Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Haha yes nimepitia ila hilo halihusiani na hii misimamo yangu mkuu, inakera unabishana na mtu badala ya kuleta facts anakuja na mihemko wewe mwenyewe si umejionea hapo, mtu confidently kabisa anakutajia takwimu ambazo hajazifanyia utafiti mradi tu atetee uongo wake
Kila niki Soma hoja zako, naona Zina onyesha maamlaka.
👉Mkuu legeza legeza basi, utakuja kusabisha watu walie😀🤣.
 
Duuh naona taratibu mnaanza kupunguza vigezo, kwahiyo sasa hivi sifa siyo tena kutulia na mwanaume mmoja, bali ni kuwa submissive tu kwa wanaume si ndio
Wapi niliposema mwanamke awe na wanaume wengi anakuwaje na wengi alafu aitwe Submissive...unajua maana ya kuji Submit.
Yani wewe hapo unataka kuniambia kwamba unaweza kuoa mwanamke malaya, kwa sababu tu ni submissive kwako maana hizo sample ulizonitajia hapo, ni certified and chartered sluts na wanajivunia kabisa they do not care
Sijazungumzia umalaya, nimezungumzia umapepe maana ningekutolea mfano Mwajuma wa mtaani kwetu usingemjua kwenye mada hizi natafutaga mtu ambaye wote tutamjua....unapenda ku twist mfano ukupe mada.
Halafu wanaume huwa mnapenda kuoa wanawake ambao tabia zao njema zinaonekana mpaka kwenye jamii, yani pale jamii inapowasifia ninyi ndio mnaona fahari sasa wewe ndio mwanaume wa kwanza, naona unasema eti unaweza kuoa mwanamke mwenye tabia mbaya kwenye jamii ila tu awe anakuheshimu.. pathetic!!
Ukiona mwanaume anaoa mwanamke tabia zake zinaonelana nzuri kwenye jamii jua kwanza ametanguliza tabia za ndani ya mahusiano ndio aka angalia hizo za jamaii....Seems kwa ubongo wako nilivyokusoma nikisema mwanaume anaangalia tabia za ndani ya mahusaino kwako unatafsiri kuwa huyo mwaume haruhusiwi kuangalia tabia za nje zinazoonelana kwa jamii....tatizo hapa naona ni Critical Thinking.
 
Na ndio tatizo lenu kudhani kwamba kila mwanamke anapofanya kosa basi anashindana na mwanaume, kwanini msichukulie tu kwamba kafanya kosa kwa sababu na yeye ni binadamu au mliambiwa mwanamke ni malaika hatakiwi kukosea, na wewe nakuuliza hili swali kama kweli wanawake wenye mwanaume mmoja ndio wanaolewa mbona huko kwenye ndoa malalamiko toka kwa wanaume kuhusu wake zao kuchepuka yamekuwa mengi sana
Ukiwa unasoma jitahidi kusoma na kuelewa, katika nukta ya kuhusu kushindana sijasema kushindana na mwanaume nimeandika kushindana na mtu, yaweza kuwa mwanamke mwenzako au kinyume chake.

Bibie kumbe tatizo lako ni uelewa, nimeandika kiasili mwanamke ni wa mwanaume mmoja, na sijaandika mwanamke wa mwanaume mmoja ndio anae olewa.

Usiwe unajibu kitu ambacho hujakielewa, unanipa kazi mbili kwa wakati mmoja, ya kwanza kusahihisha ufahamu wako na kazi ya pili kujibu kile ulichopaswa ukielewe kwa usahihi. Kwa minajili hiyo hujakidhi vigezo vya kujadiliana.
 
Mimi nilikuambia unitajie hayo madhara ambayo yanaonekana unanitajia ya kufikirika tu, labda wewe ndio uniambie ni wazungu gani ambao kwao mwanamke kuwa na wanaume wengi ni habari, maana mimi najua kwa wazungu wote hilo jambo ni kawaida na siyo habari tena
Naona bibie unaondoa umakini katika mjadala. Madhara gani ya kufikirika ? Kudharauliwa, kuchakaa, mizozo, msongo wa mawazo na mengine ni ya kufikirika ?

Kama unajua kipi kinachokushinda kuweka ushahidi.

Mimi nimekuonyesha ya kuwa jambo hili ni habari kwa wote na ndio maana athari hasi zimebakia pale pale miaka na mikaka.
 
Bora wewe umeamua kuwa honest mkuu good for you kama umeamua kuoa mama wa nyumbani na umekubaliana na changamoto zote za kuishi na mama wa nyumbani, wanaoweza kuoa corporate women waoe tu as long as nao wanakubali changamoto za kuishi na wanawake wa aina hiyo, shida inakuja mwanaume anataka mama wa nyumbani ila hataki kumhudumia au mwanaume anataka corporate woman halafu hapo hapo anataka atimize majukumu ya nyumbani
Ukisaidiwa majukumu ndio dharau zinapoanzia, nyinyi wanawake mukipewa pima munataka shubili, Sina ujinga huo
 
Bora wewe umeamua kuwa honest mkuu good for you kama umeamua kuoa mama wa nyumbani na umekubaliana na changamoto zote za kuishi na mama wa nyumbani, wanaoweza kuoa corporate women waoe tu as long as nao wanakubali changamoto za kuishi na wanawake wa aina hiyo, shida inakuja mwanaume anataka mama wa nyumbani ila hataki kumhudumia au mwanaume anataka corporate woman halafu hapo hapo anataka atimize majukumu ya nyumbani
Kwani wewe jadda hutaki mume wa kukuweka ndani Na kukupelekea Moto Tu Na kumzalia?
 
Wapi niliposema mwanamke awe na wanaume wengi anakuwaje na wengi alafu aitwe Submissive...unajua maana ya kuji Submit.

Sijazungumzia umalaya, nimezungumzia umapepe maana ningekutolea mfano Mwajuma wa mtaani kwetu usingemjua kwenye mada hizi natafutaga mtu ambaye wote tutamjua....unapenda ku twist mfano ukupe mada.

Ukiona mwanaume anaoa mwanamke tabia zake zinaonelana nzuri kwenye jamii jua kwanza ametanguliza tabia za ndani ya mahusiano ndio aka angalia hizo za jamaii....Seems kwa ubongo wako nilivyokusoma nikisema mwanaume anaangalia tabia za ndani ya mahusaino kwako unatafsiri kuwa huyo mwaume haruhusiwi kuangalia tabia za nje zinazoonelana kwa jamii....tatizo hapa naona ni Critical Thinking.
Mkuu tabia huwa haijifichi mwanamke kama anamtreat mume wake vizuri au vibaya jamii lazima itaona tu hakuna cha tabia za ndani wala za nje, okay sasa kama mnaoa wanawake wanaojisubmit kwenu mbona malalamiko ya wanaume kwenye ndoa kuhusu wake zao yamekuwa mengi, kwa sababu kwa mujibu wenu ni kwamba kabla ya kuoa mnakuwa mshachunguza tabia za hao mnaotaka kuwaoa si ndio
 
Ukiwa unasoma jitahidi kusoma na kuelewa, katika nukta ya kuhusu kushindana sijasema kushindana na mwanaume nimeandika kushindana na mtu, yaweza kuwa mwanamke mwenzako au kinyume chake.

Bibie kumbe tatizo lako ni uelewa, nimeandika kiasili mwanamke ni wa mwanaume mmoja, na sijaandika mwanamke wa mwanaume mmoja ndio anae olewa.

Usiwe unajibu kitu ambacho hujakielewa, unanipa kazi mbili kwa wakati mmoja, ya kwanza kusahihisha ufahamu wako na kazi ya pili kujibu kile ulichopaswa ukielewe kwa usahihi. Kwa minajili hiyo hujakidhi vigezo vya kujadiliana.
Naona bibie unaondoa umakini katika mjadala. Madhara gani ya kufikirika ? Kudharauliwa, kuchakaa, mizozo, msongo wa mawazo na mengine ni ya kufikirika ?

Kama unajua kipi kinachokushinda kuweka ushahidi.

