ilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya