Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nauli na Pesa za wanaume ulizokula ndio zimekufikisha hapoNikiskia hivi ndiyo nazidi kuchanganyikiwa mkuu, usiseme hivo jamani🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauli na Pesa za wanaume ulizokula ndio zimekufikisha hapoNikiskia hivi ndiyo nazidi kuchanganyikiwa mkuu, usiseme hivo jamani🙄🙄
Third floor hii hapa....soon nadanti lift nifike forth 😹Hapa nilipofikia nahitaji assist yenu peke yangu siwezi tena, ila wewe siyo mhenga mwenzangu unanichora tu hapa kabinti kabichii
Mmh siaminiiThird floor hii hapa....soon nadanti lift nifike forth 😹
Ahsante kwa ushauri mkuuAcha kuwajibisha wanaume hovyo watakutumia na kusepa wanaume akikuta sehemu anaheshimika na kupewa nafasi yake mamaangu anaweka kambi ya kudumu kirahisi sana.
SIJAOLEWA mkuu tena kwa herufi kubwa, tena kuna punguzo la posa maana gazeti ni la jioni
Posa imeshuka mpaka milion ngapi nijitoseSIJAOLEWA mkuu tena kwa herufi kubwa, tena kuna punguzo la posa maana gazeti ni la jioni😀😀 unakuja lini?
35 hii hapa.....naisema tu ila naogopa 😔Mmh siaminii
Mbuzi tu wazee wanywe supu basi ,hamna mambo mengi😀😀🤣🤣🤣🤣🤣gazeti la jioni🤣🤣🤣
Aloooh! Hii kali.
Eeh p
Posa imeshuka mpaka milion ngapi nijitose
Wangapi tujumuishe xmas harusi na new year kabisa tumalize mamboMbuzi tu wazee wanywe supu basi ,hamna mambo mengi😀😀
Utakua umetisha sana😀Wangapi tujumuishe xmas harusi na new year kabisa tumalize mambo
Tangu nikujue, mpaka leo kuna uwezekano age yako ikawa 4 to fortyThird floor hii hapa....soon nadanti lift nifike forth 😹
Ndio tumalize jambo mapema binti mrembo mbuzi 20 sii wanatoshaUtakua umetisha sana😀
Sidhani kama kweli financial services unamaanisha kweli...kwamba mpaka sasa bado tuu?Usinicheke jamani, uzee umenifika mapema shaa, sielewi😀
Why nitanie mkuu, ni ukweli mchungu😒Sidhani kama kweli financial services unamaanisha kweli...kwamba mpaka sasa bado tuu?
Tatizo lako unachagua sana shauri zako 🤣🤣😊Usicheke mkuu, na mwaka unaisha tena😔
Acha kuchagua sana jioni imefika bibieWhy nitanie mkuu, ni ukweli mchungu😒
Kwanzia umeanza kutongozwq inaonekana umewakataa wanaume wengi weweAhsante kwa kuokoa jahazi mkuu, namtaka yeyote ili mradi anapumua tu😀
ChaiiKwenye maisha hakuna kuwahi wala kuchelewa ,muda sahihi ukifika utapata mahitaji yako.