Mimi nimekuonyesha ya kuwa jambo hili ni habari kwa wote na ndio maana athari hasi zimebakia pale pale miaka na mikaka.
Wewe naona unazunguka sana halafu hakuna cha maana ulichonijibu hadi sasa, yani umeamua kukwepa hoja kwa kufanya kama vile mimi ndio sijakuelewa, na ni mimi ndio nimetoka nje ya mada

Acha ujanjaujanja jibu maswali yangu hayo madhara uliyonitajia, yanamu affect vipi mwanamke moja kwa moja na yanamzuia vipi yeye kuolewa, na je una uhakika kwamba wanawake wote wanaoolewa wana mwanaume mmoja tu

Msingi wa hii hoja ulikuwa ni kusema kwamba mwanamke akiwa na wanaume wengi haolewi, kwahiyo hatuwezi kuukwepa msingi wa hii hoja ndio maana nikakuuliza na wewe hilo swali, au ulivamia tu mada bila kujua hoja ilipoanzia
 
Ukisaidiwa majukumu ndio dharau zinapoanzia, nyinyi wanawake mukipewa pima munataka shubili, Sina ujinga huo
Kwani wewe jadda hutaki mume wa kukuweka ndani Na kukupelekea Moto Tu Na kumzalia?
Kuliko kuwa na mwanaume wa aina hiyo heri nibaki single maisha yangu yote, kuna umri nilifika nikaanza kujisikia vibaya kuomba pesa hata kwa wazazi wangu tu sembuse kwa mwanaume, na pia siwezi kuwa na mwanaume anayedekadeka anataka afanyiwe vitu kama mtoto wakati nimempunguzia mzigo wa kunihudumia na anaona kabisa namsaidia majukumu yake
 
I am the opposite. Huwa nasahau kuna huo upande wa maisha😁😁. Kuna saa nakua napanga mipango then nashtuka najiuliza hii mipango mbona kama haina considération ya mwili mmoja.
 
Na kwanini ionekane kama jamii kuharibika ni makosa ya wanawake na si matatizo ya wanaume kushindwa kuendana na hali halisi ya ulimwengu wa sasa, sikia bro hizo enzi za bibi zetu zilishapita na hakuna mwanamke ambaye atakuwa tayari kurudi huko hata dunia ibadili mzunguko wake, na nadhani hali halisi ya tunakoelekea umeshaanza kuiona wanawake wengi siku hizi hawajali tena kuhusu mitazamo ya jamii wanajali furaha yao kwanza

Kadiri mnavyozidi kuwatandika viboko ndivyo nao wanavyozidi kutafuta namna ya kuwa masugu ili visiwaumize na siyo kutafuta namna ya kuvikwepa, and trust me ikifikia hiyo hatua wanawake wote wakawa masugu basi wanaume mtashuhudia the worst era tangu dunia iumbwe, wanawake wameshachoka wao kutakiwa kusacrifice furaha yao kila siku kwa ajili ya wanaume kama mnaona ni rahisi anzeni ninyi kusacrifice furaha yenu halafu mje hapa tuongee lugha moja

So kilichobaki hapa ni either ninyi wenyewe wanaume ndio muanze kubadilika mkubali kucompromise au muendelee kulalamika hadi mwisho wa dahari, lakini wanawake hawatakubali tena kuendelea kuburuzwa na kuwa watumwa in the name of maadili sijui ustawi wa jamii hilo ni jukumu la jinsia zote, kama ninyi ndio mnaumizwa sana na uharibifu wa jamii basi tunategemea ninyi ndio muanze kubadilika siyo tena mzigo wote muwasukumizie wanawake tu
Ungekuwa serious usingeandika haya uliyo andika hapa. Ila kwakuwa haupo serious wacha nikwambie machache ambayo yatakusaidia.

Unahisi wewe na hao wenzako ambao mnahisi mnashindana na wanaume mnamkoa nani zaidi ya kuteseka na kuishi kwa huzuni na upweke?

Wanaume hawalalamiki sababu hii kitu inawatesa wao ila ni huruma juu yenu wenyewe na pia kutazama ustawi wa jamii.

The worst that is yet to happen kwa jamii ya mwafrika ni yale yale yanayotokea mataifa ya kimagharibi huko (am not sure if unajua au kufuatilia kinachoendelea mataifa ya magharibi kwa sasa).

Furaha yako ni illusion uliyobeba kichwani ukidhani kila mtu anajali au upo entitled kupewa au kuona unachokitaka.

Sasa wewe ukizeeka ukachoka na ukawa na fatherless kids mimi kama mwanaume inanizuia nini kutafuta mwanamke younger than you ambaye hana mtoto tukaanzisha familia ?

Au wewe kuwa na kazi ambayo mapato yake hayatanisaidia tukiishi pamoja ina tofauti gani na nikiwa bila wewe?

