Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

AHSANTE SANA NIMEONDOKA NA KITU
 
Hahaha
 
Hahaha usiwasanue
 
Ushamaliza?
 
Nini kilisababisha akupige chini!?
Japo miaka 10 kwenye mahusiano ni mingi vipi mlianzia shule au!
 
Na usipokuwa makini , unaweza fika 40s hunafamilia, Cha msingi n kuamua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…