Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Kumbe kkkt mpo vizurii hivoo nilifikiri huwa hamnaga maombii ya hivo
 
Hayo magari ya mizigo unayoyaona na mabasi ya abiria unayoyaona kuna 90% wamiliki wake NI matajiri wa WAGANGA.
Sawa mganga wao ila kama ni nadharia ni vyema ukajituma tu kufanya kazi kwa bidii. Hivi vitu vinafanywa bila ndumba mkuu
 
Huo uchafu unaufanyaje mwili mpk u akua Zuzu?
 
Ile c elimu ya unajimu tu ambayo haina uchawi wala nini, ni elimu ya nyota just about Outer Space! So, sioni uchawi wowote hapo.
 
Vp milioni 28 uliipata au walisepa nazo mazima
 
Mkuu biashara nyingi zimezindikwa na zimepigwa kalilio la kivutia wateja, hakuna biashara mjini zinaenda kwa uzoefu . Mjini kuzito sana ,
acha fix ndugu, mbona mimi biashara zangu zinasonga vizuri tu na wala situmii hayo unayotaka kuwaaminisha watu.
 
kwenye masoko ndo balaaa, uchawi unatumika sana
 
Ungewaona wamama wanaotuuzia vitafunio wanavyotufanyia walah tungekua tunakula mikate tu.
Kama amem target mteja Fulani Basi baada ya kupika Ile chapati ya kwanza anavua chupi na kuiweka Ile chapati kwenye kigoda chake na kuikalia akiwa hajavaa chupi Wala Nini. Kaka hiyo chapati ukiila umekwisha.
Kuna msomi mmoja mzuri tu alimuachia mkewe msomi mwenzake na kumuoa mdada aliyekua anahudumu kwa mamake mama ntilie.
 
Baada ya kupata kazi uliendelea kumcha bwana na kudumu kwenye maombi kama awali? Au ndio Wagalatia 3:1
 
Binafsi sipingani na wanaokubaliana kuwa uchawi ndo kila kitu ktk biashara...
Ni vigumu sana mtu kukuelezea A to Z vile anavyozimudu na kuendesha biashara zake zaid ya kukupa maneno yaleyale ya akina motivational speakers....

Binafsi nnaendesha vijimiradi vyangu kwa namna isiyo ya kawaida. Na hio ndo njia pekee inayonifanya nipige hatua.

Then si wote wanatumia ndumba ktk biashara kwa sababu tunatofautiana kimalengo.
 
Naomba kujua hiyo namna isiyo ya kawaida.
 
Kwenye hii Dunia kama hujawahi kutwa na mauza mauza.Kaa kimya kula Ubwabwa kojoa ukaoge ulale furahia maisha yako.

Usijikute mtafitiii mwenye maneno mengi ambayo hujawahi ona wala kukutana na madhila ya hii Dunia chafu ya watu.
 
Hivi haya ya kweli? Bado sioni nini kinamvuta... Huo ni uchafu ka takataka nyingine
 
Naomba kujua hiyo namna isiyo ya kawaida.
Ni hicho hicho unachokiwaza ww.

Haijawah kuwa rahisi kupata ukweli ndo maana nmetumia neno "namna isiyo ya kawaida"...

Inaweza ikawa n ndumba au isiwe...

Ila namna hio inaleta mvuto juu ya kile nnachokifanya, inazuia vijicho, inazuia chuma ulete, na inalinda biashara.

Watu ni wabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…