akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Umuhudumie mwanamke kwani ni mlemavu wa akili au mwili??!! Hudumia watoto na wazee, ukiona mwanamke anadai huduma ujue huyo yupo ktk BIASHARA YA NGONO kajificha ktk KICHAKA CHA MAPENZI, kama unamnunua sawa endelea, ila kumbuka siku ukipungukiwa hakuna penzi, wanawake wa kuhudumia ni wale wamama wa nyumbani per se, anakupikia na kukufulia 24/7, siyo hawa wa 50/50.Nauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima?
mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
View attachment 2649888