Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Poleni sana mabinti,wakati wa MUNGU ni sahihi.pia nanyi msisubiri kufatwa binti changamka.
Mambo yamechemka huko nje noma sana.
Mtu anakufata unaanza kujizungusha mara sijui ufikirie na kumbe unamuelewa..eiish baby gal ni kubaya siku hizi,ukipata shikilia.
 
Unamdanganya mwenzio kwa kumpa tu moyo. Please please. 30 is not just a number, it is a limitation in a lot of bodly and mindset perspectives. Please tuambiane ukwel 30 now na huna mtoto wala family hii sio salama hata kidogo labda kama huna mpango wa kuwa navyo otherwise it is a red flag.

Labda kwa mwanaume lakin kwa mwanamke huu ulikua umri wa either kumaliza uzazi kam sio umeshamaliza kabisaa na una concerntrate kwenye malezi na ku secure your own future and prosperity for kids na family.

30s for ladies, is not a joke. Is disaster.

NB
Neno langu sio sheria l. Ni mtazamo tu unatokana na experience

Kumbe kuna ushauri huwa unaubania au kunipigia simu ni ngumu kuliko kuandika insha Jf , arifu huu mwaka ni wa kusafisha contact list, kama unaona naelekea shimoni na upo kimya, hii ni redflag bro 😁😁
 
Wala siyo wao ni jamii ndio imewajengea wanawake hasa wa kiafrika hiyo mentality so wanakuwa hivyo kwa sababu wanaogopa jamii itawachukuliaje, laiti kama jamii ingeacha kuwasema vibaya wanawake wanaochelewa kuolewa au kuzaa kama kwa wenzetu wazungu basi mtashangaa wanafika hadi miaka 40 na hata hawashituki, kitu ambacho wanaume hamtaki ndio maana mnaendelea kuwasema na kutumia ndoa kama fimbo ya kuwachapia ili waolewe mapema iwe faida kwenu na wawe watumwa wenu
tatizo lenu ni ujuaji mwingi. Unakuta mdada anadate na wanaume 5 kwa wakati mmoja. alafu hapo hapo anakwambia anatafuta mwanamme wa kumuoa. huyo kama siyo chizi ni nani?
 
Kumbe kuna ushauri huwa unaubania au kunipigia simu ni ngumu kuliko kuandika insha Jf , arifu huu mwaka ni wa kusafisha contact list, kama unaona naelekea shimoni na upo kimya, hii ni redflag bro 😁😁
Wewe tatizo akili nafalsafa nyingi..unapenda kupindua pindua kila ulaoambiwa ulichambueeee
 
Wengi wanalisahau ila lipo sana, kuna laana, mikosi, vifungo n.k
Haya yanawatesa wengi na ni sababu kubwa pia ya wengi kushindwa kuwa na familia wakifika 30.
acheni kutengeneza imani zisizo na msingi. yaani mwanamme na mwanamke kuishi pamoja laana inatokea wapi?. tatizo dada zetu wanataka sherehe kubwa, mwanamme mwenye kazi nzuri, mwenye magari mengi na nyumba.
 
Back
Top Bottom