Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Kama kazini analipwa elfu 7 kwa siku akibeba mizigo je? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mahusiano ya Tz yana kizungumkuti sana, wengine chuoni tulikuwa na boyfriends mnaishi kila mtu anatumia pesa yake aliyopewa na wazazi wake,wanawake wenzio wanakuambia huyo atakupa nini. Huku kwetu ndio maana wasichana wadogo wanadate wakaka wakubwa au watu wazima, utasikia watu wazima wametulia na wanajielewa, huu ni uongo, sababu kubwa ni kutaka Kuhudumiwa utadhani yatima. Ni sahihi mpaka umri fulani msichana kuendelea kupata huduma kwao.

Watoto wa kiume nao kuruka stage, unaanzaje kuhudumia ikiwa hujasimama kiuchumi, bora kwa kipindi fulani uachane na suala la mapenzi hadi utakapokuwa tayari kimajukumu.

Wamama tulee watoto wakike vizuri, tuwapeleke shule na tuwafundishe majukumu yao ikiwa watakuwa wamefikia umri wa kutaka mahusiano, vivo hivyo kwa wanaume.

Kwenye ndoa tu ndipo mwanaume anapaswa kuhudumia, huku kwingine ibaki zawadi na motisha tu, tena ikiwa he can afford them.
Umeongea point binti kiziwi
 
zaman wanaume walikua wanahudumia madem zao wala hawakuona ni umalaya. Kizazi chenu ubahili umewajaa mnatafuta sabb za kukwepa mnaita umalaya
Kipindi hicho wanawake walikuwa na nidhamu na walikuwa wanatoa mbususu, hakunaga mwanaume mbahili kwa mwanamke mnyenyekevu.
 
[emoji1787][emoji1787] Pumbavu
Na wewe ndiye mteja wa kudumu una blue tick kule

Kantri hacha ujinga watu wanakuja PM niwape link ya group, wakati wewe unatania wenzio wanajua kweli
Wape link, labda kama haupo serious na hilo group.

Warembo wapo wengi mno, wazuri sana. Cute wife ni noma
 
Nauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?

mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888
Nakupenda lakini - kupenda kwa masharti.
Kama unanipenda - Guilt triping, manipulation, anataka kukufanya uone penzi lako halijakamilika.
Sijiuzi ila - ogopa hii kauli, iyo ni akili ya kawaida inapingana na uhalisia wake.
Akuna mapenzi ya kitoto - mapenzi ni mtaji.

Angalia utaratibu wako lakini ujue mwenye dau kubwa atamchukua.
 
Kipindi hicho wanawake walikuwa na nidhamu na walikuwa wanatoa mbususu, hakunaga mwanaume mbahili kwa mwanamke mnyenyekevu.
Watu wanataka mbususu bila kumhudumia mwanamke hata dala. Wakat nature ya mwanaume ni kumdhumia mwanamke. Ss imegeuka aidha asihudumie au ahudumiwe yy
 
Hata kama mwanamke wako Ana kazi nzuri kuliko wewe...pesa ya mwanaume ni tamu..mpe mwenzio hela bwana, toa mindset ya kununua mapenzi fanya kama unampa kwa ajili ya matumizi yake apendeze ale vizuri n.k mpe hela inanogesha penzi ๐Ÿ˜‰
 
Hata kama mwanamke wako Ana kazi nzuri kuliko wewe...pesa ya mwanaume ni tamu..mpe mwenzio hela bwana, toa mindset ya kununua mapenzi fanya kama unampa kwa ajili ya matumizi yake apendeze ale vizuri n.k mpe hela inanogesha penzi [emoji6]
Sista mbona hamjatoa mindset ya kwamba mnatumiwa hamtaki kuona ni mapenzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkilianzisha mjue kuyamaliza. Hakuna kifanya wife duties mpaka ndoa vivyohivyo hamna kufanya husband duties mpaka ndoa, hamna mtu anayetaka kuonekana fala au hopeless romantic.
 
