Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Muda si mrefu nimeombwa kubadilisha mtungi wa gesi, kwenda kesho saluni kusuka rasta, wiki iliyopita kodi iliisha nikamlipia ya miexi 6, nyie acheni tu.

Ngoja nirudi nyumbani kwa shemeji yenu.
Umeongea kwa hisia sana vipi ikatokea kuna jamaa mnyoa kiduku ndio anayemfikisha demu wako kihisia
 
Kuna demu nlikua namlomba lomba kitaa siku moja akanitumia msg ya command eti lazima nimhudumie kama ninavyohudumia familia yangu nikamjibu tu siwezi kuhudumia malaya. Suala la kuhudumia mwanamke ambaye sio mkeo ni suala la hiyari na si lazima. Hudumia siku unayotaka kwenda kumtomba mkimalizana huduma inakata hadi makutano mengine.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Sijatetea mtu. Nmesema kama umeamua kuchagua bumunda lako likupasue kichwa usijumuishe wanawake wote
That's my opinion my sister, sio kwamba ndio dunia yote inawaza hivyo ila kwangu mimi wanawake wote nishawaweka kundi hilo isipokuwa mama yangu mzazi hivyo ondoa shaka.
 
Hakujui vizuri huyo, telegram una group kabisa

[emoji1787][emoji1787] Pumbavu
Na wewe ndiye mteja wa kudumu una blue tick kule

Kantri hacha ujinga watu wanakuja PM niwape link ya group, wakati wewe unatania wenzio wanajua kweli
 
Nlitongoza drm akawa anakuja kila diku usiku kull kwangu. Akitoka nikimpa hela ya usafiri nampa nyingi ht 20 au30. Nikimwambia hii kasuke au kanunue kitu flani.
Kaja km 5 dayssikuwa nampa kila siku kiasi hiki. Kuna mda nampa tu 10 ya nauli.
Badae akajenga tabia ya kuomba chakulana hoteli anayofanyia kazi chakula bei ndogo buku10, soda tu ni 1000.
Nikawa nakausha. Siku moja ananibia dear nimeishiwa maji ya kinywa mtume boda aniletee, nikamuuliza unamaanisha maji unakunywa ya dukani.
Nikamblock hapohapo
 
kaka sio kila omba omba wapo barabaran, wengne tnao kwny mahusiano. Yn kwa maelez ya huyu dada hana tofaut na anaejiuza na wanakuwaga wakali sana ukiwanyima hela utasikia ushawah ona mchezaj wa simba analipwa mshahara na yanga?. Ukimuangalia uson masikin sura ya baba kbs
 
That's my opinion my sister, sio kwamba ndio dunia yote inawaza hivyo ila kwangu mimi wanawake wote nishawaweka kundi hilo isipokuwa mama yangu mzazi hivyo ondoa shaka.
Kwan mama ako mwanaume jaman. Ila nmefurah kama unajua mamako mwanamke bora basi wapo bora pia. Asubuh njema
 
[emoji2222][emoji2222] Usichukulie serious mimi natania!

Ila mwanamke aliyepooza km uji uliopoa anaboa, wa tozo tumechachuka! Weka chuma niweke chuma mambo bulibuli [emoji6]
Hahahah basi tutaniane hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom