Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Sasa ulikuwaje maarufu church ilihal hujui kujibu ''mwili wa Kristo?''?
Umaarufu Church na kujibu maswali ni tofaut brother, padri mwenyewe kakaa kibabe so nilikua natetemeka, mpaka hv siendagi kula bisibisi tena
 
Umaarufu Church na kujibu maswali ni tofaut brother, padri mwenyewe kakaa kibabe so nilikua natetemeka, mpaka hv siendagi kula bisibisi tena
Duh! mimi hayo mambo zamani saaana, kabla ya kuondoka kanisani.

Ila ukweli ni kamba kuna mapadre watukutu kinoma.
 
Daaah mm kanisan maramoja moja sana coz it is just miyeyusho lkn I BELIEVE IN GOD lkn sio hao mapadre wapigaji
Hilo neno kwenye red nahisi unalitumia purposely ingawa haijawa rahisi kuling'amua.

Mkuu maana na ya 'Miyeyusho' ni nini?
 
Niliwahi kununua barafu kwenye mji mmoja hivi kipindi hicho mgeni ndani ya mji, sikuwahi kujua kama barafu ina ubaridi kiasi kile ,basi mwenzenu nikang'ata nusu nzima nikaweka mdomoni dah ,mbele yangu yupo mgambo wa jiji pembeni kuna pipa la taka yaani nasikia kichwa kizima kimeganda.

Nilimeza kipande cha barafu kizima "sitaki ujinga kuchafua mazingira kwa kutema ovyo mjini"
 
Du mie mpaka nafanya kazi zaidi ya miaka 10 ndio nikatry tena baada ya kuona dharau zinazidi.
Kazi gani yaani ya kupitia elimu au nguvu mkuu? maana hata house girl nae huanza hako kamchezo mara nyingi akianza kazi
 
Nakumbuka primary darasa la 5 huko unyakyusani kwa bibi yangu kyela vijijini. Shule nzima tulikua tunaongea kinyakyusa ikabidi waanzishe kampeni ya kuzuia matumizi ya kinyakyusa shuleni. Walitengeneza ubao ambao mwanafunz ukiongea kinyaki unavalishwa na viboko juu, hali ikawa ngumu sana kwetu tusiojua kiswahili vizuri.

Kuna siku nilipiga chafya ya kinyakyusa darasani (ejooo) hata haikuisha vizuri mtu huyo hapa na ubao wa kunivalisha shingoni, japo nilibisha bila mafanikio.
 
Nimechekaaaa mnoooo aisee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daah aisee, ukaamua uzimie[emoji23] [emoji23]
 
Hahahahahahaha...noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…