ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Sasa ulikuwaje maarufu church ilihal hujui kujibu ''mwili wa Kristo?''?Sasa ningefanyaje kama ananiletea miyeyusho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulikuwaje maarufu church ilihal hujui kujibu ''mwili wa Kristo?''?Sasa ningefanyaje kama ananiletea miyeyusho
Umaarufu Church na kujibu maswali ni tofaut brother, padri mwenyewe kakaa kibabe so nilikua natetemeka, mpaka hv siendagi kula bisibisi tenaSasa ulikuwaje maarufu church ilihal hujui kujibu ''mwili wa Kristo?''?
Duh! mimi hayo mambo zamani saaana, kabla ya kuondoka kanisani.Umaarufu Church na kujibu maswali ni tofaut brother, padri mwenyewe kakaa kibabe so nilikua natetemeka, mpaka hv siendagi kula bisibisi tena
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mchongoma au ndara?(maziwa yamelala)Abiria wenzako wakaona matiti yako mchongoma?Daaah walifaidi sana
Daaah mm kanisan maramoja moja sana coz it is just miyeyusho lkn I BELIEVE IN GOD lkn sio hao mapadre wapigajiDuh! mimi hayo mambo zamani saaana, kabla ya kuondoka kanisani.
Ila ukweli ni kamba kuna mapadre watukutu kinoma.
Hilo neno kwenye red nahisi unalitumia purposely ingawa haijawa rahisi kuling'amua.Daaah mm kanisan maramoja moja sana coz it is just miyeyusho lkn I BELIEVE IN GOD lkn sio hao mapadre wapigaji
Yaan hasa kwetu Roman aisee wanajali pesa sana kila section kitu ambach sikifagiliiHilo neno kwenye red nahisi unalitumia purposely ingawa haijawa rahisi kuling'amua.
Mkuu maana na ya 'Miyeyusho' ni nini?
Kazi gani yaani ya kupitia elimu au nguvu mkuu? maana hata house girl nae huanza hako kamchezo mara nyingi akianza kaziDu mie mpaka nafanya kazi zaidi ya miaka 10 ndio nikatry tena baada ya kuona dharau zinazidi.
Nimechekaaaa mnoooo aiseeHEBU SIKIA HII
Mwaka juzi 2015 ilikua ijumapili padri akiendesha misa kwenye kigango cha GUNGU kigoma, Basi bwana ikafika ule muda wa kwenda kupokea mkate wa mwili wa yesu {Eukarist takatifu} Sasa wakat wa kupokea padri anasema "mwili ya yesu" unatakiwa ujibu "Amina" basi mm nikajibu "Tunauabudu" akarudia tena nikajibu vilevile, ikabidi anipeleke kwa KATEKISTA pembeni akanielekeza hapo wame baki kama watu watatu kwenye msitar, katekista akanielekeza nikarudi, kuulizwa nikasema tena tunauabudu weeee nilitimuliwa mbio kidogo nile vibao. Padri akanitangaza kanisani, halafu ukichangia nilivyo maarufu kanisan niliaibika sana, mpaka leo naogopa kula ule mkate usio kua na chai wa blueband CHARMILTON
Aisee siombe yakukute binti ilikua ya karneNimechekaaaa mnoooo aisee
Ehahaha nadhani ni mchongoma huyu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mchongoma au ndara?(maziwa yamelala)
Nkamu olipo?Malafyale mwenzangu bwana teh teh... Jobhaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Daah aisee, ukaamua uzimie[emoji23] [emoji23]Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
Hahahahahahaha...noma sanaMimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
Nde nyambala gwe kenyamana kyangu. Ketaga engamu ejo Friday Malafyale umanyege ndi nyambala nkamuuNkamu olipo?
Ogwe ole nkikoro au ndomywana?
Acha tamaaAbiria wenzako wakaona matiti yako mchongoma?Daaah walifaidi sana
Chobhaa si kasa syakompangila bhibhi asatosye e lyabhi?Nde nyambala gwe kenyamana kyangu. Ketaga engamu ejo Friday Malafyale umanyege ndi nyambala nkamuu