Kwan mama ako mwanaume jaman. Ila nmefurah kama unajua mamako mwanamke bora basi wapo bora pia. Asubuh njema
Asubuhi njema sista, ila huo ni msimamo wangu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Wanawake wote akili zao ni zilezile, aliyenilea tu ndio hakufanya hivyo vitimbwi. Hamjielewi!
 
Asubuhi njema sista, ila huo ni msimamo wangu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Wanawake wote akili zao ni zilezile, aliyenilea tu ndio hakufanya hivyo vitimbwi. Hamjielewi!
Hata ss mama zetu walitulea vyema. Ubaya hatukutoka tumbo moja mpaka uweze kuelewa. Mama yako pia ana mama yake ambae alimlea hvyo unavyoona bora. Ombea na uzazi wako watt wako wa kike wasije ambiwa wa hovyo na wanaume watakaowaona huko mbeleni kaka
 
Sista mbona hamjatoa mindset ya kwamba mnatumiwa hamtaki kuona ni mapenzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkilianzisha mjue kuyamaliza. Hakuna kifanya wife duties mpaka ndoa vivyohivyo hamna kufanya husband duties mpaka ndoa, hamna mtu anayetaka kuonekana fala au hopeless romantic.
Sawa kila mtu abaki na hamu zake....unamuona dada anapendeza unadhani ni bure bure...mpe hela apendeze zaidi usipohudumia wewe wapo wanaohudumia
 
Mb*ny* ule wewe halafu kuhudumia wahudumie wenzio!
Ndio maana mafundisho mengi ya kidini yana asa uchumba usizidi miezi sita, muwe mmesha oana ili mwanamke apate matunzo akiwa ndani ya ndoa...
Mwanamke anayeliwa kwa maana nyingine ni mtu mzima mwenye mahitaji yake.
So broo, toa huduma ila kwa kadri ya uwezo wako.
Kama uwezo wa kugharamia nywele ni Tsh elfu kumi, usijilazimishe kutoa elf hamsini.
 
Nikuulize mkuu wewe unaamini? Kwenye imani gani? Yaani namaanisha dini? Islamic au cristian ukiachana na hivyo tamaduni yako ni ipi? Kabila gani?

Hii nafikiri ndio itatupa muongozo wa swali lako tulijibu vipi?

Na kwa maelezo mafupi? Tu

Kuna cha kumpa demu/mchumba na ni tofauti cha kumpa mke- ukichanganya cha kumpa mchumba ukampa mke hapo utakuwa umekosea pakubwa sanaa

Hudumu zinatakiwa zitofautiane usije? Ukampa demu pakubwa siku akija kuwa mke wako wa ndoa ukashindwa kumpa kwa ukubwa ulee wa uchumbani ukaja kumkosa asiyulie kwenye ndoa
Sasa mbona mnafanya tendo la ndoa nje ya ndoa?..
Ama hilo sio issue
 
Sista mbona hamjatoa mindset ya kwamba mnatumiwa hamtaki kuona ni mapenzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkilianzisha mjue kuyamaliza. Hakuna kifanya wife duties mpaka ndoa vivyohivyo hamna kufanya husband duties mpaka ndoa, hamna mtu anayetaka kuonekana fala au hopeless romantic.
Ubaya nyie ukionekana mbahili before ndo had ndoa hyo. Huhudumii familia
 
Sasa mbona mnafanya tendo la ndoa nje ya ndoa?..
Ama hilo sio issue

Hata wao pia wanatakaga baadhi ya vitu kabla ya ndoa

Na wao wenyewe wana kauli yao wanasema; tusiwape yote so ukishamuoa ndio anakupa yote

Hiyo ni kawaida tu sasa ukinogewa ukinipa yote shauri zako kila mtu aji-defense kimpango wake

Sasa hiyo kutompa yote sijui ndio inakuaje? Au wanasema kuifinyia kwa ndani yaani hatoifinyia kwa ndani mpaka umue
 
Back
Top Bottom