Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Mambo ya kuvaa kimini alafu unataka kuvuka mtaro, mpasuo paaaaa, weeeeh!! Acha kabisa.
Haha ikabidi tu utoe hela mwee. Umenikumbusha story ya kimini

Kuna siku nilikuwa darasa la 5 au 6 hivi, nikawa napita mitaa ya sokoni. Nimevaa kakimini kangu ka kuchanua, najishaua tu. Basi bana kuna kichaa fulani hivi, akaninyatia kwa nyuma huyoo akanifunua mwaaaaaa, jamani nashukuru nilivaa teitei. Miguu ilistuck jamani, I felt so embarrassed khaa
 
Haha ikabidi tu utoe hela mwee. Umenikumbusha story ya kimini

Kuna siku nilikuwa darasa la 5 au 6 hivi, nikawa napita mitaa ya sokoni. Nimevaa kakimini kangu ka kuchanua, najishaua tu. Basi bana kuna kichaa fulani hivi, akaninyatia kwa nyuma huyoo akanifunua mwaaaaaa, jamani nashukuru nilivaa teitei. Miguu ilistuck jamani, I felt so embarrassed khaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Ahahaha...mkuu mimi kuna hii niliisahau
Wakati ATM ndiyo zinakuwa mashuhuri hapa tauni mzee alikuwa anamwagiza bro akachomoe mkwanja. Sasa mimi si nikawa naenda nae nasimama mbali maana kwenda wawili si hairuhusiwi may be unasaidiwa.

Siku moja nikapata emergency mzee hayupo then natakiwa nimfuate Tanga. Akaniambia nichukue ATM nikachukue angalau nauli kidogo.

Ishu Ikaja nina kadi ya NMB then nikaenda machine ya DTB..[emoji23][emoji23][emoji23]. Nimezuia foleni ya watu huko kila nikiingiza kadi inaleta mapicha picha. Hadi Askari akaja akaniambia tatizo nini? Nikamwambia haisomi akanipeleka ndani. Ile officer wa DTB anaangalia anakuta nina kadi ya nmb alikasirikaaa akataka kunizabaaa nilichomooka ndukiiii [emoji23][emoji23][emoji23] watu wote benki wakawa wananiangalia navyopotea
Niliaibikaaa saana siku hiyo aseeh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
[emoji3] [emoji3]
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nilidanganya nasoma kozi flank udsm ,ilikua mkuranga huko nikashangaa kaibuka broo mmoja kaanza kuni tight Mara lecturer huyu na yule unawajua nikisema nawajua ananiuliza wanafundisha mini Aisee nilikwama na kudhalilika sana
[emoji3] [emoji3]
 
Nilidanganya nasoma kozi flank udsm ,ilikua mkuranga huko nikashangaa kaibuka broo mmoja kaanza kuni tight Mara lecturer huyu na yule unawajua nikisema nawajua ananiuliza wanafundisha mini Aisee nilikwama na kudhalilika sana
[emoji23] [emoji2] [emoji23]
 
Hahaha wewe yako itakuwa ya mwaka huu ukaona ubadilishe na ID kabisa. Nani huyo alikutapeli mitandio?

Hahahaaaa!!! Hata sio ya mwaka huu, ya kitambo kidogo bwana. Si unajua ukiwa na shida mtu anatake advantage so aliponitajia bei hata sikubargain niliuchukua tu nikaufunga na kusepa.
 
Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
Dadex... Hahahahahah
 
Nakumbuka primary darasa la 5 huko unyakyusani kwa bibi yangu kyela vijijini. Shule nzima tulikua tunaongea kinyakyusa ikabidi waanzishe kampeni ya kuzuia matumizi ya kinyakyusa shuleni. Walitengeneza ubao ambao mwanafunz ukiongea kinyaki unavalishwa na viboko juu, hali ikawa ngumu sana kwetu tusiojua kiswahili vizuri.

