Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Je, ukiwa kwenye uhusiano wa Kimapenzi na Mwanamke ni lazima kumhudumia Kifedha?

Huwa mnawapata wapi hao malaya?
Kimboka, chako ni chako, kitambaa cheupe, forodhani, vyuoni, stendi za mabasi, wapangaji, huko ndiko wanako okotana[emoji23].

Mwanaume kutoa ni muhimu lakini sio lazima, toa inapohitajika, atleast kwa mwezi mshitue hata na kijihela cha kumpooza na kumsahaulisha kuwa humuhudumii.

Haya mapenzi ya kise...ng* yamekuwa kama Biashara sasa mtu kabla ujamtongoza unawaza kwanza mtaji wa kudumu nae kwa muda gani.

No money no honey, suluhisho ni kuwa na wanawake wengi iwezekanavyo, akizingua huyu unavuta yule, hakuna kupumzisha akili.

Tuendako mapenzi yatahitajika mtu awe na TIN number na bima ya mahusiano maana pesa imeshika kila mahala[emoji16][emoji23].
 
Aise ni juzi tuu nimetoka kutongoza single mama mmoja akaniambia habari za kumuhudumia ikabidi niachane nae. Nilijiuliza sasa kabla ya mimi kumtongoza alikua anaishije, nilikosa majibu. Namba nimeblock na kufuta kabisa sitaki ujinga.
 
Mwambie hiyo 2000 inatosha kutunza kwenye kibubu na si kuhonga mwanamke.

Pesa kwanza mwanamke atakuja mwenyewe.
 
Kwenye elimu ya uzazi hicho kipengele kinaitwa "Transactional relationship"
 
Nilishawahi kudate na mdada amenizidi miaka kama mitano ..kuna kipindi alikua anajisahau ananishika bega halfu anaanza kunishauri kuhusu maisha na ananiambia usikate tamaa mdogo wangu pambana utafanikiwa uje uishi vzuri na familia yako na mke wako pia 😅😅
 
Aise ni juzi tuu nimetoka kutongoza single mama mmoja akaniambia habari za kumuhudumia ikabidi niachane nae. Nilijiuliza sasa kabla ya mimi kumtongoza alikua anaishije, nilikosa majibu. Namba nimeblock na kufuta kabisa sitaki ujinga.

Bwashee kwahiyo ulitaka kujimegea kisela [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom