Mbona kwenye group letu la wadada private umeonekana wewe ni pasta?hujatongoza hata mmoja,,,ila Kuna wenzio ambao ni wapoleee wameshika number za juu sana hongera👍🤣🤣
 
Joannah usijaribu kupita mbele ya huyu mwamba🤣🤣
Hana lolote! psychologically mzabzab Hana hiyo tabia,,, hakuna Malaya anayejinadi hiyo ingemuondolea credit ya kutimiza ouvu wake....huyo ni mtu mwema,Watendaji wenyewe wapo kimya wanatafuna tu kondoo from one place to another 🤣🤣🤣
 
Hana lolote! psychologically mzabzab Hana hiyo tabia,,, hakuna Malaya anayejinadi hiyo ingemuondolea credit ya kutimiza ouvu wake....huyo ni mtu mwema,Watendaji wenyewe wapo kimya wanatafuna tu kondoo from one place to another 🤣🤣🤣
Sifa za mzabzab zimesambaa toka uyahudi hadi duniani kote, nakuonya love🤣🤣🤣
 
Wadada mnapenda bad boys, sie wapole mnasema we're not good in bed
Niko tofauti sana kwenye hicho kipande....achana na wapole ni bad news,yaani ukiona mkaka mkimyaaa ha haaaaa ni balaa
 
Hii sasa kali. Maana sina uheshimiwa wowote.... Watu mnakuja na id mpya tunajua ni mgeni. Kumbe I'd yako ya zaman tulikua tumezoeana pakubwa tu
Basi pole mkuu,duniani wawili wawili
 
Wanafocus...hahaha! Taratibu lakini shughuli yao utaipenda🤣🤣 legend u know inanyesha eenh!!
🤣🤣🤣🤣Wacha tu inyeshe tuone inapovuja.......achana na wapiga kelele kama kina mzab na washirika wake wanazongua sana hao hawafocus kabisa
 
Back
Top Bottom