Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kuhudumia inasaidia kunogesha mahusiano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2000 kwa siku haitoshi kama unamfeel??
Ha ha ha ha ha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume,
Kila siku nawaambia, acheni kudate na Wanawake waliowazidi UMRI.
Dogo hio sms inaonyesha kuwa una date na retired war veteran, Bed to bed Midfielder ngono kante.
Be a Man, you deserve better.
Duuuh Kwa hiyo mahusiano siku hizi ni ajira aisee ,Nauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888
acha ubahiri😃😂😂2000 kwa siku haitoshi kama unamfeel??
Sitaki bwana😂2000 kwa siku haitoshi kama unamfeel??
kama kipato kimeishia hapo je...acha ubahiri😃😂😂
Nauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 26498882000 kwa siku ni ndogo ukizingatia mfumuko WA bei n.k, atleast 50K kwa week kama uchumi wako hauko stable na unaishi location ambazo bei za mahitaji muhimu ziko chini, njia nzuri naona ni kununua stock ya kusogeza ata mwezi, then unafocu na ela ndogondogo za mboga n.k. Mbadala ni muhimu kujichanga n kumfungulia biashara kama huna uhakika WA kumwachia matumizi daily kupunguza ukubwa WA majukumu fact huyo Moto anakupenda is just hayuko comfortable they way mnaishi, Tho si muhimu kuingia kwenye mahusiano kama uchumi hauko stable.
basi ukusanye uwe unampa 60 ya pamoja kila mwezi😂😂kama kipato kimeishia hapo je...
Ukimpa kwa mkupuo baada ya wiki mbili anaomba tena...jamaa kaambiwa akaushe yeye haelewi.Elfu mbili kila siku maana yake ni buku 60 kwa mwezi sasa si bora umpe tu buku 60 kwa pamoja huenda akaona nyingi kuliko kumpa buku mbili kila siku
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tena umeandika Kwa herufi kubwa.NI LAZIMA.