Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
20-35 isizidi hapo mkuu ikizidi tu inakuwa mgogoro ndo unakuta baadae anakuja kuwa msimbe anaegawa kipochi hovyo 😅
Ni hatari nakuambia imagine hata mtoto hana hiyo ndo hatari nyingine
Cc Kasie
mzabzab nakuuzia kesi hii tafadhali.
Ukipata hadidu rejea tukutane Simba Kapakatwa tujadili vyakula vinavyorefusha kibamia 😁.