binti kaja anaanza kupanic ."unafanya nini kwenye pochi" alafu anaropoka kwa nguvu hadi watu wote wakageuka .bonge ya msala. unabaki na kigugumizi tu mmmmh mmmh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
[emoji23] [emoji23] wakina nani walikuletea dharau sasa!Du mie mpaka nafanya kazi zaidi ya miaka 10 ndio nikatry tena baada ya kuona dharau zinazidi.
Natamani nikupe like kumi Like, like, ulikuwa na umri gani? ulipaniki?.HEBU SIKIA HII
Mwaka juzi 2015 ilikua ijumapili padri akiendesha misa kwenye kigango cha GUNGU kigoma, Basi bwana ikafika ule muda wa kwenda kupokea mkate wa mwili wa yesu {Eukarist takatifu} Sasa wakat wa kupokea padri anasema "mwili ya yesu" unatakiwa ujibu "Amina" basi mm nikajibu "Tunauabudu" akarudia tena nikajibu vilevile, ikabidi anipeleke kwa KATEKISTA pembeni akanielekeza hapo wame baki kama watu watatu kwenye msitar, katekista akanielekeza nikarudi, kuulizwa nikasema tena tunauabudu weeee nilitimuliwa mbio kidogo nile vibao. Padri akanitangaza kanisani, halafu ukichangia nilivyo maarufu kanisan niliaibika sana, mpaka leo naogopa kula ule mkate usio kua na chai wa blueband CHARMILTON
Duuh yaan kwa kusimulia tu napata aibukuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
Bora ungekuwa na blueband ungekumbuka Haaaa yaani nimecheka balaa.Nilikua nina 17yrs, aisee nilipaniki, uoga, aibu halafu aliyekua anaendesha misa alikua paroko na anamtindo wa kuchapa watu vibao, alishaga mdunda bibi mmoja alipewa mkate akaenda kukaa nao kwenye kituu so nilijua leo namm nina be suprised na vibao loooool nilikoma
Hahaaa ukizingatia nilikua kiongoz kwenye kikundi cha vijana wakatoriki{VIWAWA}mweeee niliabika mm mpaka hv wananiita mwili wa yesu tunauabuduBora ungekuwa na blueband ungekumbuka Haaaa yaani nimecheka balaa.
Malafyale mwenzangu bwana teh teh... JobhaaaAbiria wenzako wakaona matiti yako mchongoma?Daaah walifaidi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
Kumbe nawewe unacheka!!??Umenifanya nionekane chizi mbele ya watu kwa kicheko
Hahahahaaaaaaa..........Mkuu ulimzingua Parako?HEBU SIKIA HII
Mwaka juzi 2015 ilikua ijumapili padri akiendesha misa kwenye kigango cha GUNGU kigoma, Basi bwana ikafika ule muda wa kwenda kupokea mkate wa mwili wa yesu {Eukarist takatifu} Sasa wakat wa kupokea padri anasema "mwili ya yesu" unatakiwa ujibu "Amina" basi mm nikajibu "Tunauabudu" akarudia tena nikajibu vilevile, ikabidi anipeleke kwa KATEKISTA pembeni akanielekeza hapo wame baki kama watu watatu kwenye msitar, katekista akanielekeza nikarudi, kuulizwa nikasema tena tunauabudu weeee nilitimuliwa mbio kidogo nile vibao. Padri akanitangaza kanisani, halafu ukichangia nilivyo maarufu kanisan niliaibika sana, mpaka leo naogopa kula ule mkate usio kua na chai wa blueband CHARMILTON
Sasa ningefanyaje kama ananiletea miyeyushoHahahahaaaaaaa..........Mkuu ulimzingua Parako?