Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Daaaah nakeleka aiseee yaani mada inahusu kuaibika wengine mnaleta habar ya bei za vinywaji aaagriiiiiiiiii mnauzi nimewaona muda mrefu ila nimeamua niseme ya moyoni RRONDO Raimundo Daby yapotezeeni and then stick to the thread
[HASHTAG]#Mondray[/HASHTAG] the future
Usichukulie serious.....wengine tunataka tujue ili tusiaibike....tumezoea chai/kahawa 500/-.
 
Labda umwambie ni Hotel gani hio uliokunywa kahawa vikombe viwili 22500/-. Atakuelewa.
Sikutaka kujibu sababu ya u ligi mzee. Na identity. Ila siku ukija ngorongoro au kama unafikaga ustue nipo muda wote hapa mamlaka idara ya maji nitakupeleka kwenye hiyo kahawa.
Ha ha ha, ngoja tusubiri tuone kama atajibu.
 
Sikutaka kujibu sababu ya u ligi mzee. Na identity. Ila siku ukija ngorongoro au kama unafikaga ustue nipo muda wote hapa mamlaka idara ya maji nitakupeleka kwenye hiyo kahawa.

Bila shaka mkuu, tahadhari ni muhimu sana.
 
Sawa bwana ila hizo bei zenu mnazotaja sidhan kama ni ukwel yaan vikombe viwili 22500Tsh
Hahaha...ujue mwenyew nacheka pia. Ok wewe Mondray bei yako ya mwisho kunywa kahawa ni shingapi toka ukue
 
Mimi bwana niliumbuka huko Schippol Amsterdam. Mara ya kwanza kuingia nchi za watu nilikuwa sijawahi kutumia esclators zaidi ya kuziona kwenye movies. Sasa nimeingia Schippol airport nakutana na escalators nikazikwepa nikatumia ngazi! Kufika mbele mambo ya kubadili terminal kuna sehemu inabidi nitembee nafikiri about 100m hamna namna kuna moving walkay tu inabidi uzitumie.

attachment.php


Sasa kwenye ndege nilikutana na dogo mmoja kashaenda sana huko kazoea tukawa tunaongozana, dogo akapita humo kama mchezo, mtu mzima nikairukia! Aisee bado kidogo nipige mwereka nikawahi kushikilia railings! Yule dogo alicheka hadi akakaa chini! Akanielekeza jinsi ya kutumia 'kila kitu kina mara ya kwanza'.
 
Hahaha...ujue mwenyew nacheka pia. Ok wewe Mondray bei yako ya mwisho kunywa kahawa ni shingapi toka ukue
Ila hujakosea mimi nikiingia hizo hotels huwa sinywi kahawa.....hata buffet breakfast/brunch huwa situmii kahawa maybe chai.
 
Sitasahau for rest of my life ,nikiwa std 1 Mwananyamala Primary tulikuwa tunagombania namba bila kutegemea kifungo cha Pensi kikakatika na kwa kamwili kautoto pensi ikashuka chini nzima nzima watoto wakashangilia! Ikawa end of the day nikatimua home sikurudi mpaka zilipopita 5 days!
Mbavu zangu mie
 
Mimi bwana niliumbuka huko Schippol Amsterdam. Mara ya kwanza kuingia nchi za watu nilikuwa sijawahi kutumia esclators zaidi ya kuziona kwenye movies. Sasa nimeingia Schippol airport nakutana na escalators nikazikwepa nikatumia ngazi! Kufika mbele mambo ya kubadili terminal kuna sehemu inabidi nitembee nafikiri about 100m hamna namna kuna moving walkay tu inabidi uzitumie.

attachment.php


Sasa kwenye ndege nilikutana na dogo mmoja kashaenda sana huko kazoea tukawa tunaongozana, dogo akapita humo kama mchezo, mtu mzima nikairukia! Aisee bado kidogo nipige mwereka nikawahi kushikilia railings! Yule dogo alicheka hadi akakaa chini! Akanielekeza jinsi ya kutumia 'kila kitu kina mara ya kwanza'.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mkuu niruhusu nije pm nikuulize kitu.
 
Sh mia mtaaani, home napendelea kununua pakti la kahawa then najitengenezea mwenyewe
Mwenyewe nilijichanganya siku hiyo tu mkuu...hadi na leo nikiingia nakuwa makini saana.

Kule hupewi na vile viglass unapewa chupa ya maji ya moto + kikombe sukari na kahawa unajipimia Vikombe vyako. Sasa sikujua ukibakiza hayo maji kuna bei yake . Na pia ukimaliza kuna bei yake. Mimi nikabugia kachupa kote ha ha ha ha ha
 
Kahaea alfu ishna tano,wapi ulikunywa hii kitu,au Starbucks.
 
Mwenyewe nilijichanganya siku hiyo tu mkuu...hadi na leo nikiingia nakuwa makini saana.

Kule hupewi na vile viglass unapewa chupa ya maji ya moto + kikombe sukari na kahawa unajipimia Vikombe vyako. Sasa sikujua ukibakiza hayo maji kuna bei yake . Na pia ukimaliza kuna bei yake. Mimi nikabugia kachupa kote ha ha ha ha ha
Hahaaaaaaa pole brother daah tatizo mnapenda kwenda kwenye mahotel makubwa
 
Kipindi niko o level nlikuwa mtukutu sana,alafu ilikuwa boarding zile za sheria kali,basi waliletwa samaki skonga wamejaa katenki kadogo kale saizi ya mwisho kwaajili ya waalimu na wenye shule walikuwa na kongamano,basi wahuni wakaiona fursa,wakantafuta msuka mipango,tukaona haiwezekani waalimu wale vinono ilhali sie wanafunzi ni mwendo wa nguna na wali arage deile kama wafungwa.Tulivyokuwa vichwa ngumu badala ya kuchukua kidogo tukajaza samaki ndoo kubwa ile nzima tena misamaki ya haja,kimbembe kikawa kwenye logistics sasa,long story short tulikuja kukamatwa red handed tukiwa tunawaoka wale samaki,hapo tushakunywa sana michemsho ya samaki,alafu alie tukamata ndo mwenye shule sasa,mnoko kama nini,outcome ilikuwa eitha tukatangazwe mstarini mbele ya mademu au tule sanspaa,au adhabu zote kwa pamoja.nlimpiga jamaa saundi sijawahi kumpiga mtu tokea nijue kuongea,mpaka jamaa akatusamehe.
Huwezi kunishinda saundi niliyowapiga walimu ofisi nzima wakakubaliana na mm
 
Back
Top Bottom