Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Mi kinachonisumbua ni perfectionism ndo kinachonifanya nichelewe
 
Kwani ukiambiwa Dunia imepitia wakati fulani ni kwamba lazima iwe ni Dunia yote ?

Hakuna swali ambalo sijalijibu, labda useme hukutegemea kujibiwa maswali yako kwa ushahihi.

Mada gani ambayo nimeitunga ? Sababu bado nipo kwenye majibu ya maswali na nimeendelea kukuonyesha madhara ya mwanamke kuwa na Wanaume wengi, hii ndio nukta yako ya mzozo. Halafu unaandika uongo kwamba sijakujibu maswali yako ?

Swali gani ambalo sijakujibu ?
 
Uko sahihi ndiyo maana nimesema unaweza kupata mwenza. Sijasema kila anayemtafuta mdada lazima awe mtu sahihi.
Na kama uko JF muda mrefu utagundua kila mdada humu ana kipindi chake cha ku kiki ama cha kufuatwa fuatwa PM kama vile ilivyo huku mitaani. Hicho ni kipindi Cha kuchagua mtu sahihi wa kufanya nae maisha iwe huko mtaani au humu.
 
Sasa hizo jamii zilizopitia mfumo jike ni jamii ngapi na je zilikuwa na ushawishi kiasi cha kufanya mfumo jike ukubalike duniani, ndio maana nikasema tunapojadili hizi mada tuongelee wanaume au wanawake wa dunia nzima na siyo wa jamii fulani na dunia kwa ujumla wake inaendeshwa na mfumo dume haijawahi kuwa na mfumo jike, swali ambalo hujanijibu ulisema mwanamke kuwa na wanaume wengi ni habari na anadharaulika nikakuuliza mbona kwa wazungu siyo habari ni jambo la kawaida tu na hawadharauliki
 
Jadda une nikumbusha binti fulani, aisee alikuwa worth opponent.
👉Aisee hata waje 100, mta kalishwa iwe sahihi au sio sahihi😀😂
 
Mwanamke kuwa na tabia mbovu kwenye ndoa haimaanishi hakuolewa kwasababu ya kuwa na tabia njema, wengi huja kubadilika baadae sasa mwanaume sio malaika kujus kuwa huyu atabadilika....YOU as women unachotakiwa ku note ni kuwa na tabia njema ukiwa kwenye mahusino Am tell you hata uwe na uso kama Hamorapa unakuwa na nafaimsi kubwa ya kuolewa.

Nachojaribu sema tabia njema tunayozubgumzia hapa ni ile iliyokupa tickets ya ndoa ukibadikika baada ya ndoa yes yeye bado ni binadamu si hoja iliyopo mezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…