Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Kila niki Soma hoja zako, naona Zina onyesha maamlaka.
👉Mkuu legeza legeza basi, utakuja kusabisha watu walie😀🤣.
 
Duuh naona taratibu mnaanza kupunguza vigezo, kwahiyo sasa hivi sifa siyo tena kutulia na mwanaume mmoja, bali ni kuwa submissive tu kwa wanaume si ndio
Wapi niliposema mwanamke awe na wanaume wengi anakuwaje na wengi alafu aitwe Submissive...unajua maana ya kuji Submit.
Yani wewe hapo unataka kuniambia kwamba unaweza kuoa mwanamke malaya, kwa sababu tu ni submissive kwako maana hizo sample ulizonitajia hapo, ni certified and chartered sluts na wanajivunia kabisa they do not care
Sijazungumzia umalaya, nimezungumzia umapepe maana ningekutolea mfano Mwajuma wa mtaani kwetu usingemjua kwenye mada hizi natafutaga mtu ambaye wote tutamjua....unapenda ku twist mfano ukupe mada.
Ukiona mwanaume anaoa mwanamke tabia zake zinaonelana nzuri kwenye jamii jua kwanza ametanguliza tabia za ndani ya mahusiano ndio aka angalia hizo za jamaii....Seems kwa ubongo wako nilivyokusoma nikisema mwanaume anaangalia tabia za ndani ya mahusaino kwako unatafsiri kuwa huyo mwaume haruhusiwi kuangalia tabia za nje zinazoonelana kwa jamii....tatizo hapa naona ni Critical Thinking.
 
Ukiwa unasoma jitahidi kusoma na kuelewa, katika nukta ya kuhusu kushindana sijasema kushindana na mwanaume nimeandika kushindana na mtu, yaweza kuwa mwanamke mwenzako au kinyume chake.

Bibie kumbe tatizo lako ni uelewa, nimeandika kiasili mwanamke ni wa mwanaume mmoja, na sijaandika mwanamke wa mwanaume mmoja ndio anae olewa.

Usiwe unajibu kitu ambacho hujakielewa, unanipa kazi mbili kwa wakati mmoja, ya kwanza kusahihisha ufahamu wako na kazi ya pili kujibu kile ulichopaswa ukielewe kwa usahihi. Kwa minajili hiyo hujakidhi vigezo vya kujadiliana.
 
Naona bibie unaondoa umakini katika mjadala. Madhara gani ya kufikirika ? Kudharauliwa, kuchakaa, mizozo, msongo wa mawazo na mengine ni ya kufikirika ?

Kama unajua kipi kinachokushinda kuweka ushahidi.

Mimi nimekuonyesha ya kuwa jambo hili ni habari kwa wote na ndio maana athari hasi zimebakia pale pale miaka na mikaka.
 
Ukisaidiwa majukumu ndio dharau zinapoanzia, nyinyi wanawake mukipewa pima munataka shubili, Sina ujinga huo
 
Kwani wewe jadda hutaki mume wa kukuweka ndani Na kukupelekea Moto Tu Na kumzalia?
 
Mkuu tabia huwa haijifichi mwanamke kama anamtreat mume wake vizuri au vibaya jamii lazima itaona tu hakuna cha tabia za ndani wala za nje, okay sasa kama mnaoa wanawake wanaojisubmit kwenu mbona malalamiko ya wanaume kwenye ndoa kuhusu wake zao yamekuwa mengi, kwa sababu kwa mujibu wenu ni kwamba kabla ya kuoa mnakuwa mshachunguza tabia za hao mnaotaka kuwaoa si ndio
 
Wewe naona unazunguka sana halafu hakuna cha maana ulichonijibu hadi sasa, yani umeamua kukwepa hoja kwa kufanya kama vile mimi ndio sijakuelewa, na ni mimi ndio nimetoka nje ya mada

Acha ujanjaujanja jibu maswali yangu hayo madhara uliyonitajia, yanamu affect vipi mwanamke moja kwa moja na yanamzuia vipi yeye kuolewa, na je una uhakika kwamba wanawake wote wanaoolewa wana mwanaume mmoja tu

Msingi wa hii hoja ulikuwa ni kusema kwamba mwanamke akiwa na wanaume wengi haolewi, kwahiyo hatuwezi kuukwepa msingi wa hii hoja ndio maana nikakuuliza na wewe hilo swali, au ulivamia tu mada bila kujua hoja ilipoanzia
 
Ukisaidiwa majukumu ndio dharau zinapoanzia, nyinyi wanawake mukipewa pima munataka shubili, Sina ujinga huo
Kwani wewe jadda hutaki mume wa kukuweka ndani Na kukupelekea Moto Tu Na kumzalia?
Kuliko kuwa na mwanaume wa aina hiyo heri nibaki single maisha yangu yote, kuna umri nilifika nikaanza kujisikia vibaya kuomba pesa hata kwa wazazi wangu tu sembuse kwa mwanaume, na pia siwezi kuwa na mwanaume anayedekadeka anataka afanyiwe vitu kama mtoto wakati nimempunguzia mzigo wa kunihudumia na anaona kabisa namsaidia majukumu yake
 
I am the opposite. Huwa nasahau kuna huo upande wa maisha😁😁. Kuna saa nakua napanga mipango then nashtuka najiuliza hii mipango mbona kama haina considération ya mwili mmoja.
 