Kuna siku nilipiga chafya ya kinyakyusa darasani (ejooo) hata haikuisha vizuri mtu huyo hapa na ubao wa kunivalisha shingoni, japo nilibisha bila mafanikio.
Ilashamtokea Heaven Sent nakumbuka
 
Form 4 hyooo.mwana kaniambia twende tukamsalimie maza ake kariakoo.tukaenda.kivumbi ilikuwa mlangoni.kuvua viatu sitaki.maana vinanuka balaa.yaani sijavua lakini harufu naisikia.nikaingia navyo sebuleni kiubishi ubishi.bahati nzuri kulikuwa na tiles tu.ila shuhuli waliipata.
Ungevua afu usingizie labda ni chemba itakua imeachia.
 
Mimi ninayokumbuka ni hii moja!
Kipindi hicho nasoma o'level nikateuliwa niwe kiongozi wa chakula wa muda......
sasa ile sysytem ya kupanga mistari chakula cha jioni nikakuta wapo wamerundikana tu wasichana wengi......nikatoka na masifa yangu huko nikarusha teke ili watawanyike!

Sasa nilikua nimevaa jeans sijui nini kilitokea wakati nanyanyua mguu nikakosa balance, nikabamiza kidevu chini.....lol
kidogo nishindwe kuinuka pale chini

niliumia kweli mpaka leo nina alama ila niliaibika kweli!
utoto shida sana
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi nakumbuka kuna siku nipo darasa la saba naendesha baiskeri phonex yale makubwa sasa nilikuwa nimevaa suluar pana chini ile nimefika kilabuni nataka kushuka tu ule mguu wa kushukia suluari ikajishika sehemu ya kuwekea pampu ya kujazia upepo ,nikaanguka chini ilikuwa aibu nainuka nikachukua baiskeli nikasepa watu walikuwepo lakin sikuwaona watu kwa aibub
Suluali ndo nini?
 
ilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya
Comment of the year, if nothin else!
 
Nakumbuka enzi hizo kwenye somo la kiingereza ticha aliniita mbele nikaongee na mwanafunzi mwenzangu

Ah basi nikajivuta vuta nikaenda...basi jamaa akaanza gud mrng mi hata sijui nijibu Vp nikasema "thank you" basi darasa zima lilianza kucheka halafu ndiyo niko mbele dah ilikuwa bonge la noma.
 
ilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nakikumbuka tukio moja uwa nacheka sana

nilikuwa darasa la pili kwenye shule za kata, katikati ya mwaka kabla sijaingia darasa la tatu wakaniamishia shule hizi mnazoziita sijui ndio english medium...

kama kawaida ya shule hizi walikuwa wanatabia ya kusoma attendance/ register. sasa muungwana mimi utaratibu huo sikuuzoea kutoka shule yangu ya mwanzoni. lugha inayotumika ni englishi.

wenzangu wanaelewa kama mtu yupo, atajibu mwenyewe na neno la "present" na kama hayupo,basi rafiki yake au mtu anayejua taharifa zake atamjibia "absent" muungwana mimi sikujua huo uwakilishi wa present na absent. kuna waungwana kama wa tatu walikuwa na kama week nzima hawajatia mguu darasani,

majina yao yakiitwa washikaji wanawajibia ukizingatia na mimi siwafahamu .mwalimu kila siku akija kusoma majina akifikia kwangu nasema " present " siku inaisha wale washikaji kila siku wao wakiita majina ya rafiki zao ambao hawapo wanaitikia kwa kusema "absent " basi me nikawa naona kama ni style yao na ukizingatia wameshaitikia present pale walipotajwa majina yao.

basi nikasema namimi kesho nabadilisha style ya kuitikia .mwl. alipofikia kwenye jina langu nikaropoka "absent" wacha darasa wanicheke yule mwl. alijua nimemfanyia makusudi nilikula stiki kadhaa niliona aibu achaa.
 
Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje 🙂
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom