mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Huwa nawashangaa sana hata hawa maskofu wetu wanaponyanyua mikono yao kumuombea na kumbariki, hivi hawajuwi kuwa wanabariki madhambi??Yule mzee ni mnafiki sana kinachofanyika chini ya kapet nitofauti kabisa na anayoyaongea akiwa na wachungaji
Nimeuliza jee kuna uthibitisho wowote wa CCM kuzuia vyombo vya habari kutangaza habari za vyama vingine?. Tusilete hoja based on hisia!.Wewe P toka Wajumbe wamwkufyeka naona hata uwezo wa kufikiri Umepungua Hakuna Uchaguzi huru Tanzania Suala la kuzuia Vyombo vya Habari tu ni Ushaidi Tosha Watanzania sio Wajinga Kama TBC ambayo ni Ya Walipa Kodi Inabagua Vyama unatarajia Nini?
uwepo uhifadhiwe mahali.. kuna siku utahitajika kumika.Halafu huo ushahidi waupeleke wapi?[emoji88][emoji16]
a good question.Nimeuliza jee kuna uthibitisho wowote wa CCM kuzuia vyombo vya habari kutangaza habari za vyama vingine?. Tusilete hoja based on hisia!.
P
Kwa tabia za huyu mkulu na CCM tunafurahi kwa tamko lake na tunaomba iwe hivyo lakini wapinzani watakosea sana kumuamini lazima wafuatilie kwa umakini matendo ya serikali na xhama tawala. Mtu alisema ataua vyama vya upinzani ni mtu hatari, tukumbuke 2020 haijakwisha na uchaguzi huu uko ndani ya 2020. Walifanikiwa serikali za mitaa watataka wamalizie na uchaguzi mkuu kuwafuta bungeni na uraisi.Mkuu Joka Kuu, Uchanguzi Mkuu wa October, utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki. Hakikisho hili limetolewa na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Tanzania tuna Tume huru ya uchaguzi na tuna vyombo huru vya habari, ikitokea vyombo vya habari kwa kuutumia uhuru wake, vikaona habari ni ya CCM tuu, then be it huo ndio uhuru wenyewe.
Mkuu Joka Kuu, Uchanguzi Mkuu wa October, utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki. Hakikisho hili limetolewa na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Tanzania tuna Tume huru ya uchaguzi na tuna vyombo huru vya habari, ikitokea vyombo vya habari kwa kuutumia uhuru wake, vikaona habari ni ya CCM tuu, then be it huo ndio uhuru wenyewe.
Unless kama una ushahidi wowote hata wa kimazingira tuu, kuthibitisha CCM imevikataza vyombo vya habari kutangaza kampeni za vyama vingine, lakini siamini kama hoja hii ina ukweli.
Tuna vyombo vya habari vya umma na vyombo binafsi. Vinavyotakiwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote ni vyombo vya habari vya umma tuu, lakini kwa vyombo binafsi viko huru kufanya upendeleo watakavyo.
Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?.
Uchaguzi Mkuu ni Kipindi Cha Neema kwa Media!. Ni Kipindi cha Mavuno!. Jee Bahasha Hizi Ni Halali?!.
P
Mkuu Joka Kuu, Uchanguzi Mkuu wa October, utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki. Hakikisho hili limetolewa na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Tanzania tuna Tume huru ya uchaguzi na tuna vyombo huru vya habari, ikitokea vyombo vya habari kwa kuutumia uhuru wake, vikaona habari ni ya CCM tuu, then be it huo ndio uhuru wenyewe.
Unless kama una ushahidi wowote hata wa kimazingira tuu, kuthibitisha CCM imevikataza vyombo vya habari kutangaza kampeni za vyama vingine, lakini siamini kama hoja hii ina ukweli.
Tuna vyombo vya habari vya umma na vyombo binafsi. Vinavyotakiwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote ni vyombo vya habari vya umma tuu, lakini kwa vyombo binafsi viko huru kufanya upendeleo watakavyo.
Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?.
Uchaguzi Mkuu ni Kipindi Cha Neema kwa Media!. Ni Kipindi cha Mavuno!. Jee Bahasha Hizi Ni Halali?!.
P
Nimeuliza jee kuna uthibitisho wowote wa CCM kuzuia vyombo vya habari kutangaza habari za vyama vingine?. Tusilete hoja based on hisia!.
P
tatizo sio kukataza hao wanalipwa na CCM so kama upinzani unaweza kuwalipa media sioni tatizoVyombo vya habari kutangaza kwa usawa kampeni za vyama vya siasa ni moja ya vigezo vya uchaguzi ulio huru na wa haki.
Siyo sawa hata kidogo kwa CCM kuvikataza vyombo vya habari kutangaza kampeni za vyama vingine vya siasa.
Tume ya Uchaguzi inapaswa kuingilia kati suala hili.
tatizo sio kukataza hao wanalipwa na CCM so kama upinzani unaweza kuwalipa media sioni tatizo
Wewe acha kujitoa akiliMkuu Joka Kuu, Uchanguzi Mkuu wa October, utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki. Hakikisho hili limetolewa na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Tanzania tuna Tume huru ya uchaguzi na tuna vyombo huru vya habari, ikitokea vyombo vya habari kwa kuutumia uhuru wake, vikaona habari ni ya CCM tuu, then be it huo ndio uhuru wenyewe.
Unless kama una ushahidi wowote hata wa kimazingira tuu, kuthibitisha CCM imevikataza vyombo vya habari kutangaza kampeni za vyama vingine, lakini siamini kama hoja hii ina ukweli.
Tuna vyombo vya habari vya umma na vyombo binafsi. Vinavyotakiwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote ni vyombo vya habari vya umma tuu, lakini kwa vyombo binafsi viko huru kufanya upendeleo watakavyo.
Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?.
Uchaguzi Mkuu ni Kipindi Cha Neema kwa Media!. Ni Kipindi cha Mavuno!. Jee Bahasha Hizi Ni Halali?!.
P