Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli hiyo ilikuwa ya karne
 
Mimi nakumbuka kwa mara ya kwanza natumia blue band licha ya kuweka kwenye mkate nikawa naweka na kwenye matango,nyanya na carot, sasa ukila na matango blue band inanasa juu ya fizi nikaamua niombe toothpic kaka akaniuliza mbona umekula nyanya tu tooth pic ya nini nikamwambia niliweka blue band sasa imenasa juu ya fizi, kaka akaniuliza kwanini nimeweka blue band kwenye nyanya nikamjibu nimeona kwenye kopo lao la blue band wameweka picha ya vitu hivyo nikajua kuwa naweza kutumia vitu hivyo na blue band kumbe ni baadhi ya vitu vilivyotumika kutengeneza blue band hiyo nilijisikia aibu siku nzima
 
Mimi nakumbuka kwa mara ya kwanza natumia blue band licha ya kuweka kwenye mkate nikawa naweka na kwenye matango,nyanya na carot, sasa ukila na matango blue band inanasa juu ya fizi nikaamua niombe toothpic kaka akaniuliza mbona umekula nyanya tu tooth pic ya nini nikamwambia niliweka blue band sasa imenasa juu ya fizi, kaka akaniuliza kwanini nimeweka blue band kwenye nyanya nikamjibu nimeona kwenye kopo lao la blue band wameweka picha ya vitu hivyo nikajua kuwa naweza kutumia vitu hivyo na blue band kumbe ni baadhi ya vitu vilivyotumika kutengeneza blue band hiyo nilijisikia aibu siku nzima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ww umenfanya nicheke usiku huu kama kichaa
 
Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
[emoji23] [emoji23] [emoji13] mbavu zangu
 
kpnd icho sasa ndio ka dogo dogo flan iv tupo ugenin kama kwa mwez iv lkzo asubuh tumenunuliwa miswak ndugu mwenyew mkuda balaa c nkajitia ujuaj najua kufungua mwenyew mara Twaaah nmeuvunjia apa karbia na brush asee nliutumia mpka cku tunaondoka ka kpande cha mswak ukfanya masihara unakameza asee cta sahau
 
ilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Sasa ulikua unamkimbia nini?

Afu umetudharilisha weusi.

Wataona sie sio wakakamvu, how comes uchoke haraka afu mchina awe fit bado[emoji1]
 
Now itabidi nichekee pm maana...sio kwa ugumu huo kuwanyima wanajukwaa kucheka.

Planett kanichekesha saana kufukuzana na polisi wa kichina. Walivyo vijeba naamini hakukatiza hata corido 2
Wananguvu?
 
Sasa ulikua unamkimbia nini?

Afu umetudharilisha weusi.

Wataona sie sio wakakamvu, how comes uchoke haraka afu mchina awe fit bado[emoji1]
mkuu ile dhahama we acha tuu omba yasikukute na ile lugha yao sijui walikuwa wanaambizana we msimamishe huyo basi nilikuwa naskia makelele tuu nikajua wanapiga kelele za mwizi huyoo...
 
Nakumbuka primary darasa la 5 huko unyakyusani kwa bibi yangu kyela vijijini. Shule nzima tulikua tunaongea kinyakyusa ikabidi waanzishe kampeni ya kuzuia matumizi ya kinyakyusa shuleni. Walitengeneza ubao ambao mwanafunz ukiongea kinyaki unavalishwa na viboko juu, hali ikawa ngumu sana kwetu tusiojua kiswahili vizuri.

Kuna siku nilipiga chafya ya kinyakyusa darasani (ejooo) hata haikuisha vizuri mtu huyo hapa na ubao wa kunivalisha shingoni, japo nilibisha bila mafanikio.
Ejooo ndio nini sasa?[emoji23]
 
mkuu ile dhahama we acha tuu omba yasikukute na ile lugha yao sijui walikuwa wanaambizana we msimamishe huyo basi nilikuwa naskia makelele tuu nikajua wanapiga kelele za mwizi huyoo...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
ilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mkuu ile dhahama we acha tuu omba yasikukute na ile lugha yao sijui walikuwa wanaambizana we msimamishe huyo basi nilikuwa naskia makelele tuu nikajua wanapiga kelele za mwizi huyoo...
Yani wewe ni tatizo khaaaa
 
mwanzo kabisa wa uhusiano bana.......nilienda kwao na manzi yangu,nafikiri alijua wazazi hawatakuwepo but wakaahirisha safari.
sasa ile ki bachela asubuhi nikatandika kiporo changu nikafunga safari wilaya nyingine,kufika wakwe hawa hapa tena veery friendly nikakirimiwa...sasa tumbo likaanza kunionyesha sifa zake!!?na nyumba haikua kubwa wala nini,hamna choo cha nje...nadhan baada ya miungurumo bi mkubwa wake akaniambia 'i think you should use a restroom'....sijawahi teseka kama siku ile!!
Haha..unanikumbusha na mie iliwahi kunitokea. Nilikuwa sehemu hivi nimekaa halafu kuna mzee mmoja alikuwa amekaa pembeni yangu,basi tumbo lilitoa muungurumo wa ghafla na nilikuwa nimekaa chini..yule mzee akageuka akaniangalia kisha akahama sehemu nyengine.

Mi nikajikuta nacheka tu mwenyewe kwa jinsi tumbo lilivyonitia aibu,maana ilikuwa ngumu mtu kukuelewa kuwa ilikuwa ni muungurumo wa tumbo tu na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom