Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Sitokaa nisahau toilets za terminal mpya Jomo Kenyatta International Airport Nairobi mwaka 2016. Nimeingia chooni nimemaliza issue zangu natoka kunawa mikono nashangaa koki ya kufungua ili maji yatoke siioni. Wacha nihangaike. Gusa hapa gusa kule, hamna kitu....hahahaa....kumbe zile taps ni automatic ukiweka tu mkono ikisense maji yanatoka yenyewe.....nilijikuta natafuta CCTV camera asije akawa ameniona mtu nlivokuwa nahangaika mle ndani looh!
 
Tongoza demu si chini ya miez sita lakini kabana...nilijinadi kwa sera nyingi ikiwemo....naweza kumkimbiza 6hrs bila pumziko...mara hapa ntakukojz hadi uishiwe maji.....mara mikunjo yangu lazima uruke ukuta wa kwenu kufuata gemu....yan dem akaniona dume si ndio ili na mkifua wangu umetuna ukichanganya na stail yangu ya kunyoa upara..basi baada ya kampen yangu kufua dafu mtoto huyu hapa gheto tena kaja kulala kabisa....owky Aibu mwanaume Baada ya kulambana lambana weeeee mda wa kuchovya ukafika ile nachovya mara ya kwanza...ya pili.....ya tatu...ya nne...ya tano.....mara mzee katapika....mtoto wa watu mzee kalala doro haamki....pumpu lakin wap....yaan goli moja tu tena chuni ya 2mns...Nimebaki natokwa jasho mrembo anauliza vp baby Ulisema 6hrs mbona ushazima......Nkajitetea unajua leo blabla nyingiiiiiiii....nilipewa kofi na bonge la sonyoo(sunya/vyonza).......Dah Kwa sasa sijinad kwa sera zisizo timizika.
 
Niliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
HEBU SIKIA HII
Mwaka juzi 2015 ilikua ijumapili padri akiendesha misa kwenye kigango cha GUNGU kigoma, Basi bwana ikafika ule muda wa kwenda kupokea mkate wa mwili wa yesu {Eukarist takatifu} Sasa wakat wa kupokea padri anasema "mwili ya yesu" unatakiwa ujibu "Amina" basi mm nikajibu "Tunauabudu" akarudia tena nikajibu vilevile, ikabidi anipeleke kwa KATEKISTA pembeni akanielekeza hapo wame baki kama watu watatu kwenye msitar, katekista akanielekeza nikarudi, kuulizwa nikasema tena tunauabudu weeee nilitimuliwa mbio kidogo nile vibao. Padri akanitangaza kanisani, halafu ukichangia nilivyo maarufu kanisan niliaibika sana, mpaka leo naogopa kula ule mkate usio kua na chai wa blueband CHARMILTON
Natamani nikupe like kumi Like, like, ulikuwa na umri gani? ulipaniki?.
 
kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
Duuh yaan kwa kusimulia tu napata aibu
 
Kuna siku nilikua nafanya paper ya physics ukiangalia cjui a wala b,ikabidi niandae kachabo wacha nikamatwe ikabidi nisimamishwe mbele ya darasa kuomba samahan nilipata aibu toka siku hyo niliacha ujinga nilisoma kwa bidii sana mana nilisema aibu hii siitaki maishan tena.from there nikawa kichwa mzee wa kukill the night nasoma nisifel paper
 
Nilikua nina 17yrs, aisee nilipaniki, uoga, aibu halafu aliyekua anaendesha misa alikua paroko na anamtindo wa kuchapa watu vibao, alishaga mdunda bibi mmoja alipewa mkate akaenda kukaa nao kwenye kituu so nilijua leo namm nina be suprised na vibao loooool nilikoma
Bora ungekuwa na blueband ungekumbuka Haaaa yaani nimecheka balaa.
 
kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka Nikiwa Darasa la tatu asubuhi nikiwa Primary school shule moja Kyela huko vijijini Basi tukawa tumechelewa kuhesabu namba. Ile mwalimu anaanza kupiga walochelewa nikalala haraka chini akapiga fimbo kama tatu nikatoa kituko ambacho niliona ni ujanja........ Itaendelea [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
HEBU SIKIA HII
Mwaka juzi 2015 ilikua ijumapili padri akiendesha misa kwenye kigango cha GUNGU kigoma, Basi bwana ikafika ule muda wa kwenda kupokea mkate wa mwili wa yesu {Eukarist takatifu} Sasa wakat wa kupokea padri anasema "mwili ya yesu" unatakiwa ujibu "Amina" basi mm nikajibu "Tunauabudu" akarudia tena nikajibu vilevile, ikabidi anipeleke kwa KATEKISTA pembeni akanielekeza hapo wame baki kama watu watatu kwenye msitar, katekista akanielekeza nikarudi, kuulizwa nikasema tena tunauabudu weeee nilitimuliwa mbio kidogo nile vibao. Padri akanitangaza kanisani, halafu ukichangia nilivyo maarufu kanisan niliaibika sana, mpaka leo naogopa kula ule mkate usio kua na chai wa blueband CHARMILTON
Hahahahaaaaaaa..........Mkuu ulimzingua Parako?
 
Back
Top Bottom