Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Hata ss mama zetu walitulea vyema. Ubaya hatukutoka tumbo moja mpaka uweze kuelewa. Mama yako pia ana mama yake ambae alimlea hvyo unavyoona bora. Ombea na uzazi wako watt wako wa kike wasije ambiwa wa hovyo na wanaume watakaowaona huko mbeleni kaka
😂😂 sasa mimi hao watakao wajudge mimi sitowahukumu maana ni opinion yao na wamefanya hivyo kulinda akili na amani yao moyo. Actually na pamoja na uwezo wakuimarisha uchumi. It's there opinion, hao watoto wangu wakike nitawalea wakue kimaadili na kujitegemea ila swala la kupata mwenza halipo mikononi mwangu aisee. Maana najua niliyopitia hivyo sitawahukumu hao vijana hata chembe.
 
😂😂 sasa mimi hao watakao wajudge mimi sitowahukumu maana ni opinion yao na wamefanya hivyo kulinda akili na amani yao moyo. Actually na pamoja na uwezo wakuimarisha uchumi. It's there opinion, hao watoto wangu wakike nitawalea wakue kimaadili na kujitegemea ila swala la kupata mwenza halipo mikononi mwangu aisee. Maana najua niliyopitia hivyo sitawahukumu hao vijana hata chembe.
Mungu akusaidie. Mm na ushenz wenu wote wanaume. Nasema hadharani wanaume wote sio washenz
 
Sawa kila mtu abaki na hamu zake....unamuona dada anapendeza unadhani ni bure bure...mpe hela apendeze zaidi usipohudumia wewe wapo wanaohudumia
Wawahudumie tu😂😂😂, haki hilo tendo nimeshaliona la kawaida sana na tamaa zangu nimezicontrol hivyo kazi kwanza ili niishi maisha mazuri, mwanamke yupo tu. Watu wanahudumiwa na wanacheat na kudharau waume zao, wao wahudumie tu. Naomba nisifike huko, ila ikinizidi kuna safe sex through mansturbation ikizidi na natumai haitafika, vijana wanasema nunua kwakuwa kitendo tu chakumhudumia girlfriend ni kumnunua. Anayehudumiwa ni mke tu na ndivyo nilivyofundishwa sirudii kosa.
 
Mungu akusaidie. Mm na ushenz wenu wote wanaume. Nasema hadharani wanaume wote sio washenz
Your opinion, mimi sihusiki hapo😂😂😂. Ila jua tu, I have my opinions pia.
 
Ubaya nyie ukionekana mbahili before ndo had ndoa hyo. Huhudumii familia
Yaani hiyo conclusion uliyoiweka, iweke hivyohivyo upande wenu. Asiyejua kutunza pesa au matumizi mazuri ya pesa, atabaki hivyohivyo hata ukimuoa na mbaya zaidi atazimaliza yeye na zikiisha atakulaumu na kukukimbia wewe😂😂😂. Hivyo tuishi humohumo tu hakuna jinsi.
 
Sijakukataza mm. Ulipogeneralize ukamtoa bimkubwa ndo nkaona kuna shida
Yaani jua tu mwanamke fulani kuitwa jina la mama, kamwe sio kama mwamamke yeyote kwangu ni special human to me. Kwako wewe ni mwanamke, kwangu mimi ni MAMA, vivyo hivyo na kwa BABA. Hamna shida, amenilea yeye na mzee hivyo kwangu mimi hao ni kama Mungu wa pili. Ni wazazi wangu!
 
Yaani jua tu mwanamke fulani kuitwa jina la mama, kamwe sio kama mwamamke yeyote kwangu ni special human to me. Kwako wewe ni mwanamke, kwangu mimi ni MAMA, vivyo hivyo na kwa BABA. Hamna shida, amenilea yeye na mzee hivyo kwangu mimi hao ni kama Mungu wa pili. Ni wazazi wangu!
Ah kumbe waliozaa fresh
 
Yaani hiyo conclusion uliyoiweka, iweke hivyohivyo upande wenu. Asiyejua kutunza pesa au matumizi mazuri ya pesa, atabaki hivyohivyo hata ukimuoa na mbaya zaidi atazimaliza yeye na zikiisha atakulaumu na kukukimbia wewe😂😂😂. Hivyo tuishi humohumo tu hakuna jinsi.
We nmegundua unapenda ligi😂😂😂
 
We nmegundua unapenda ligi😂😂😂
😂😂😂😂 sio ligi, nataka tuishi katika ulimwengu wenu muone jinsi mnavyokoseaga na mlivyo na unrealistic demands as well as expectations. Mmevunja maadili na tamaduni still mnataka same treatment😂😂😂, haitotokea. Hamjitambui hichi kitu sitaacha kukumbusha😂😂
 
Hata kama mwanamke wako Ana kazi nzuri kuliko wewe...pesa ya mwanaume ni tamu..mpe mwenzio hela bwana, toa mindset ya kununua mapenzi fanya kama unampa kwa ajili ya matumizi yake apendeze ale vizuri n.k mpe hela inanogesha penzi [emoji6]

Shogaangu unatumia kinywaji gani? [emoji2222]
 
Piga nyeto mkuu, huwezi kwenda kumndinya mtoto wa watu akiwa na njaa.
 
Back
Top Bottom