Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Kwasababu thamani ya mwanamke inashuka kadri muda unavyoenda, thamani ya mwanaume inapanda kadri muda unavyoenda (kutokana na kukua ktk kipato)

Tendo la kujamiiana ni katili kwa mwanamke (akiliwa sana, K inatanuka na kulegea, inakosa ladha) ila mwanamke akifanya tendo mara kwa mara au na wanawake kadhaa, ndo uume wake unakuwa bora zaidi.

So anayetakiwa kujitunza ni mwanamke na siyo mwanaume, ndomaana mwanaume hana bikra, kwahiyo ukikuta mwanamke kaenda sana umri, kuna uwezekano kaliwa sana mpaka makombo aliyonayo hayana ladha kabisa, wanaume tuanzishe kikao kuwa hakuna kuoa single mother, wala mshangazi wenye miaka 30 na kuendelea, alikuwa wapi, tumuache ale jeuri aliyoifanya ya kuwakataa wanaume alivyokuwa ana umri wa miaka 23.
Mashangazi? Nimeshakua shangazi mkongwe kabisa ila sawa tu yote maisha😪
 
Acha kukwepa hoja jibu swali na kama huna majibu sema sina majibu sasa unataka nikupe ushahidi gani, kama hujatembelea hizo nchi na kuona maisha yao hilo siyo tatizo langu mimi yani mimi naongea uhalisia wewe unataka tuongee story za vijiweni, nimekuuliza hivi una uhakika wanawake wote duniani wanaoolewa ni wale wenye mwanaume mmoja tu nioneshe ni wapi uliponijibu hilo
SINA MAJIBU.
 
Kama una majibu, basi nijibu maswali yangu mkuu, wengine hatutafuti kupewa mabichwa humu
We umachagua kubishana, uliokuwa unajibizana nao wamekupa majibu.

Changamoto anayopata mwanamke anapokuwa na wanaume wengi ni ya kisaikolojia zaidi na inakuja hasa anapokuwa mtu mzima. Physically unayoitaka wewe ni jamii iliyostaarabika haitakuheshimu lakini hii nayo itakuathiri kisaikolojia. Utazuga upo sawa lakini ndani haupo sawa

Kawaulize wanasaikolojia au watu kama wachungaji wanaotoa huduma za ushauri. Kesi zao asilimia kubwa ni za wanawake na zinahusu zaidi mahusiano

Wanawake na wanaume kisaikolojia hatufanani hata kidogo japo unafosi tufanane

NB: siungi mkono mwanaume au mwanamke kuwa malaya
 
Na wewe umenipa majibu yanayofanana na ya hao wenzio labda nikuulize hiyo athari ya kisaikolojia wanaipata wanawake wote duniani au wanawake kwenye baadhi ya jamii tu, kwa sababu ninavyofahamu kwenye jamii za wazungu mwanamke kuwa na wanaume wengi siyo habari ni kitu cha kawaida tu na wala hawaathiriki kisaikolojia, na hata wakifikia miaka 50 bado huwa wana nafasi kubwa ya kuolewa (haijalishi wana watoto au hawana) na hawadharauliwi na jamii sasa hiyo athari ya kisaikolojia inafanyeje kazi hapo
Yani unataka uniambie kwa mfano Beyonce tunajua yupo na Jay z, lakini hapohapo yupo katika mahusiano na Kanye West, Chriss Brown, Snoop Dogg, Dre, 50 cent, Eminem, etc, na Bado hao wazungu wanaona kitu cha kawaida.

Sijawahi kufika kufika huko lakini tuna mitandao, kawaongopee watoto wadogo.

Wanawake wenye wanaume wengi wapo tangu enzi na enzi, hata kwetu wapo Wala hautakuwa WA kwanza ukiwa hivyo
kwa lugha lahisi tunawaita Malaya au kwa lugha ya mtaani tunawaita "chawote" na nadhani unajua heshima wanayopata kwenye jamii

Au labda unazungumzia body count (kulala na wanaume wengi)? Yani Leo upo na huyu kesho unamwacha upo na mwengine a.k.a chawote kama kina wema sepetu
 
Back
Top Bottom