Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Au ndio yale wanawake wazuri wameolewa ..yamebaki manungayembe yanahangaika ? ...kwa kuchagua wapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale jamaa nao ule wimbo ulikua too much 😂😂Au ndio yale wanawake wazuri wameolewa ..yamebaki manungayembe yanahangaika ? ...kwa kuchagua wapenzi
Hahahahahahaha...jamaa waliitwa Ngoni Tribe ..hatari lile songWale jamaa nao ule wimbo ulikua too much 😂😂
Unamdanganya mwenzio kwa kumpa tu moyo. Please please. 30 is not just a number, it is a limitation in a lot of bodly and mindset perspectives. Please tuambiane ukwel 30 now na huna mtoto wala family hii sio salama hata kidogo labda kama huna mpango wa kuwa navyo otherwise it is a red flag.
Labda kwa mwanaume lakin kwa mwanamke huu ulikua umri wa either kumaliza uzazi kam sio umeshamaliza kabisaa na una concerntrate kwenye malezi na ku secure your own future and prosperity for kids na family.
30s for ladies, is not a joke. Is disaster.
NB
Neno langu sio sheria l. Ni mtazamo tu unatokana na experience
tatizo lenu ni ujuaji mwingi. Unakuta mdada anadate na wanaume 5 kwa wakati mmoja. alafu hapo hapo anakwambia anatafuta mwanamme wa kumuoa. huyo kama siyo chizi ni nani?Wala siyo wao ni jamii ndio imewajengea wanawake hasa wa kiafrika hiyo mentality so wanakuwa hivyo kwa sababu wanaogopa jamii itawachukuliaje, laiti kama jamii ingeacha kuwasema vibaya wanawake wanaochelewa kuolewa au kuzaa kama kwa wenzetu wazungu basi mtashangaa wanafika hadi miaka 40 na hata hawashituki, kitu ambacho wanaume hamtaki ndio maana mnaendelea kuwasema na kutumia ndoa kama fimbo ya kuwachapia ili waolewe mapema iwe faida kwenu na wawe watumwa wenu
Ili uni ambie sikupi heshima yako 🙄😀Vyooote vinavyoandikwa hum na kujibiwa ni mitazamo binafsi . We nipe tu za uso hizo usiogope
Wewe tatizo akili nafalsafa nyingi..unapenda kupindua pindua kila ulaoambiwa ulichambueeeeKumbe kuna ushauri huwa unaubania au kunipigia simu ni ngumu kuliko kuandika insha Jf , arifu huu mwaka ni wa kusafisha contact list, kama unaona naelekea shimoni na upo kimya, hii ni redflag bro 😁😁
AhahahahahaIli uni ambie sikupi heshima yako 🙄😀
Hahahahaha...huyo kweli Chizitatizo lenu ni ujuaji mwingi. Unakuta mdada anadate na wanaume 5 kwa wakati mmoja. alafu hapo hapo anakwambia anatafuta mwanamme wa kumuoa. huyo kama siyo chizi ni nani?
Upewe maua yako tu maana hakuna namna! 👏👏👏👏...usikimbizane na muda wala usishindane na watu. Shindana na wewe wa jana. Jaribu kubadilika kila siku na kujifunza faida ya ulichobadilisha kwenye maisha yako.
Dah hahaha, ile nyimbo sija wahi isikiliza.Au ndio yale wanawake wazuri wameolewa ..yamebaki manungayembe yanahangaika ? ...kwa kuchagua wapenzi
Kwamba hata mki mwelewesha, still ata bisha😀🤣Upewe maua yako tu maana hakuna namna! 👏👏👏👏
acheni kutengeneza imani zisizo na msingi. yaani mwanamme na mwanamke kuishi pamoja laana inatokea wapi?. tatizo dada zetu wanataka sherehe kubwa, mwanamme mwenye kazi nzuri, mwenye magari mengi na nyumba.Wengi wanalisahau ila lipo sana, kuna laana, mikosi, vifungo n.k
Haya yanawatesa wengi na ni sababu kubwa pia ya wengi kushindwa kuwa na familia wakifika 30.
Dah ndo nime isikiliza hapa, mutu chibonga,😀🤣Wale jamaa nao ule wimbo ulikua too much 😂😂
Wanataka andazi la regency😀Ila kwa stories na nyuzi za humu na michango ya sishangai ..wadada kuwa hivi wanachagua