Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Nipo form five hii ishu ndiyo ikanitokea.

Siku hiyo kwenye begi langu la nguo nikakuta chvpi ya kike, inaonekana iko muda mrefu tu, akili yangu ikajua hii ni ya mpenzi.
Nikampigia nikamwambia kuna chvpi yako kwenye begi langu akajibu hapana mi sijwahi kuacha chvpi huko. Nikang'ang'aniza akasema basi nitakuja kuiona kama yangu niichukue.

Baada ya kufikiria kwa muda nikakumbuka ile chvpi ni ya ex wangu, siwezi kuipoteza katika mazingira ya kutatanisha lazima nitaulizwa.

Nikaenda Kariakoo nikanunua chvpi dazeni nikarudi nazo mjengoni ile nyingine nikaitupa juu ya bati, bi dada kafika baada ya muda anauliza hiyo chvpi iko wapi, namtolea dazeni huku najiongelesha "Surpriseeee" akapagawa kwa furaha pale ile ishu niliizima hivyo.
Form five umeshaanza makitu?
 
Niliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
Kufuta aibu ungejifanya unaenda uani pia...
 
Form 4 hyooo.mwana kaniambia twende tukamsalimie maza ake kariakoo.tukaenda.kivumbi ilikuwa mlangoni.kuvua viatu sitaki.maana vinanuka balaa.yaani sijavua lakini harufu naisikia.nikaingia navyo sebuleni kiubishi ubishi.bahati nzuri kulikuwa na tiles tu.ila shuhuli waliipata.
Hahahaaa
 
kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Mi sasa mara ya kwanza sinikajua kitovuni ndo penyewe!

Baadae nikastuka, nikaweka penyewe, shughuli ikawa shimo liko wp?
Hahaha mkuu umenikumbusha mbali sana kipindi namaliza darasa LA saba nilikuwa decent sana nilikuwa sijui chochote kuhusu mwanamke

Siku moja marafiki zangu wakanitongozea msichana alafu wakampanga kila kitu bila hiyana Dada wa watu akakubali sasa kwa kipindi icho tulikuwa tunacheza karibu na shule kulikuwa na msingi wa maji ila ulikuwa umekauka,hiyo siku tulicheza pale ilipofika usiku nikaenda msingini na yule msichana [emoji23] [emoji23] [emoji23] masikini sijui chochote Dada wa watu kavua nguo mi nikaanza bana kumbe naf**k mchanga nimekazana mwenyewe wenzangu wananisubiri nikatoka pale nimewakuta najisifia Leo nimeweza ila sasa nikawauliza hivi kwani kule ndani kuna mchanga mbona dudu yangu imetoka na mchanga [emoji1] [emoji1] nilipata aibu ya karne jamaa walinicheka hatari sijuagi kale kasichana kalinifikiriaje tangu siku hiyo sikuthubutu mpaka nilipomaliza form six mana nilikuwa nikikumbuka ile aibu naishiwa nguvu kabisa
 
Me kuna siku alikuja mgeni home so nikaambiwa nikale na mgeni ilikuwa ni kitu adimu sana l considered myself kama luckiest person in the house, wakati tunakula nikawa namshangaa mgeni mpk nikatosa tonge la ugali kwenye bakuli la maji ya kunawa kiruuu... Mgeni akatabasamu akanipa pole na kunisogezea bakuli la mboga karibu
 
miaka ya 2000s kuna binti nilikuwa nasomanaye alikuwa ana mdogo wake mzuri kichizi nikawa nampiga mistari uyo dogo kumbe kaenda kuwaambia dada zake na mimi kwao nilikuwa naenda kama home wamenizoea wote sikuiyo nakuja najipigisha story wananitizama tu nyumba nzima kumbe wanajua , yule binti rafiko yangu kanitoa pembeni kaniambia mdogo wake kasema umemtongoza kawaambia dada wote na kaka zangu hao mbele hapo, issue ilikuwa kutoka nilipo lazima nipite pale walipo nilitamani kwa mara ya kwanza ardhi ipasuke nizame aiseee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwaka wakwanza chuoni kwenye Presentation.
Nikajitia kuwa muongoza Presentation, sijui hata kihere here kilitoka wapi.

Basi mwanaume Nikasimama mbele. Nikasalimia, nikaanza kuflow umombo. Sikumaliza dakika 3 chali, kila nilipojaribu kuload vocabulary ndivyo nilivyokuwa nazidi kusahau hata ile msamiati ya kawaida. Hakika Kama ni bundle lilikata.

Basi nilibaki kusema; the....the......aaaa....!!
Mara oeky.......

Masikini watu walishagundua nimechemka, walibaki kuniangalia tuu.

Kwa bahati mbaya kulikuwa na demu Jana ambaye nilimtokea siku moja kabla. Yaani hiyo aibu iliyonipata sikuwahi kudhani.

Kwa bahati nikagongana macho na yule Manzi, Al-manusura nianguke kwa shinikizo.

Sitaisahau aibu ile ya Karne
 
Me kuna siku alikuja mgeni home so nikaambiwa nikale na mgeni ilikuwa ni kitu adimu sana l considered myself kama luckiest person in the house, wakati tunakula nikawa namshangaa mgeni mpk nikatosa tonge la ugali kwenye bakuli la maji ya kunawa kiruuu... Mgeni akatabasamu akanipa pole na kunisogezea bakuli la mboga karibu
Umenifanya nionekane chizi mbele ya watu kwa kicheko
 
mwanzo kabisa wa uhusiano bana.......nilienda kwao na manzi yangu,nafikiri alijua wazazi hawatakuwepo but wakaahirisha safari.
sasa ile ki bachela asubuhi nikatandika kiporo changu nikafunga safari wilaya nyingine,kufika wakwe hawa hapa tena veery friendly nikakirimiwa...sasa tumbo likaanza kunionyesha sifa zake!!?na nyumba haikua kubwa wala nini,hamna choo cha nje...nadhan baada ya miungurumo bi mkubwa wake akaniambia 'i think you should use a restroom'....sijawahi teseka kama siku ile!!
 
Back
Top Bottom