Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mkuu una fahamu tendo la ndoa, sio kimwili na kiroho pia??.Hayo ya burudani kwa wote ni mawazo mliyoyatengeneza vichwani mwenu tu, kwani unaweza kunijibu mwanamke akiwa na mwanaume mmoja anafaidika nini, na akiwa na zaidi anapungukiwa nini physically
Unaona sasa mnataka kuanza kuleta personal attacks, wewe umeona kuna mahali mimi nimekuuliza kama umeoa, jitahidini kujadili hoja basiwewe umeolewa?
dating namaanisha mwanamke anamahusiano na wanaume 5 na wote analala nao kwa ratiba zake tofauti tofauti. Wewe unaona hii ni njia sahihi ya kutafuta mwanamme wa kumuoa?mkuu yaelekea huelewi maana ya kudate ni nini ?
datting ni kama step ya kujuana na mtu. ni kama kufanyiana interview ya kuwa wanandoa.
interview hupaswi kumfanyia mtu mmoja pekee.. maana utakuwa unapoteza sana muda.
ni sahihi kabisa kwa mdada anayetafuta mume kudate hata na wanaume watano ndani ya muda mmoja. maana hajui nani ni sahihi kwake na nani ndie atamuoa
Nita share knowledge hiyo siku niki karibia kufaππ€£.Hiyo 26 sasa umeijuaje??
Mie miaka ya 20 mbususu yenyewe nilikuwa sijaonja nimekuja kuonja mbususu nina miaka 26 ndio maana zimenichanganyaKaongo uko 20s ndiyo maana huhangaikiπ
Ndio nikakuuliza huo umalaya (or whatever you call it) una hasara gani kwa mwanamke physicallyMadam kutembea na wanaume 5 ni ukweli mchungu??, Au ndo ku declare umala...ya wenyewe[emoji849][emoji848].
Hahahahaha...sio nkenda sio leila mitaa yao miyeyusho...Uko vizuri mkuu, hahaha.Ndio nataka Dem ila tuanzie makumbusho.
Sio Leila yule miyeyusho.
Ni sahihi kabisa, si kila mwanamke anapaswa kuolewa. na asilimia kubwa ya wadada type yako ni either ni singo maza, feminist, umeolewa na kuachika au mahusiano yako hayana afya. Hapa najua nabishana na mwanamke ambaye ashaharibikiwa, huu ushauri siyo wako na katu huwezi kuuelewa.Kwanza ujue mimi nashangaa mnawaonea huruma wanawake kwa ajili gani, waacheni na ujinga wao yani wao wenyewe hawajionei huruma halafu ninyi ndio mnapoteza muda wenu kuwaonea huruma, kwani ninyi mna hasara gani wanaoumia si ni wao ninyi pigeni na kusepa tu msihangaike kuwaoa
Daahhhhh πππππΎππΎππΎππΎWewe tatizo akili nafalsafa nyingi..unapenda kupindua pindua kila ulaoambiwa ulichambueeee
Sasa ujuaji unahusiana nini na mwanamke kuwa na wanaume watano, mwanamke siku zote hajui ni nani atakayemuoa kwa sababu ndoa haamui yeye sasa unataka awe na mwanaume mmoja huyo asipomuoa je, bora awe na zaidi ili asipoolewa na huyu anaweza akaolewa na yule je ni wanawake wangapi wanakuwa na mwanaume mmoja na bado hawaolewi wanaachwa vile vile
Wewe hufai kuwa mke wa mtu. Unaweza kusababisha mauaji.Hayo ya burudani kwa wote ni mawazo mliyoyatengeneza vichwani mwenu tu, kwani unaweza kunijibu mwanamke akiwa na mwanaume mmoja anafaidika nini, na akiwa na zaidi anapungukiwa nini physically
Unaona sasa mnataka kuanza kuleta personal attacks, wewe umeona kuna mahali mimi nimekuuliza kama umeoa, jitahidini kujadili hoja basi
Ahahahah...kwan huko kwenu wenzetu bado mnasoma kizamani?? Mbona 24 ndio umeri wa kumaliza chuo?. Kiuhalisia mtoto anatkiwa kuanza shule darasa la kwanza akiwa na 5 years.
Dooh!! Bas sijui ilikuaje na hiyo miaka ya nyuma labda iwe nyuma sana sio hiinya generation yako. Maana nimezaliwa the very late 80's na bado nimehitimu chuo at 24 yrs 2013Labda miaka hii. Miaka ya nyuma hapo darasa la kwanza ni miaka 7.
Sasa 7 + 7+4+2+3 ni ngapi?
Na hapo nimepiga mitatu kwa kwa chuo japo kuna wanaosoma minne na mitano .
Na hapo ni kwa walioenda moja kwa moja bila kurudia darasa wala kupitia diploma.
Hahahaha..hela kivipi sasa iweke sawa...mie nikisikia mdada anapenda hela namkubali sana ila aweke wazi dau lakeEwaaaaaah yanini niteseke duniani na bado uhakika wa kwenda mbinguni sina?πππ
Wewe ni mdogo angu na unajua fika kaka yako siwez shindwa kulea mkeo na katoto kamoja viwili wewe ukiwa bado unajitafuta kama kisingizio ni maisha .maana ndio sababu pekee vijana watakuambia ukiwauliza kwann hawaanzishi familyDaahhhhh πππππΎππΎππΎππΎ
Sasa brother nisichambue au kuchuja kitu nachoambiwa, sasa nitafanyaje maamuzi
Ila comment yako ni soft way ya kuniambia mimi ni mr. Right, Mr. never told, Mr siambiliki. Imenichoma sana moyo π
Mkuu bora na wewe useme maana nikisema mimi naonekana nawatetea wanawake kuwa malaya, nimegundua wanawake wengi siyo kwamba wanapenda kudate wanaume zaidi ya mmoja ila wanaume wengi ndio wanawalazimisha, wanaume wenyewe unakuta kapanga msururu wa wanawake kibao na anajua kabisa hapo wote anawachezea tu hawaoi au ataoa mmoja tu sasa hao wengine anataka wafanye ninimkuu yaelekea huelewi maana ya kudate ni nini ?
datting ni kama step ya kujuana na mtu. ni kama kufanyiana interview ya kuwa wanandoa.
interview hupaswi kumfanyia mtu mmoja pekee.. maana utakuwa unapoteza sana muda.
ni sahihi kabisa kwa mdada anayetafuta mume kudate hata na wanaume watano ndani ya muda mmoja. maana hajui nani ni sahihi kwake na nani ndie atamuoa
Hahahahaha...umeanza kitendo ukubwaniMie miaka ya 20 mbususu yenyewe nilikuwa sijaonja nimekuja kuonja mbususu nina miaka 26 ndio maana zimenichanganya
dating namaanisha mwanamke anamahusiano na wanaume 5 na wote analala nao kwa ratiba zake tofauti tofauti. Wewe unaona hii ni njia sahihi ya kutafuta mwanamme wa kumuoa?
Hahahahaha...wana vikwazo vingi...acha wazeeke majumbani kwao""NAMBA YANGU UMEPATA WAPI"" nayo ni kikwazo