The point is mkiharibu hii jamii kwa viburi, ego, utoto na uzembe wenu hasara itaanza watafuna ninyi kwanza.

Nakwambia hivi kwasababu mkilea watoto bila baba wakiwa majambazi nani atakuwa kwenye risk kubwa ya kushambuliwa kati ya mwanaume na mwanamke, si unakumbuka "Panya Road" habari yake, nani walikuwa wanakabwa kila uchao?

Haya tuje makahaba na Wadangaji, hawa watoto wa sasa hivi wa mwaka 2000 tu tazama wanavyovamia wanaume za watu rika za babu zao, nani ana athirika hapo si ninyi wanawake maana vibinti vinawazidi kete, dada wa mwakan1980 utakompete kimvuto na binti wa mwaka 2000 shughuli yake utaiweza?

Haya kulea watoto bila mwanaume, kodi, matunzo, gharama za utility ndani ya nyumba, zote utazibeba na bado mtoto akikua anasepa utabaki pekee yako nani aliyekwambia hiyo inamuathiri mwanaume kuliko mwanamke?

Upweke wa maisha bila mwenza wa maisha ni kichochezi kikubwa cha magonjwa ya akili na afya ya mwili kama kisukari, stroke, kiharusi kwa wanawake miaka hii, ulizia data za wataalamu ujifunze acha kuleta petty arguments hapa.

Wanawake single ndio mnaoongoza kurubuniwa na wanasiasa na kuchagua viongozi wa hovyo na hii inaathiri sana maendeleo ya jamii in the long run, fuatilia utajionea hizi tafiti zipo na zinasema ukweli?

Madhara ni mengi kuliko faida ila sababu unahisi ni ujanja kushindana, then "continue to Fuuck around then you will find out".
 
Ukiona mwanamke hakuheshimu basi ujue shida ni ww mwanaume ila because ww ni mwanaume uwezi kujiuliza ndio tatizo linaanzia hapo

Mwanamke ni kama Kioo, ukicheka kinacheka ukilia kinalia

Wanawake wa zaman hata ukizaa nje walikuwa hawana shida, wanabeba Mtoto anatulia

Mwanamke wa sasa ukizaa nje basi ujue mimba ijayo sio yako
Kwahiyo kwa maneno yako una maanisha kuwa mwanamke ni boksi, hana utashi wake?

Yaani kujiheshimu kwann iwe matokeo ya mwenendo wangu mimi?

Kwahiyo mfano mimi akitokea binti akanibambikia kesi kuwa nilimbaka na akapata ujauzito yeye akienda nje akapata mimba kunirudishia halafu ikajaonekana baadae kuwa binti alinisingizia then akaniomba msamaha yeye atafuta vipi maamuzi ya kutoka nje ili kujibu shambulizi.

Huoni kuwa hizo ni akili za kipumbavu kabisa kwa mwanamke kuwa nazo?

Basi ndio maana siku hizi hawaolewi eti.
 
Amka mkuu zama za kuwatishia wanawake ndoa na kuitumia kama fimbo ya kuwachapia zinaelekea ukingoni wanawake siku hizi wameshaacha kutafuta furaha kwa wanaume wanaipata kwa watoto wao, fuatilia siku hizi wanawake kuwa single mothers imeshakuwa fashion wengi hawajali tena kuhusu matusi wanayotukanwa na 'jamii' (ambayo actually ni wanaume), matokeo yake wewe usipooa humkomoi mtu endelea kununua malaya fainali uzeeni mwanamke atabaki na watoto wake wewe utabaki na malaya wako
Kumbe kuwa single mothers ni kitu mnachagua kwa hiyari yenu sasa mbona kwenye vyombo vya habari mkihojiwa huwa mnasema wanawake wananyanyasika sababu wanaume wanawapa mimba kisha kuwatelekeza?

Unajua inabidi muwe specific badungu? [emoji23][emoji23][emoji23]

Hii statement yako itakuja kukuhukumu siku moja.
 
Kwako kutokuoa mwanamke asiye na maadili inamaana kutokuoa kabisa, wenye maadili wataolewa wewe baki na tabia zako mbaya jitetee nje kumbe ndani unaumia eti zama zimeisha.
Atakuwa bado anakua huyo mtu ambaye amefika 30 hawezi ongea statement za kisekondari kama huyo.
 
Back
Top Bottom