20-35 isizidi hapo mkuu ikizidi tu inakuwa mgogoro ndo unakuta baadae anakuja kuwa msimbe anaegawa kipochi hovyo π
Ni hatari nakuambia imagine hata mtoto hana hiyo ndo hatari nyingine
Cc Kasie
Pm π€π€Wapi
Ushaona uzwazwa haya kikongwe na hizo tongo tongo tazilambaπ€£π€£Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwaπ€
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?π
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance ππ₯°
Nmewaza kitu kingine au umejipata sana, elimu kubwa, maokoto yapo, maisha yamenyooka....wanaume wanaogopaga watu wa hivi πΉNa miezi juu aisee jibu zuriππ
financial services sina cha kumshauri
Teacherrrr mbona mi sikuogopi!Nmewaza kitu kingine au umejipata sana, elimu kubwa, maokoto yapo, maisha yamenyooka....wanaume wanaogopaga watu wa hivi πΉ
Hamna chakula kinarefusha kibamia bwana. Oya leo nina hamu na kande naomba unipikiemzabzab nakuuzia kesi hii tafadhali.
Ukipata hadidu rejea tukutane Simba Kapakatwa tujadili vyakula vinavyorefusha kibamia π.
Kuna wakati nahisi you're just playing games with us. Ile shape ya "snap it show it" kule selfika huwezi kukosa mtu mkuu.Kuwa na huruma mkuu, nitume picha ili mnikimbie hata msinipe ushauri ama?
Sina maisha hata, elimu ya kawaida tu na ka CPA nimekapata juzi tu hapa, nipo kawaida sana EveNmewaza kitu kingine au umejipata sana, elimu kubwa, maokoto yapo, maisha yamenyooka....wanaume wanaogopaga watu wa hivi πΉ
Why should I mkuu? πKuna wakati nahisi you're just playing games with us. Ile shape ya "snap it show it" kule selfika huwezi kukosa mtu mkuu.
Sasa mtu si ndo wewe bro au?Kuna wakati nahisi you're just playing games with us. Ile shape ya "snap it show it" kule selfika huwezi kukosa mtu mkuu.
HeePm π€π€
Hako unakoita CPA ni kitu kikubwa.....Sina maisha hata, elimu ya kawaida tu na ka CPA nimekapata juzi tu hapa, nipo kawaida sana Eve
Inahuzunisha lkn Mungu asaidie tu, ila mimi ni kapuku na huenda ndiyo sababu, maana mtu akiona status ya maisha(ngumu) anahisi utakua mzigo, huwa najaribu kufikiria tuHako unakoita CPA ni kitu kikubwa.....
Kuna sista angu flani, nae kasoma soma hadi level hizo, alikua kwenye shirika flani lina jina tu.....nae ikawa sasa kupata mchumba kipengele.
Mahusiano yanaanza simu simu simu basi mchumba anakuja kuvisit tunapokaa, sista alikua vizuri kwakweli. Mtu akija siku hiyo ni heka heka tutapikaaa tutapikaa ili mgeni ainjoin cha ajabu akiondoka harudi tena na simu zinakufaπ
Baada ya muda anatokea mwingine hivo hivo siku akija tunakua na heka heka za ugeniii cha ajabu akitoa mguu ndo bye sa sijui shida ilikua nini siamini kama alikua hajui kutoa kiasi cha kukimbiwa.
Anyway alivofika 42 kuna jamaa kajilipua wale jamaa wasiopenda heka heka awepo tu ndani kama samaki wa mapambo πΉ ndo kamuoa.
Saaa FS pambana pamban fosi fosi usifike floo ya nne
Ila mi sikuamini, kweli kupata mchumba ni ngumu kiasi hiki π€£π€£π€£π€£Inahuzunisha lkn Mungu asaidie tu, ila mimi ni kapuku na huenda ndiyo sababu, maana mtu akiona status ya maisha(ngumu) anahisi utakua mzigo, huwa najaribu kufikiria tu
Hamna chakula kinarefusha kibamia bwana. Oya leo nina hamu na kande naomba unipikie
Ahsante sana ntapitia hicho kitabu, mimi ni mpole sanaIla mi sikuamini, kweli kupata mchumba ni ngumu kiasi hiki π€£π€£π€£π€£
Au we ni kind ya wale wanawake upole A, heshima A usikivu A.
Ukiwa too nice napo ni changamoto.....
View attachment 3176285
Pitia hicho kitabu ukipata nafasi
Ninakushauri ishu maisha yako. Usifuate maneno ya wanasaikolijia kuhusu umri japo kila mtu ana tamanio lake. Wapo wenzio wana NDOA chungu sababu ya kuharakia ndoa. Mbaya zaidi ndipo unapoona Kuna uadui mkubwa kati ya single mothers na Wanaume kwa sababu mwanamke aliachwa / waliachana. Hivyo ingia ktk majukumu ya Kulea / ndoa ukitambua hilo.Inahuzunisha lkn Mungu asaidie tu, ila mimi ni kapuku na huenda ndiyo sababu, maana mtu akiona status ya maisha(ngumu) anahisi utakua mzigo, huwa najaribu kufikiria tu