Ungekuwa serious usingeandika haya uliyo andika hapa. Ila kwakuwa haupo serious wacha nikwambie machache ambayo yatakusaidia.

Unahisi wewe na hao wenzako ambao mnahisi mnashindana na wanaume mnamkoa nani zaidi ya kuteseka na kuishi kwa huzuni na upweke?

Wanaume hawalalamiki sababu hii kitu inawatesa wao ila ni huruma juu yenu wenyewe na pia kutazama ustawi wa jamii.

The worst that is yet to happen kwa jamii ya mwafrika ni yale yale yanayotokea mataifa ya kimagharibi huko (am not sure if unajua au kufuatilia kinachoendelea mataifa ya magharibi kwa sasa).

Furaha yako ni illusion uliyobeba kichwani ukidhani kila mtu anajali au upo entitled kupewa au kuona unachokitaka.

Sasa wewe ukizeeka ukachoka na ukawa na fatherless kids mimi kama mwanaume inanizuia nini kutafuta mwanamke younger than you ambaye hana mtoto tukaanzisha familia ?

Au wewe kuwa na kazi ambayo mapato yake hayatanisaidia tukiishi pamoja ina tofauti gani na nikiwa bila wewe?

The point is mkiharibu hii jamii kwa viburi, ego, utoto na uzembe wenu hasara itaanza watafuna ninyi kwanza.

Nakwambia hivi kwasababu mkilea watoto bila baba wakiwa majambazi nani atakuwa kwenye risk kubwa ya kushambuliwa kati ya mwanaume na mwanamke, si unakumbuka "Panya Road" habari yake, nani walikuwa wanakabwa kila uchao?

Haya tuje makahaba na Wadangaji, hawa watoto wa sasa hivi wa mwaka 2000 tu tazama wanavyovamia wanaume za watu rika za babu zao, nani ana athirika hapo si ninyi wanawake maana vibinti vinawazidi kete, dada wa mwakan1980 utakompete kimvuto na binti wa mwaka 2000 shughuli yake utaiweza?

Haya kulea watoto bila mwanaume, kodi, matunzo, gharama za utility ndani ya nyumba, zote utazibeba na bado mtoto akikua anasepa utabaki pekee yako nani aliyekwambia hiyo inamuathiri mwanaume kuliko mwanamke?

Upweke wa maisha bila mwenza wa maisha ni kichochezi kikubwa cha magonjwa ya akili na afya ya mwili kama kisukari, stroke, kiharusi kwa wanawake miaka hii, ulizia data za wataalamu ujifunze acha kuleta petty arguments hapa.

Wanawake single ndio mnaoongoza kurubuniwa na wanasiasa na kuchagua viongozi wa hovyo na hii inaathiri sana maendeleo ya jamii in the long run, fuatilia utajionea hizi tafiti zipo na zinasema ukweli?

Madhara ni mengi kuliko faida ila sababu unahisi ni ujanja kushindana, then "continue to Fuuck around then you will find out".
 
Kwahiyo kwa maneno yako una maanisha kuwa mwanamke ni boksi, hana utashi wake?

Yaani kujiheshimu kwann iwe matokeo ya mwenendo wangu mimi?

Kwahiyo mfano mimi akitokea binti akanibambikia kesi kuwa nilimbaka na akapata ujauzito yeye akienda nje akapata mimba kunirudishia halafu ikajaonekana baadae kuwa binti alinisingizia then akaniomba msamaha yeye atafuta vipi maamuzi ya kutoka nje ili kujibu shambulizi.

Huoni kuwa hizo ni akili za kipumbavu kabisa kwa mwanamke kuwa nazo?

Basi ndio maana siku hizi hawaolewi eti.
 
Kumbe kuwa single mothers ni kitu mnachagua kwa hiyari yenu sasa mbona kwenye vyombo vya habari mkihojiwa huwa mnasema wanawake wananyanyasika sababu wanaume wanawapa mimba kisha kuwatelekeza?

Unajua inabidi muwe specific badungu? [emoji23][emoji23][emoji23]

Hii statement yako itakuja kukuhukumu siku moja.
 
Kwako kutokuoa mwanamke asiye na maadili inamaana kutokuoa kabisa, wenye maadili wataolewa wewe baki na tabia zako mbaya jitetee nje kumbe ndani unaumia eti zama zimeisha.
Atakuwa bado anakua huyo mtu ambaye amefika 30 hawezi ongea statement za kisekondari kama huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…