Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Jamani mumegundua kitu? Huyu jadda Ni mwanaume sio mwanamke I swear, I'm sure Ni mwanaume mark my words
Jadda ni mwanamke kwa kuwa kasema yeye mwenyewe ila yeye ni type ya wanawake kama flani hivi kama yule Iron Butterfly au Judge Mfawidhi ambao uanamke wao hauko mbele ktk kuwakilisha mawazo yao. Yaani wao kuwa wanawake siyo karata inayoathiri mawazo au michango yao ktk baadhi ya mada.
 
Wewe naona unazunguka sana halafu hakuna cha maana ulichonijibu hadi sasa, yani umeamua kukwepa hoja kwa kufanya kama vile mimi ndio sijakuelewa, na ni mimi ndio nimetoka nje ya mada

Acha ujanjaujanja jibu maswali yangu hayo madhara uliyonitajia, yanamu affect vipi mwanamke moja kwa moja na yanamzuia vipi yeye kuolewa, na je una uhakika kwamba wanawake wote wanaoolewa wana mwanaume mmoja tu

Msingi wa hii hoja ulikuwa ni kusema kwamba mwanamke akiwa na wanaume wengi haolewi, kwahiyo hatuwezi kuukwepa msingi wa hii hoja ndio maana nikakuuliza na wewe hilo swali, au ulivamia tu mada bila kujua hoja ilipoanzia

Bibie unapokosolewa kubali kukosolewa, sababu makosa yako yapo wazi sana, kiasi ambacho ukirudia kusoma ulichokoandika utaona hilo.

Uzuri umeandika na Mimi nimeandika. Rekebisha ulipokosea kisha ujenge hoja. Ulitaka madhara ya mwanamke kuwa na Wanaume wengi, nimekuonyesha. Sasa usipoteze muda kwenye hakuna.

Onyesha katika majibu yangu wapi sijajinu swali lako.

Labda nikuulize swali gani sijakujibu ?
 
Jadda ni mwanamke kwa kuwa kasema yeye mwenyewe ila yeye ni type ya wanawake kama flani hivi kama yule Iron Butterfly au Judge Mfawidhi ambao uanamke wao hauko mbele ktk kuwakilisha mawazo yao. Yaani wao kuwa wanawake siyo karata inayoathiri mawazo au michango yao ktk baadhi ya mada.
Sio Kweli mkuu huo muandiko wake Ni ushahidi tosha, Hakuna mwanamke anaeweza kuandika hivyo abadani hata kama hajazaliwa Wala kushushwa kutoka mbinguni, huyo Ni mwanamme
 
Ni uongo mtupu Hakuna mwanamke wa Aina hiyo, Mimi sikuwa napingana nae Kwa chochote lkn ktk kujiepeza ndio nimegundua hilo
Si useme tu kuwa umeshindwa hoja Mkuu.

Jadda ni rafiki yangu na ni binti mrembo sana.

Wewe una ushahidi gani?
Kushindwa Hoja ndiko kumekupelekea umvalishe jinsia ya kiume?

Wewe pambana
Acha kulia na jinsia,
Huyo ni dada.
 
Incoming 💥
For now my organization is in a complicated situation.
👉So lazina tu reconsider😆🤒
FB_IMG_17080990292047552.jpg
 
Sija jua wenzagu mna yaonaje maisha.
Ila kwangu inakuwa tofauti Sana, sijipi hizi normal stress za why Sina mtoto au kuoa mapema.

SISI ngozi nyeusi tuna kuwa stressed Sana na vitu vidogo mno.
Ila big life questions tuna yaacha wazi!!.

Kwanini tuko hapa, tuna sababu gani ya kuwa hapa, na je tuna tokaje hapa??
I got a feeling life is exciting in the future, je sisi weusi tume jipangaje??
 
Bibie unapokosolewa kubali kukosolewa, sababu makosa yako yapo wazi sana, kiasi ambacho ukirudia kusoma ulichokoandika utaona hilo.

Uzuri umeandika na Mimi nimeandika. Rekebisha ulipokosea kisha ujenge hoja. Ulitaka madhara ya mwanamke kuwa na Wanaume wengi, nimekuonyesha. Sasa usipoteze muda kwenye hakuna.

Onyesha katika majibu yangu wapi sijajinu swali lako.

Labda nikuulize swali gani sijakujibu ?
Mkuu suala siyo kujibu tu suala ni kujibu majibu ya ukweli kwa sababu kujibu mtu yeyote anaweza akajibu tu kitu chochote hata kama ni cha uongo halafu naye akakuambia amejibu, nimekuuliza hayo madhara uliyonitajia yanamuathiri vipi mwanamke moja kwa moja unasema eti mwanamke kuwa na wanaume wengi ni habari nikakuuliza ni habari kwa nani mbona kwa wazungu siyo habari, pia msingi wa hoja ulikuwa kwamba mwanamke akiwa na wanaume wengi haolewi sasa kwa kuwa na wewe umeingilia mada nikakuuliza una uhakika wanawake wote wanaoolewa ni wale wenye mwanaume mmoja tu au ulivamia mada bila kuelewa hoja iliyoko mezani
 
Back
Top Bottom