Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Kwanza unakuwaje na mwanamke hawezi hata kujihudumia bana acha kudate na broke expensive malaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hakupendiNauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888
Niletee kajagamasta kadogo tu 😉Shogaangu unatumia kinywaji gani? [emoji2222]
Kwani ndugu na wewe hakuhudumii??? Point yangu hapa ni kusaidiana na kama yeye ana uwezo wa kukusaidia anapswa kukusaidia ila sio uwezo unao wa kumsaidia na unakuwa humsaidii unahis hapo unakuwa sawa?na wewe ni mswahili pia ndio mnaofanya mapenz yawe ya upande mmoja
Ndio mwanaume unapaswa kumuhudumia mwanamke wako kifedha, kimali, muda wako, na nafasi yako. 'To love is to give'. Utajiskiaje ukigundua kuna mwanaume mwengine anampa hela mara kwa mara? Mpe kulingana na uwezo wako hata kama hitaji lake hali maana kwako! Muhudumie! Na usifikiri kumuhudumia ni mupa hela nyingi. Uwe unampa hela ya kila week na kila mwezi maana wana mahitaji muhimu kama salon, mavazi, vipodozi, chakula, nauli nk. Be gentlemenNauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888
unatakaje dogoNauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888
Ni kweli mkuuNdio mwanaume unapaswa kumuhudumia mwanamke wako kifedha, kimali, muda wako, na nafasi yako. 'To love is to give'. Utajiskiaje ukigundua kuna mwanaume mwengine anampa hela mara kwa mara? Mpe kulingana na uwezo wako hata kama hitaji lake hali maana kwako! Muhudumie! Na usifikiri kumuhudumia ni mupa hela nyingi. Uwe unampa hela ya kila week na kila mwezi maana wana mahitaji muhimu kama salon, mavazi, vipodozi, chakula, nauli nk. Be gentlemen
Ukumbuke pia upande wa pili kuwa walikuwa wanahudumia mke sio gelofrendzaman wanaume walikua wanahudumia madem zao wala hawakuona ni umalaya. Kizazi chenu ubahili umewajaa mnatafuta sabb za kukwepa mnaita umalaya
Aisee buku 2 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888
HApo ningekimbia kama panya akisikia saut ya nyauuuMuda si mrefu nimeombwa kubadilisha mtungi wa gesi, kwenda kesho saluni kusuka rasta, wiki iliyopita kodi iliisha nikamlipia ya miexi 6, nyie acheni tu.
Ngoja nirudi nyumbani kwa shemeji yenu.
Mwanamke ambaye hatoi huduma bila pesa huyo ni malaya anayejiuza mapenzi kipindi cha uchumba kusaidiana kupo ila tumia akili sana usije kujichanganya kwa hawa kuku wa kisasa utageuzwa dangaNi kweli mkuu
vijana wanapenda kugonga ila siyo kuhudumia
HUO NI UONGO BWANA HAKUNAAAAUkumbuke pia upande wa pili kuwa walikuwa wanahudumia mke sio gelofrend
Kaze i matako bwana mjihufumie mbona baba zenu wanawasomesha 🤣🤣🤣🤣🤣HUO NI UONGO BWANA HAKUNAAAA
Haters gonna hate, but that's reality 😏🔑Demu anajiuza
Ni mkeo au hutaki kufanya investment ya pesa yako. Sielewi, zamani hata ndani ya uchumba hakuna kugusana wala kumhudumia nani wala nani mpaka uoe. Sasa kipindi hiki ambacho watu huanzisha mahusiano leo na kuvunjika kesho ndio useme uinvest, kama ni sex nitasubiri ndoa, sifi.Ndio mwanaume unapaswa kumuhudumia mwanamke wako kifedha, kimali, muda wako, na nafasi yako. 'To love is to give'. Utajiskiaje ukigundua kuna mwanaume mwengine anampa hela mara kwa mara? Mpe kulingana na uwezo wako hata kama hitaji lake hali maana kwako! Muhudumie! Na usifikiri kumuhudumia ni mupa hela nyingi. Uwe unampa hela ya kila week na kila mwezi maana wana mahitaji muhimu kama salon, mavazi, vipodozi, chakula, nauli nk. Be gentlemen
Ntawaua wote!!Ndio mwanaume unapaswa kumuhudumia mwanamke wako kifedha, kimali, muda wako, na nafasi yako. 'To love is to give'. Utajiskiaje ukigundua kuna mwanaume mwengine anampa hela mara kwa mara? Mpe kulingana na uwezo wako hata kama hitaji lake hali maana kwako! Muhudumie! Na usifikiri kumuhudumia ni mupa hela nyingi. Uwe unampa hela ya kila week na kila mwezi maana wana mahitaji muhimu kama salon, mavazi, vipodozi, chakula, nauli nk. Be gentlemen
huwez kuwa sawaKwani ndugu na wewe hakuhudumii??? Point yangu hapa ni kusaidiana na kama yeye ana uwezo wa kukusaidia anapswa kukusaidia ila sio uwezo unao wa kumsaidia na unakuwa humsaidii unahis hapo unakuwa sawa?