Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Big up, nakuombea ufanikiwe. hizi ndio ndoto kijana unatakiwa uwe nazo.
 
Kwa mwanamke ni changamoto kama anataka kuwa na familia yenye watoto

Maana kadiri umri unasonga uwezo wa kushika mimba unashuka hasa akigonga 30s

Hapo kwenye mid-30s (35-40) uwezo unashuka kwa kasi.

Kufika 45 kupata mtoto ni kwa kudra za Mungu

Nashukuru sana kuumbwa mwanamume
 

Hiyo tunaita ni coincidence,

Hata wewe unaweza Kula mke wa rafiki yako because ulipata taarifa kuwa Rafiki yako anakula mke wako

Point yangu ni kama everything is fine hakuna mambo ya kuhisi huyu kafanya hivi au kafanya vile

Na nikwambie Tu, mwanamke uwa hakurupuki kama Sisi,

Na ndio maana anaweza kukaa na Mtoto wa mwanaume ambae alimzaa nje ya ndoa wakati yeye yupo kwenye ndoa
 
Hujachelewa wala usijali. Panic ni kawaida sometimes unapo jaribu kulifikiria swala kinamna fulani. Kitu muhimu ni kuja tu kupata mtoto, haijalishi utampata ukiwa na umri gani
 
Kwa hiyo wewe unataka uishi vipi na mumeo ikiwa atakuruhusu ufanye kazi, hata kama hatotaka uchangie chochote kwenye familia? Mimi Kwa Kweli nimekukubali Na nitatii Amri yako utakuwa Amiri jeshi mkuu mama Samia.
 
Jamani mumegundua kitu? Huyu jadda Ni mwanaume sio mwanamke I swear, I'm sure Ni mwanaume mark my words
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…