Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora wewe hivyo, mwalimu wetu alikuwa anatuonyesha namna ya kuchuchumaa ili tuumie zaidi suruali yake ikachanika vibaya sana hadi boxer inaonekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ninayokumbuka ni hii moja!
Kipindi hicho nasoma o'level nikateuliwa niwe kiongozi wa chakula wa muda......
sasa ile sysytem ya kupanga mistari chakula cha jioni nikakuta wapo wamerundikana tu wasichana wengi......nikatoka na masifa yangu huko nikarusha teke ili watawanyike!

Sasa nilikua nimevaa jeans sijui nini kilitokea wakati nanyanyua mguu nikakosa balance, nikabamiza kidevu chini.....lol
kidogo nishindwe kuinuka pale chini

niliumia kweli mpaka leo nina alama ila niliaibika kweli!
utoto shida sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Dah! Nimecheka hadi machozi lol! Pole sana Mkuu, ulidhani nini hadi kuamua kukimbia Mkuu!? Hahahahaha lol!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
 
Ahahaha...mkuu mimi kuna hii niliisahau
Wakati ATM ndiyo zinakuwa mashuhuri hapa tauni mzee alikuwa anamwagiza bro akachomoe mkwanja. Sasa mimi si nikawa naenda nae nasimama mbali maana kwenda wawili si hairuhusiwi may be unasaidiwa.

Siku moja nikapata emergency mzee hayupo then natakiwa nimfuate Tanga. Akaniambia nichukue ATM nikachukue angalau nauli kidogo.

Ishu Ikaja nina kadi ya NMB then nikaenda machine ya DTB..[emoji23][emoji23][emoji23]. Nimezuia foleni ya watu huko kila nikiingiza kadi inaleta mapicha picha. Hadi Askari akaja akaniambia tatizo nini? Nikamwambia haisomi akanipeleka ndani. Ile officer wa DTB anaangalia anakuta nina kadi ya nmb alikasirikaaa akataka kunizabaaa nilichomooka ndukiiii [emoji23][emoji23][emoji23] watu wote benki wakawa wananiangalia navyopotea
Niliaibikaaa saana siku hiyo aseeh
ahaaa same story happened to me.
 
Nipo form five hii ishu ndiyo ikanitokea.

Siku hiyo kwenye begi langu la nguo nikakuta chvpi ya kike, inaonekana iko muda mrefu tu, akili yangu ikajua hii ni ya mpenzi.
Nikampigia nikamwambia kuna chvpi yako kwenye begi langu akajibu hapana mi sijwahi kuacha chvpi huko. Nikang'ang'aniza akasema basi nitakuja kuiona kama yangu niichukue.

Baada ya kufikiria kwa muda nikakumbuka ile chvpi ni ya ex wangu, siwezi kuipoteza katika mazingira ya kutatanisha lazima nitaulizwa.

Nikaenda Kariakoo nikanunua chvpi dazeni nikarudi nazo mjengoni ile nyingine nikaitupa juu ya bati, bi dada kafika baada ya muda anauliza hiyo chvpi iko wapi, namtolea dazeni huku najiongelesha "Surpriseeee" akapagawa kwa furaha pale ile ishu niliizima hivyo.
 
Form 4 hyooo.mwana kaniambia twende tukamsalimie maza ake kariakoo.tukaenda.kivumbi ilikuwa mlangoni.kuvua viatu sitaki.maana vinanuka balaa.yaani sijavua lakini harufu naisikia.nikaingia navyo sebuleni kiubishi ubishi.bahati nzuri kulikuwa na tiles tu.ila shuhuli waliipata.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Aiseee kweli shuhuli waliipata
 
Ngoja nicheke Kwanza kabla cjasema YA kwangu


Kipindi hicho Nilikuwa form pale makongo.
Nilikuwa naumwa mafua ambayo yanaelekea kupona wakati huo ukipiga chafya basi yanatoka makamasi mazito, tukiwa darasani tukifundishwa physics na Afande mataula basi nikapiga chafya YA ghafla baada YA kumaliza hiyo chafya USO Mzima ulijaa kamasi zile nzito Halafu mfukoni hata kitambaa sina, Yaani darasa zima wakawa waniangalia mm kucheka wanataka Lkn wanamuogopa teacher basi nilitoka nduki hadi bombani kunawa Kisha nikaelekea kantini kununua kitambaa nikasuburi mapumziko nikamuomba rafiki yangu aniletee begi langu nikasepa zangu hom sikuenda shule Wiki nzima kwa aibu.
 
miaka ya 2000s kuna binti nilikuwa nasomanaye alikuwa ana mdogo wake mzuri kichizi nikawa nampiga mistari uyo dogo kumbe kaenda kuwaambia dada zake na mimi kwao nilikuwa naenda kama home wamenizoea wote sikuiyo nakuja najipigisha story wananitizama tu nyumba nzima kumbe wanajua , yule binti rafiko yangu kanitoa pembeni kaniambia mdogo wake kasema umemtongoza kawaambia dada wote na kaka zangu hao mbele hapo, issue ilikuwa kutoka nilipo lazima nipite pale walipo nilitamani kwa mara ya kwanza ardhi ipasuke nizame aiseee
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
 
Haa haa haa haa haaa
Aiseeee mkuuu planett
Umeuwa watu kwa kucheka
Leo

Unakimbizana na wajeda
Huko nadn hujui n wap uningia wala utatokea wap

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ha ha ha haa. Duh. Vitimbi kweli.
Kaka aulieagiza chai pole. Na Dada ulieharibikiwa vifungo pole sana...sasa Dada ukajisaidiaje?
Halafu usiombe uwe hukuwa hata na kanga au mtandio
Mkuu aibuu sikia kwa jiran
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
hahahahahahahaa
 
Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
hahahahahahaha
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Wewe ni sheeda nimelia bila kupenda.
 
Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
Una akili kinoma maana ungeamka ingebidi upresent.
 
Niliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
 
Back
Top Bottom